Makontena ya Makonda: TRA wanatuhujumu au BANDARI wametuhujumu

Makontena ya Makonda: TRA wanatuhujumu au BANDARI wametuhujumu

Leo shida za walimu siyo jambo la maana tena ,,
Ila kumshughulikia Makonda kwa picha za uongo za Trekta na sofa ndiyo kipaumbele cha taifa!!

Ngozi nyeusi ni hovyo kabisa hasa Chadema muda mwingi hawanaga taarifa sahihi kazi kubwabwaja tu na kudandia mambo wasiyoyajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulikuwa na hoja but umekunya hpo ulipotaja Chadema tu...
 
Mi ninavyowajua TRA wanavyo kadiria kodi kwa mazoea na kuangalia sura, hili linawezekana.
Chukueni muda wenu piteni kwenye maduka, hotel n. k mtakuta watu wenye vibanda tu wamepewa kodi, bei ya leseni sawa na wenye maduka ya mamilioni.
Waliwahi kuniambia watu wote wanaifanya biashara fulani kodi yao ni fulani! Nikawauliza mtaji wangu ni mdogo mnanipaje kodi ya jumlajumla au ya makundi? Haikusaidia.
Hakuna wataalamu kule

*Usichague kiongozi mbaya kwa sababu mko chama kimoja*
 
Leo shida za walimu siyo jambo la maana tena ,,
Ila kumshughulikia Makonda kwa picha za uongo za Trekta na sofa ndiyo kipaumbele cha taifa!!

Ngozi nyeusi ni hovyo kabisa hasa Chadema muda mwingi hawanaga taarifa sahihi kazi kubwabwaja tu na kudandia mambo wasiyoyajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akiri zako za kuazima shida alizonazo mwalimu ni sofa??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaandika DOTTO BULENDO.....

Hapa ndipo "strong media" na "active citizens" wanatakiwa.

Kwanza tuliambiwa,wadau wa maendeleo kutoka nje ya nchi watachangia kutatua kero za elimu Dar es Salaam,makontena ya vifaa vya ofisini na vitabu yatakuja kutoka ughaibuni.

Baadae tukaambiwa si hayo tu bali na mengine yatatoka China kwa ajili ya maziwa ya watoto waliotelekezwa na mengine yataleta vitabu kwa ajili ya maktaba.

Baada ya hapo tukaambiwa Makontena yamefika yapo 36 yanavifaa vya maofinini kwa ajili ya ofisi za walimu kwa Shule za Dar es Salaam.

Baadae tukaambiwa hayatoki mpaka yalipiwe kodi kwani yamekuja kwa anuani ya mtu binafsi.

Baade tukaambiwa,kama TRA watataka yalipiwe kodi,wao na waziri wa fedha watashtakiwa kwa Rais.

Baadae tukaambiwa yanapigwa mnada ila yakapungua mpaka 20.

Baadae tukaambiwa atakaeyanunua atalaaniwa.

Baadae tukaambiwa,lazima yalipiwe kodi na aliyeyaleta na kama hatalipa yatapigwa mnada.

Baadae tukasikia waziri akisema,kama sheria ya kodi itapindishwa katika hili atakuwa tayari kumuomba Rais aachie ngazi.

Baadae tukamsikia Rais akisema,makontena hayo kwanza yana masofa na lazima yalipiwe kodi.

Baadae tukaambiwa mnada utapigwa leo jumamosi,

Baadae tunaambiwa mnunuzi kakosekana

Na sasa tunaambiwa kuwa kwanza hayo makontena hayana masofa kama tulivyoambiwa na vitu ni vichache sana eti vikipangwa vizuri yatabaki makontena yasiyozidi nane.

Haya mambo hayaaaaaa
Akili za kuambiwa changanya na za kwako.Ila kaeni mkijua Tanesco wameshindwa kesi ya Standard Chartered na wanatakiwa kulipa mabilioni ya shilingi.

Chaguzi ndogo nazo zinaendelea,na pia jueni kuna kundi kubwa la vijana lililomaliza vyuo vikuu,vyuo na kwenye taasisi za elimu ya juu wanasubiri ajira tangu mwaka 2015.

Watumishi wa umma nao wanasikilizia kupandishwa madaraja pamoja na nyongeza ya mshahara tangu 2015.

Huku mfumo wa kodi ya mabenki ukitajwa kutikisa biashara na ustawi wa sekta binafsi.

Utekelezaji wa mradi wa Stigglers Gorge umeshaanza naona wanaharakati wanakimbilia vyombo vya magharibi kupiga kelele.

Simenti na yenyewe bado imegoma kushuka kama sukari.

Lakini jambo zuri ni sasa tunashuhudia kuanzwa kutandikwa kwa reli ya kati kwa kiwango cha Kisasa(SGR).

Haya mambo hayaaaaaa.Wasalaaam.

NB.Mwanasiasa akikuambia usiku mwema,usimuamini toka nje ukahakikishe kama
kweli usiku umeingia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Chakaza umetisha mkuu.
 
Mkuu umechambua vizuri sana..

Kweli kuna dalili zote kwamba kuna mchezo mchafu umefanyika..

Kwa kawaida Containers tena zinazokuwa za One Consignee na za aina hii ya mzigo huwa zinakuwa full loaded na sio namna hii..

Hii ni kumwezesha mwenye mzigo kusevu Freight Charges kwa ku occupy every small space that is available in the container pamoja na kuepuka uharibifu wa mzigo.

Haiwezi kutokea hata siku moja mzigo ukapangwa kutoka port of loading namna hii tena kwenye bandari experienced kama za Marekani.

Kwanza ni very risk kuharibu mzigo wakati wa lifting on and off the container.

Containers za aina hii huwa zinakuwa full packed.

Tayari wameshafanya yao hapo ila itajulikana tu.
We uliomba kununua container ngapi? Tuanzie hapo isije ikawa ndo walewale wa kura zimeibiwa wakati hata kura hukupiga.
 
Hakuna container inayosafirishwa loose vile
Furniture zenye uwezo wa kuunganisha huwa zinawekaa kwa box

naam mkuu , kontena kusafirisha ni gharama, uweje usafirishe nusu vile????

yaan hawa viongozi wanatuchezea akili mpaka tuwe vichaaa!!
 
Sijawahi kuhudhuria hiyo minada ya Majembe na YONO, lakini robo ya clip imenifanya nione kila kitu ni usanii, mtu anataja bei na kujipandilia mwenyewe!! Hata kama ni dalali aliekodiwa kupandisha thamani ya bidhaa huwa hawafanyi hivyo, ndani ya dakika moja katana bei Nne tofauti na hakuna anaeshindana nae!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ina maana hujui kodi ya furniture ipo juu sana ili ku discourage watu wasinunua za nje?kama kochi ni laki moja kodi yake nayo inaweza ikafika laki moja au ikazidi.
Unajua hilo au hujui?
 
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??

sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.

sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.

kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??

pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??

mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.

huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!

sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.

Hilo nalo neno! Kama makisio yako ni kweli basi tunayo kazi kubwa!
 
s
Leo shida za walimu siyo jambo la maana tena ,,
Ila kumshughulikia Makonda kwa picha za uongo za Trekta na sofa ndiyo kipaumbele cha taifa!!

Ngozi nyeusi ni hovyo kabisa hasa Chadema muda mwingi hawanaga taarifa sahihi kazi kubwabwaja tu na kudandia mambo wasiyoyajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
sasa rangi ya ngozi hapo imekosa nin?
 
Thamani ya mzigo.
IPO sawa na thamani ya KODI.sijasomea kodi.ila kwa akili zangu naona si sawa.hivyo vitu bora wawauzie Lumumba

Sent using Jamii Forums mobile app
Mdogo wangu kuna ambavyo vinapatikana nchini hivyo usishangae ile siku ambayo waziri wa fedha anahitimisha hotuba ya Budget ndiyo vitu hubadilika mfano ili kuingiza Simu mtu atalipa importy duty 0-VAT 18% inaitwa zero eighteen yaani utalipa VAT tuu kama umeingiza Maziwa utalipa import duty 60%-VAT 18% Sixty eighteen maziwa kwa vile yapo nchini unaona Kodi yake inafika 78% meaning kama kopo la maziwa umenunua kwa Sh.10000 basi utalipa kodi ya Sh.7800 wanafanya hivyo kwa sababu maziwa yapo nchini hata Samani zipo
 
Mdogo wangu kuna ambavyo vinapatikana nchini hivyo usishangae ile siku ambayo waziri wa fedha anahitimisha hotuba ya Budget ndiyo vitu hubadilika mfano ili kuingiza Simu mtu atalipa importy duty 0-VAT 18% inaitwa zero eighteen yaani utalipa VAT tuu kama umeingiza Maziwa utalipa import duty 60%-VAT 18% Sixty eighteen maziwa kwa vile yapo nchini unaona Kodi yake inafika 78% meaning kama kopo la maziwa umenunua kwa Sh.10000 basi utalipa kodi ya Sh.7800 wanafanya hivyo kwa sababu maziwa yapo nchini hata Samani zipo

sawa sasa ule mzigo una thamani gani ?? kwa kila contena ni million kumi au million 70!!?? yaan tuchukulie kodi ni sawa na thaman ya mzigo
 
kila nikitizama picha na kuunganisha dot juu ya mnada wa makontena ya makonda na hatima yake naona kuna kamchezo pale!! mnada unashindikana kwa mara ya pili kwanini unashindikana??

sababu kubwa ni watu kutofika bei elekezi kutoka TRA. kwanini hawafiki bei? jibu ni moja mzigo hauna thaman wanayoitaka wao. sasa kwann mzigo usiwe na thaman hiyo wakati ilikadiliwa kodi tu ni 1.4 billion ina maana mzigo una thaman zaidi ya hiyo. lakn kwa haraka haraka mnada kwa makontena yote bei wanayofika haizid million 300. yaani millioni miatatu tuu!!.

sasa hapa kuna vitu vya kuhoji.

kwanini mzigo unaonekana hauna thamani inayotamkwa na TRA? ina maana chombo chetu hakina wataalam wa kukadilia thaman ya mizigo kiasi hiki?? lakn tofauti ni kubwa sana maana kwa kawaida kodi huwa haizidi thaman ya mzigo. sasa kwanini iko hivi??

pili mwenye mzigo hakulalamika kwamba makadilio ya kodi ni makubwa ina maana alilidhika nayo ile gharama, ila tu alitaka msamaha. sasa kwann mzigo uwe na thaman ndogo kiasi hiki??

mtizamo wangu binafs na kwa kupitia maoni ya watu waliofika mnadani, ule mzigo umepakuliwa na mzigo mwingi umeondolewa kwenye kontena!! nani atakua ameupunguza kwa siri?? hakuna mwingine bali mkubwa wa kazi Makonda. nguvu alizonazo hashindwi kufanya mchezo mchafu. pitieni sehemu mbali mbali zenye video toka bandarini mtakubaliana na mimi ule mzigo umepakuliwa na mwingi wametoweka nao.

huwezi kutoka na kontena USA ukapanga mzigo vile. et meza toka USA zimepakiwa zimefungwa tayari. pamoja na mizigo kuwa imeumganishwa tayari kwa matumizi harafu kamzigo kako nusu kontena huku makontena mengine yako robo. hakuna upangaji wa mizigo kama huo duniani kwenye biashara ya usafirishaji. ni hasara na ni hatari maana vitu vikipangwa vile ni rahis kuharibika. chunguzeni mtagundua yale makontena yamepakiwa hapa hapa bongo kwa kutupiwa tu mizigo kiduuchu danganya toto!! yale makontena 20 ukiyapanga kwa ustadi yatatoka makontena manne tuu!!!!

sasa hapa kuna hatari taasisi zetu kuchafuka kwa scandle mbili . moja BANDARI wameshilikiana na wahujumu mapato kupakua mzigo au TRA hawajui kazi wanabambikia wateja bei isiyo halali. zote mbili ni kashifa!!! kazi kwenu kijinasua TRA AU BANDARI.

Kwa mujibu wa sheria za forodha, samani ( furnitures) zinazoingia nchini hutozwa ushuru mkubwa, asilimia 35 zaidi ya bidhaa nyingine. Kimsingi huu ni mkakati wa Serikali katika kulinda viwanda vya ndani vinavyojishughulisha na utengenezaji wa furniture. Kodi zinazotozwa katika furniture ni kama ifuatavyo;
Import Duty---25%
Exercise Duty---35%
VAT---------------18%
Railway Development Levy (RDL)---1.5%
Customs Processing Fee (CPF)-----0.6%
Samani ( furniture) hutozwa jumla ya asilimia 80.1% ya bei ya bidhaa ( CIF) value, ndo maana ushuru katika makontena 20 ya samani umekua juu sana.
 
Back
Top Bottom