Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #21
Namba 14 na 18 ulijuaje
Ila kwa makosa uliyoyairodhesha
Inaelekea hawara wa mke ana Game la hatari.....yaani mkeo kafikishwa mount evarest aisee...utasubiri sana heri umpe talaka tu
Cha kusikitisha kama ni mario sasa hivi mkeo ataachwa akatafutwe mwenye pesa
Nitag ukifika kosa la 54Kosa la 54, ni kutoa namba yake kwa mahawara wengine, utaiona namba yake ikifika kosa hilo la 54
Nitag ukifika kosa la 54
Ana tako?Nitaku-tag, mkaparangane huko, mimi yamenishinda
Hahahaha Umetishaa na kila la kheri😀 😀 😀 😀 yna2
Mchakato wa Ndoa nyingine umeanza mwezi jana na utamalizika october 28
Hahahaha Umetishaa na kila la kheri
Ana tako?
Tabia haina shida tutatumia za kwangu ila tako litatumika lake😀😀😀😀
Utamuona, alikuwa Mke wa Taikon, hawezi kosa sifa zote muhimu, ila kapungukiwa moja ya tabia
koo unashauri adhabu ziwe 99?I got 99 problems, but a bitch ain't one
Give it time.I got 99 problems, but a bitch ain't one
HapanaAhsante, naomba kujua utashiriki?
Aah haiwezekani kwakweliGive it time.
Adhabu haina haja abebe mwingine tukoo unashauri adhabu ziwe 99?