Makontena ya Makonda: TRA wanatuhujumu au BANDARI wametuhujumu

Makontena ya Makonda: TRA wanatuhujumu au BANDARI wametuhujumu

tikatika

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
2,330
Reaction score
4,121
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??

sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.

sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.

kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??

pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??

mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.

huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!

sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.
 
mkuu inategemea mzigo umekaa bandarini muda gani.
kuna kitu kinaitwa storage charge, hii huenda imekuwa kubwa.
bandarini kuna grace period, kipindi hiki hutalipa but muda ukipita unaanza kulipia kila siku na hii inategemea ukubwa wa mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??

sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.

sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.

kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??

pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??

mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.

huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!

sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.


Umechambua vizuri Sana.
 
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??

sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.

sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.

kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??

pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??

mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.

huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!

sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.

Mkuu umechambua vizuri sana..

Kweli kuna dalili zote kwamba kuna mchezo mchafu umefanyika..

Kwa kawaida Containers tena zinazokuwa za One Consignee na za aina hii ya mzigo huwa zinakuwa full loaded na sio namna hii..

Hii ni kumwezesha mwenye mzigo kusevu Freight Charges kwa ku occupy every small space that is available in the container pamoja na kuepuka uharibifu wa mzigo.

Haiwezi kutokea hata siku moja mzigo ukapangwa kutoka port of loading namna hii tena kwenye bandari experienced kama za Marekani.

Kwanza ni very risk kuharibu mzigo wakati wa lifting on and off the container.

Containers za aina hii huwa zinakuwa full packed.

Tayari wameshafanya yao hapo ila itajulikana tu.
 
Mkuu umechambua vizuri sana..

Kweli kuna dalili zote kwamba kuna mchezo mchafu umefanyika..

Kwa kawaida Containers tena zinazokuwa za One Consignee na za aina hii ya mzigo huwa zinakuwa full loaded na sio namna hii..

Hii ni kumwezesha mwenye mzigo kusevu Freight Charges cost kwa ku occupy every small space that is available in the container pamoja na kuepuka uharibifu wa mzigo.

Haiwezi kutokea hata siku moja mzigo ukapangwa kutoka port of loading namna hii tena kwenye bandari experienced kama za Marekani.

Kwanza ni very risk kuharibu mzigo wakati wa lifting on and off the container.

Containers za aina hii huwa zinakuwa full packed.

Tayari wameshafanya yao hapo ila itajulikana tu.
[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]kuna siku nililisema hili.... Tuweni wapole wakati utasema.....!

Jr[emoji769]
 
Sawa nimemuelewa kangi lugola alivyokuwa anatafuta kale ka mbwa pale bandarini inawezekana Wasomi wenzake na makonda hapo bandarini walijua kataleta unoko kama kwenye ambulance na makinikia wakakapeleka shule ili kasiuone mzigo
 
Anaandika DOTTO BULENDO.....

Hapa ndipo "strong media" na "active citizens" wanatakiwa.

Kwanza tuliambiwa,wadau wa maendeleo kutoka nje ya nchi watachangia kutatua kero za elimu Dar es Salaam,makontena ya vifaa vya ofisini na vitabu yatakuja kutoka ughaibuni.

Baadae tukaambiwa si hayo tu bali na mengine yatatoka China kwa ajili ya maziwa ya watoto waliotelekezwa na mengine yataleta vitabu kwa ajili ya maktaba.

Baada ya hapo tukaambiwa Makontena yamefika yapo 36 yanavifaa vya maofinini kwa ajili ya ofisi za walimu kwa Shule za Dar es Salaam.

Baadae tukaambiwa hayatoki mpaka yalipiwe kodi kwani yamekuja kwa anuani ya mtu binafsi.

Baade tukaambiwa,kama TRA watataka yalipiwe kodi,wao na waziri wa fedha watashtakiwa kwa Rais.

Baadae tukaambiwa yanapigwa mnada ila yakapungua mpaka 20.

Baadae tukaambiwa atakaeyanunua atalaaniwa.

Baadae tukaambiwa,lazima yalipiwe kodi na aliyeyaleta na kama hatalipa yatapigwa mnada.

Baadae tukasikia waziri akisema,kama sheria ya kodi itapindishwa katika hili atakuwa tayari kumuomba Rais aachie ngazi.

Baadae tukamsikia Rais akisema,makontena hayo kwanza yana masofa na lazima yalipiwe kodi.

Baadae tukaambiwa mnada utapigwa leo jumamosi,

Baadae tunaambiwa mnunuzi kakosekana

Na sasa tunaambiwa kuwa kwanza hayo makontena hayana masofa kama tulivyoambiwa na vitu ni vichache sana eti vikipangwa vizuri yatabaki makontena yasiyozidi nane.

Haya mambo hayaaaaaa
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.Ila kaeni mkijua Tanesco wameshindwa kesi ya Standard Chartered na wanatakiwa kulipa mabilioni ya shilingi.

Chaguzi ndogo nazo zinaendelea,na pia jueni kuna kundi kubwa la vijana lililomaliza vyuo vikuu,vyuo na kwenye taasisi za elimu ya juu wanasubiri ajira tangu mwaka 2015.

Watumishi wa umma nao wanasikilizia kupandishwa madaraja pamoja na nyongeza ya mshahara tangu 2015.

Huku mfumo wa kodi ya mabenki ukitajwa kutikisa biashara na ustawi wa sekta binafsi.

Utekelezaji wa mradi wa Stigglers Gorge umeshaanza naona wanaharakati wanakimbilia vyombo vya magharibi kupiga kelele.

Simenti na yenyewe bado imegoma kushuka kama sukari.

Lakini jambo zuri ni sasa tunashuhudia kuanzwa kutandikwa kwa reli ya kati kwa kiwango cha Kisasa(SGR).

Haya mambo hayaaaaaa.Wasalaaam.

NB.Mwanasiasa akikuambia usiku mwema,usimuamini toka nje ukahakikishe kama
kweli usiku umeingia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaandika DOTTO BULENDO.....

Hapa ndipo "strong media" na "active citizens" wanatakiwa.

Kwanza tuliambiwa,wadau wa maendeleo kutoka nje ya nchi watachangia kutatua kero za elimu Dar es Salaam,makontena ya vifaa vya ofisini na vitabu yatakuja kutoka ughaibuni.

Baadae tukaambiwa si hayo tu bali na mengine yatatoka China kwa ajili ya maziwa ya watoto waliotelekezwa na mengine yataleta vitabu kwa ajili ya maktaba.

Baada ya hapo tukaambiwa Makontena yamefika yapo 36 yanavifaa vya maofinini kwa ajili ya ofisi za walimu kwa Shule za Dar es Salaam.

Baadae tukaambiwa hayatoki mpaka yalipiwe kodi kwani yamekuja kwa anuani ya mtu binafsi.

Baade tukaambiwa,kama TRA watataka yalipiwe kodi,wao na waziri wa fedha watashtakiwa kwa Rais.

Baadae tukaambiwa yanapigwa mnada ila yakapungua mpaka 20.

Baadae tukaambiwa atakaeyanunua atalaaniwa.

Baadae tukaambiwa,lazima yalipiwe kodi na aliyeyaleta na kama hatalipa yatapigwa mnada.

Baadae tukasikia waziri akisema,kama sheria ya kodi itapindishwa katika hili atakuwa tayari kumuomba Rais aachie ngazi.

Baadae tukamsikia Rais akisema,makontena hayo kwanza yana masofa na lazima yalipiwe kodi.

Baadae tukaambiwa mnada utapigwa leo jumamosi,

Baadae tunaambiwa mnunuzi kakosekana

Na sasa tunaambiwa kuwa kwanza hayo makontena hayana masofa kama tulivyoambiwa na vitu ni vichache sana eti vikipangwa vizuri yatabaki makontena yasiyozidi nane.

Haya mambo hayaaaaaa
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.Ila kaeni mkijua Tanesco wameshindwa kesi ya Standard Chartered na wanatakiwa kulipa mabilioni ya shilingi.

Chaguzi ndogo nazo zinaendelea,na pia jueni kuna kundi kubwa la vijana lililomaliza vyuo vikuu,vyuo na kwenye taasisi za elimu ya juu wanasubiri ajira tangu mwaka 2015.

Watumishi wa umma nao wanasikilizia kupandishwa madaraja pamoja na nyongeza ya mshahara tangu 2015.

Huku mfumo wa kodi ya mabenki ukitajwa kutikisa biashara na ustawi wa sekta binafsi.

Utekelezaji wa mradi wa Stigglers Gorge umeshaanza naona wanaharakati wanakimbilia vyombo vya magharibi kupiga kelele.

Simenti na yenyewe bado imegoma kushuka kama sukari.

Lakini jambo zuri ni sasa tunashuhudia kuanzwa kutandikwa kwa reli ya kati kwa kiwango cha Kisasa(SGR).

Haya mambo hayaaaaaa.Wasalaaam.

NB.Mwanasiasa akikuambia usiku mwema,usimuamini toka nje ukahakikishe kama
kweli usiku umeingia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimejikuta natoka nje ya kilinge na kuchungulia huko nje kama ni kweli kumepambazuka.....
Kuna kitu cha ajabu pia nimegundua #team konda pia walikuwepo... Post moja imerudiwa zaidi ya mara 5
Screenshot_20180902-041822.jpg


Jr[emoji769]
 
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??

sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.

sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.

kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??

pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??

mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.

huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!

sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.

Nionavyo mimi
1.Kuna uwezekano mkubwa TRA wamekurupuka na kukadiria kodi isiyoendana na thamani halisi ya mzigo uliopo kwenye makontena,huenda hawakujiridhisha kilichomo ndani.
AU
2.Waziri wa fedha kakurupuka na kulibeba swala hili kichwa kichwa bila kujipa muda wa kutathmini mzigo ule na kiasi cha fedha kilichotajwa kama kilivyo naye bila ajizi akamjaza rais,huku umma nao ukapata cha kujadili bila kufikiri kama ilivyo kawaida yetu.
AU
3.Rais kaungizwa kingi,na tunajua kabisa mzee wetu huwa mtu wa "vuuup" bila kutafakari,hapa yawezekana kabisa kuna maslahi ya watu kumchonganisha DAB na baba yake kwa maslahi ambayo mimi na wewe tunayajua.
AU.
4.Waliopanga yale makontena huko ughaibuni hawana ujuzi wa kupanga mzigo kama tunavyo ambiwa ule ni msaada so hawakuzingatia upangaji kwa maana mzigo ule sio biashara so less care.
AU
5.Kuna uwezekano wa kuchezwa picha na mastermind wa ukweli kwamba mzigo umepakuliwa usiku ili kuua soo,na ndio maana mali inakosa wanunuzi,michezo ya Bandarini tunaijua vizuri sana...ila wanaopaswa kutupa ushuhuda wa kilichokuwa ndani ni wale waliofungua mzigo siku ya kwanza,otherwise mimi na wewe tukae kimya mana hatuji kabisa mwanzo na sasa kilichomo kwenye kontena ndicho chenyewe? tuache kushadadia.

MWISHO: Naona kuna watu wanaumbuka katika sakata hili na mwisho wa siku Mpakwa mafuta anaenda kuibuka mshindi maana taswira halisi inaonyesha hivyo...kitakachotokea ni hivi itafanyika tathmini halisi ya kodi mwisho wa siku watasema kodi ilikosema na kushushwa hadi milioni 100,200 au 300 which Daudi ataweza kulipa kwa mgongo wa kuchangiwa na washikadau wa DAR na mzigo kupelekwa mashuleni kama ilivyokusudiwa na Hadithi itaishia hapo huku maisha yakiendelea.
 
Leo shida za walimu siyo jambo la maana tena ,,
Ila kumshughulikia Makonda kwa picha za uongo za Trekta na sofa ndiyo kipaumbele cha taifa!!

Ngozi nyeusi ni hovyo kabisa hasa Chadema muda mwingi hawanaga taarifa sahihi kazi kubwabwaja tu na kudandia mambo wasiyoyajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom