Uhakiki
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 7,288
- 7,704
Weka picha mkuu... Kuna wengine hawana muda wa kwenda huko shule lakini lakini tatizo hilo linaweza kushughulikiwaHivi ni kazi kubwa kiasi gani kwenda shuleni ukaangalia hiyo mihutasari? Sehemu za kupata soft copy za nyaraka za serikali kama hizo pia hamzijui?
Washambuliaji wengi wenu msije kuwa ndio waandaaji wenyewe wa ile mihutasari! Acheni kutafuta kujishikiza mahala pasipo shikizika jambo la msingi rekebisheni Nembo ile au kama ni sahihi kuwa vile basi toeni ufafanuzi tulioona tatizo tutokwe na utata wa jambo hilo.