Makosa ya IGP Sirro akiwa ofisini yaanze kukusanywa, Hana kinga kikatiba

Makosa ya IGP Sirro akiwa ofisini yaanze kukusanywa, Hana kinga kikatiba

Kada mtiifu Huyu CCM wanamlinda anawafanyia Kazi nzuri Sana watampa ubunge akistaafu.

Alikuwa professionalism kabla ajaonja nyama za watu akanogewa,alianza vizuri sana akakubali kuharibiwa na jiwe.
 
SIJAONA la ajabu Kosa la SIRRO, kama binadamu hawezi kosa mapungufu kwa wadhifa mkubwa kama huo, tambua nae yuko chini ya mamlaka, na sheria.

Kosa lake ni kuumaliza ugaidi wa mkulanga?
 
IGP Bora apumzike,huku magufur,huku sirro,huku makonda huku sabaya,huku ally hapiii hizo kolabo usipime Ni mwendo wa kupoteza na kuuwa.
 
Nakupongeza mtoa mada japo una dalili za Moses Lijenje lost ha ha ha just jokes.
 
SIJAONA la ajabu Kosa la SIRRO, kama binadamu hawezi kosa mapungufu kwa wadhifa mkubwa kama huo, tambua nae yuko chini ya mamlaka, na sheria..

Kosa lake ni kuumaliza ugaidi wa mkulanga ?
Inabidi tuwashawishi familia zote zilizopoteza Wapendwa wao au waliojeruhiwa Kama wakina Lissu mbele ya Polisi wafungue kesi hatoki huyo Mbwiga
 
Huyo Ally Happy.....akisema atamtwanga Makamba na JK....hana adabu huyo hata kidogo....sasa tunasubiri awatwange
 
Sifa kubwa iliyowapa madaraka na kupanda madaraja makonda, hapi na sabaya

1. Uvunjaji wa sheria, kanuni na Taratibu

2. Kukosa, adabu, hawakuwa na nidham ya utumishi. Kujimwambafai na kudharau kila mtu isipokuw Magufuli

3. Utawala wa udhalilishaji kwa watanzania kila siku

Inakuwaje Ally hapi bado yupo Kwenye taasisi za umma kwa uvunjifu mkubwa wa haki za raia alizofanya? Udhalilishaji nk
 
Back
Top Bottom