Makosa makubwa; Nembo ya Taifa imebadilishwa kwenye mihutasari mipya ya masomo Shule ya Msingi

Weka picha mkuu... Kuna wengine hawana muda wa kwenda huko shule lakini lakini tatizo hilo linaweza kushughulikiwa
 
Yaani hata mniite zwazwa, kiazi au jina baya gani bado sitaweza kuleta picha hapa kwa sababu mimi ni mtumishi na natambua maadili ya utumishi!
Nani anajua kua wewe ni mtumishi au siyo mtumishi?
Yawezekana Una skills ndogo ndomaana unasema huwezi kupandisha picha,yaani skills za matumizi ya device yako.
 
Bila ushahidi wa picha unatulazimisha tuamini tu maneno yako kisha tuendelee kujadili mada. Hiyo haiko sawa, taarifa yako haijakamilika.

BTW, huo muhtasari sio public document?? Hayo maadili gani unayoyazungumzia?
 
Walimu ni waoga sanaa.. Hasa kwenye mambo ya kweli..
Wahenga wanasema shoka bila mpini haliwezi kukata mti 🌳.
 
Hayo ni madhara ya designer wavivu wa kitabu, chapisho au waraka kwa kupakua picha mitandaoni.
Wazembe wengine ni editors na proof readers.
 
Wamerekebisha, mliochukua hatua hongereni na mliobeza poleni!
 
Trainee hongera sana kwa kupiga kelele kuhusu suala muhimu kwa taifa letu. Usichoke kusahihisha mambo kama kuna utata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…