tikatika
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,330
- 4,121
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??
sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.
sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.
kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??
pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??
mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.
huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!
sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.
sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.
sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.
kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??
pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??
mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.
huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!
sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.