Usichanganye reality na kujipendekeza bro.Tuna watu wa aina mbili, the wishful thinkers na the realists. Wishful thinkers ni wale wanao wish tuu!, hata the impossible, they'd wish. The realist ni wale wanadeal na the reality only. Mimi ni realist, hatuna Watanzania wa kuleta machafuko, wala Watanzania wa kupindua nchi!.
Keep on wishing!.
P
Mbona wamewwka wazi kuwa wanataka hiyo idara iwe sawa na majeshi mengine!MAKOSA MAKUBWA YA MSWADA WA TISS
Sehemu ya 1.
Moja ya makosa ya mswada wa sheria ya Usalama wa Taifa, kipengele cha 5 cha mswada huo kinampa mamlaka Afisa usalama kukamata na kupekua viongozi, hapa Kifungu hicho kina kinakinzana na Katiba ya Jamhuri ya Muungano inayosema kila mtu sawa mbele ya sheria, Kifungu kinaweka tabaka kwamba viongozi wa kitaifa hawatawajibika mbele ya sheria ya makosa ya jinai inayosimamiwa na jeshi la polisi, Viongozi wote watakuwa na sheria yao na chombo chao cha kuwakamata, kuwapekua na pengine wanaweza kuwa na mahakama zao.
Duniani kote Afisa usalama hafanyi kazi ambazo ni za wazi. Ukishamruhusu akamate na kupekuwa ni automatically umeamrisha afisa usalama huyo afike mbele ya mahakama kutoa ushahidi wa mtuhumiwa kama mkamataji na mpekuzi. Kazi hii iliwekwa kwa Idara ya upelelezi pekee na sio TISS.
Ajabu katika mswada huohuo, unajipinga katika kifungu cha 16 ambapo umeweka katazo la Afisa usalama kutotajwa wala kutojulikana popote yeye binafsi na kazi zake. Unajiuliza hivi hawa walipoweka kifungu cha Afisa usalama kukamata na kufanya upekuzi walijua hata onekana na kujulikana? Wanafahamu taratibu za ukamataji na upekuzi huanzia kwa Mwenyekiti/mjumbe wa mtaa/kitongoji na kisha mashahidi wa mtuhumiwa ndipo mtu apekuliwe? Je hapo afisa huyo atakuwa kafichwa utambulisho wake, sura yake au?
Mswada huu ni wa hovyo na haufai kabisa kupitishwa kuwa Sheria. Ukipitishwa kama ulivyo ni automatically hatutakuwa na Usalama wa Taifa, bali tutakuwa na Jeshi jipya lililochukua nafasi ya Idara ya Polisi ya upelelezi tu.
Dunia inapambana kufanya mageuzi Mashiriks ya Ujasusi yawe na mrengo wa kuhami uchumi, Lakini Serikali ya CCM imeleta mswada unaoirudisha TISS nyuma kuwa genge la kisiasa kulinda madaraka rasmi kutoka awali kuwa TISS ilifanya shughuli za kisiasa/kichama kinyemera, Sasa Rais Samia anairasmisha kuwa kikundi cha kulinda na kutetea madaraka ya kisiasa. Very sad!
Napendekeza kifungu hiki cha 5A kirekebishwe, TISS isihusike na ukamataji wala Upekuzi wa mtu yoyote katika nchi, isipokuwa ipewe idhini ya "kudhibiti" kwa mtindo wa elimination ama equity/excute katika eneo muhimu tu. Ukamataji na upekuzi ubakie kwa Idara ya upelelezi ambayo ndio itahusika na mambo ya Mahakamani pia. Kifungu cha 16 kirekebishwe, kimeweka mkazo sana katika kuficha utambulisho, dunia ya Teknolojia ni vigumu sana kwa maafisa kuficha utambulisho wake, badala yake kazi/Oparesheni ndio ziwekwe kwenye sheria ya kuzuia utambuzi wake.
Leo naomba niongelee juu ya contradiction ya vifungu hivi viwili cha 5A na 16 vya mswada huu, kati ya vifungu 27 vya marekebisho ya sheria ya Usalama wa taifa.
Na Yericko Nyerere
View attachment 2641730View attachment 2641731View attachment 2641733
Kumbuka great thinker's wako nje ya bunge.Fisiem pekeyao watapitisha tuu Kwa kupiga makofi🤣🤣🤣🤣Msuada huu ukipitishwa kuwa sheria nitaamini bila chenga kuwa hatuna bunge nchi hii bali wachumia tumbo!
Mtu ukiwa ni realist, utasimama na ukweli daima, haijalishi ma wishful thinkers wanakuonaje. Nakiri the dividing line between kusifia kwa reality na kusifia kwa kujipendekeza is very thin!.Usichanganye reality na kujipendekeza bro.
CAG huwa habainishi wizi.Huwa anaeleza kuwa kuna mapungufu ya nyaraka katika mapato, matumizi na utekelezaji wa shughuli za Serikali.Kama huwa wanafanya yote haya unayosema...vipi kuhusu wizi uliowekwa wazi kwenye ripoti ya CAG walikuwa wapi?
Maafisa Usalama wengi tu wanajulikana huku wilayani na mikoani.Kuna maafisa usalama wa mikoa kama vile Regional Security Officer (RSO) na wa wilaya District Security Officer (DSO). Hawa huwa wanajitambulisha hata kwenye mikutano ya hadhara.Si lazima kila afisa wa TISS asijulikane, wanaweza kuwa na idara iliyo wazi kwa makosa maalum na maafisa wakafika mahakamani kutoa ushahidi.
Hata nchi zilizoendelea kuna issue za kipolisi, zingine FBI na pia CIA! Sheria ni nzuri ila inataka kuangaliwa kwa kina kuepusha kuingiliana majukumu.
Naunga mkono hoja.Nyerere aliijenga nchi hii vizuri sana.Ni nchi yenye umoja na mshikamano wa kutosha.Upinzani ungekuwa na nguvu ungeweza kuleta machafuko.Lakini sasa hivi ndiyo unadhoofika zaidi.Tuna watu wa aina mbili, the wishful thinkers na the realists. Wishful thinkers ni wale wanao wish tuu!, hata the impossible, they'd wish. The realist ni wale wanadeal na the reality only. Mimi ni realist, hatuna Watanzania wa kuleta machafuko, wala Watanzania wa kupindua nchi!.
Keep on wishing!.
P
Wewe unaona kutokushtakiwa kwa wanaofanya jinai ni sahihi!Eneo gani linashida? Mbona mengi mazuri?
Ukiskia upopoma ndio huu... kwani mtu aliyefanya vizuri hawezi kujosea??Mama Yako uliyemsifia ndio ameleta angeleta JPM pia ungepiga kelele muuza vitavu vya chekechea wewe
USSR
Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Mtu ukiwa ni realist, utasimama na ukweli daima, haijalishi ma wishful thinkers wanakuonaje. Nakiri the dividing line between kusifia kwa reality na kusifia kwa kujipendekeza is very thin!.
P
Kiukweli naumia sana kila ninapo onekana kama chawa pale ninapo sifia for reality mtu anayestahili sifa. The only difference between pongezi za kweli na pongezi za kichawa ni very thin, machawa sio critical wao ni kufagilia tuu, mimi ni critical unayensifia leo tukamsifu, kesho akichemsha utamkosoa. Machawa are never critical.Reality ipi father unasimamia? Labda kama neno reality limepoteza maana yake siku hizi. Katika mazingira ambayo kusifia ni added advantage ya kutoka kimaisha, kujipendekeza hutafsiriwa kama kusimamia reality. Ili nisikivunje moyo, ngoja tufanye unasimamia ukweli.
Mi namjua jamaa alijitambumisha kama RSO kwenye send off ya dada wa mke wangu[emoji1787]Maafisa Usalama wengi tu wanajulikana huku wilayani na mikoani.Kuna maafisa usalama wa mikoa kama vile Regional Security Officer (RSO) na wa wilaya District Security Officer (DSO). Hawa huwa wanajitambulisha hata kwenye mikutano ya hadhara.
Hii ni matokeo ya good governance.. ila kabla ya hapo walikuwa hawatambulikiMaafisa Usalama wengi tu wanajulikana huku wilayani na mikoani.Kuna maafisa usalama wa mikoa kama vile Regional Security Officer (RSO) na wa wilaya District Security Officer (DSO). Hawa huwa wanajitambulisha hata kwenye mikutano ya hadhara.
Pascal si lazima wewe ujue kuwa ni chawa..pamoja na kujaribu sana kukuelimisha.Kiukweli naumia sana kila ninapo onekana kama chawa pale ninapo sifia for reality mtu anayestahili sifa. The only difference between pongezi za kweli na pongezi za kichawa ni very thin, machawa sio critical wao ni kufagilia tuu, mimi ni critical unayensifia leo tukamsifu, kesho akichemsha utamkosoa. Machawa are never critical.
P
Ni ngum sana kwako kujisafisha ulishachafukaKiukweli naumia sana kila ninapo onekana kama chawa pale ninapo sifia for reality mtu anayestahili sifa. The only difference between pongezi za kweli na pongezi za kichawa ni very thin, machawa sio critical wao ni kufagilia tuu, mimi ni critical unayensifia leo tukamsifu, kesho akichemsha utamkosoa. Machawa are never critical.
P
Huyu USSR ni mbuzi kama mbuzi wa pale Chalinze nyama. Mtu anatumia Tecno pop yenye 1GB RAM na ROM ya 16 GB, haina 4G afu anakuja hapa anabwabwaUkiskia upopoma ndio huu... kwani mtu aliyefanya vizuri hawezi kujosea??
Umeiona simu yake?Huyu USSR ni mbuzi kama mbuzi wa pale Chalinze nyama. Mtu anatumia Tecno pop yenye 1GB RAM na ROM ya 16 GB, haina 4G afu anakuja hapa anabwabwa