Slave
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 5,313
- 2,646
Huwa unahisi kama zombie limetoka kunywa damu sehemu sasa linakuja na kwako kushushia?
mimi afanye yote ila asipake rangi nyekundu midomo.... hua ina nikera na kunitibua kichwa. siipendi midomo yenye hiyo rangi