Makosa makubwa ya Muswada wa TISS

Usichanganye reality na kujipendekeza bro.
 
Mbona wamewwka wazi kuwa wanataka hiyo idara iwe sawa na majeshi mengine!
Nchi inaelekea kwenye shimo la upumbavu kwa kasi sana
 
Maafisa Usalama wengi tu wanajulikana huku wilayani na mikoani.Kuna maafisa usalama wa mikoa kama vile Regional Security Officer (RSO) na wa wilaya District Security Officer (DSO). Hawa huwa wanajitambulisha hata kwenye mikutano ya hadhara.
 
Naunga mkono hoja.Nyerere aliijenga nchi hii vizuri sana.Ni nchi yenye umoja na mshikamano wa kutosha.Upinzani ungekuwa na nguvu ungeweza kuleta machafuko.Lakini sasa hivi ndiyo unadhoofika zaidi.

Na sababu ni CCM kujiendesha kama Kanisa Katoliki ambalo kila lilipokutana na upinzani wa watu kama akina Martin Luther baadaye lilijitafakari kubaini wapi linakosea.Halafu linafanya mageuzi.
CCM pia ikiona inakabiriwa na upinzani sana huwa inakaa na kujivua gamba kwa sababu upinzani hutokana na kujisahau CCM yenyewe kwa kutotekeleza sera za kuondoa kero za wananchi.
 
Kwa muswada huu, maafisa upelelezi wa polisi maana yake watakuwa hawana kazi tena..
 
Mtu ukiwa ni realist, utasimama na ukweli daima, haijalishi ma wishful thinkers wanakuonaje. Nakiri the dividing line between kusifia kwa reality na kusifia kwa kujipendekeza is very thin!.
P

Reality ipi father unasimamia? Labda kama neno reality limepoteza maana yake siku hizi. Katika mazingira ambayo kusifia ni added advantage ya kutoka kimaisha, kujipendekeza hutafsiriwa kama kusimamia reality. Ili nisikivunje moyo, ngoja tufanye unasimamia ukweli.
 
Kiukweli naumia sana kila ninapo onekana kama chawa pale ninapo sifia for reality mtu anayestahili sifa. The only difference between pongezi za kweli na pongezi za kichawa ni very thin, machawa sio critical wao ni kufagilia tuu, mimi ni critical unayensifia leo tukamsifu, kesho akichemsha utamkosoa. Machawa are never critical.
P
 
Maafisa Usalama wengi tu wanajulikana huku wilayani na mikoani.Kuna maafisa usalama wa mikoa kama vile Regional Security Officer (RSO) na wa wilaya District Security Officer (DSO). Hawa huwa wanajitambulisha hata kwenye mikutano ya hadhara.
Mi namjua jamaa alijitambumisha kama RSO kwenye send off ya dada wa mke wangu[emoji1787]
 
Maafisa Usalama wengi tu wanajulikana huku wilayani na mikoani.Kuna maafisa usalama wa mikoa kama vile Regional Security Officer (RSO) na wa wilaya District Security Officer (DSO). Hawa huwa wanajitambulisha hata kwenye mikutano ya hadhara.
Hii ni matokeo ya good governance.. ila kabla ya hapo walikuwa hawatambuliki
 
Pascal si lazima wewe ujue kuwa ni chawa..pamoja na kujaribu sana kukuelimisha.
 
Ukiona Kuna kitu hukielewi vizuri jua hakikuhusu wapo wanaoelewa zaidi ya ulipoishia wewe(nawaza tu).
 
Ni ngum sana kwako kujisafisha ulishachafuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…