Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Lugha, kama ilivyo kwenye mambo mengine, hubadilika na kukua.
Misamiati [msamiati] huongezeka, maana za maneno huongezeka na kubadilika, na kadhalika.
Mfano, kwenye Kiingereza sasa hivi neno ‘selfie’ ni neno rasmi kabisa lililopo kwenye kamusi za Kiingereza zinazotambulika.
Papo hapo, neno ‘groupie’ nalo lipo mbioni kuanza kutambulika rasmi kama uwingi wa neno ‘selfie’.
Kwa muda mrefu sasa neno ‘groupie’ limekiwa likimaanisha kitu kingine kabisa.
Lakini sasa limeongezeka maana.
Ni mambo ya kawaida kwenye lugha.
Misamiati [msamiati] huongezeka, maana za maneno huongezeka na kubadilika, na kadhalika.
Mfano, kwenye Kiingereza sasa hivi neno ‘selfie’ ni neno rasmi kabisa lililopo kwenye kamusi za Kiingereza zinazotambulika.
Papo hapo, neno ‘groupie’ nalo lipo mbioni kuanza kutambulika rasmi kama uwingi wa neno ‘selfie’.
Kwa muda mrefu sasa neno ‘groupie’ limekiwa likimaanisha kitu kingine kabisa.
Lakini sasa limeongezeka maana.
Ni mambo ya kawaida kwenye lugha.