Makosa ya IGP Sirro akiwa ofisini yaanze kukusanywa, Hana kinga kikatiba

Makosa ya IGP Sirro akiwa ofisini yaanze kukusanywa, Hana kinga kikatiba

Igp siro ni Kati ya ma igp wa hovyo Sana kuwahi kutokea Tanzania. Tulijua wa mwisho atakuwa mahita Ila siro kaharibu mno.
Tuanze kukusanya ushahidi ili akistahafu mwaka 2022 asafishwe na mahakama.
Mods msifute huu Uzi. Siro ni doa ndani ya serikali.
[/QUOT
Itapendeza
 
Igp siro ni Kati ya ma igp wa hovyo Sana kuwahi kutokea Tanzania. Tulijua wa mwisho atakuwa mahita Ila siro kaharibu mno.
Tuanze kukusanya ushahidi ili akistahafu mwaka 2022 asafishwe na mahakama.
Mods msifute huu Uzi. Siro ni doa ndani ya serikali.
IGP wa hovyo Tanzania alikuwa ni Omari Mahita, jamaa aliua watu wengi sana yule. Benki zote zilizokuwa zinaibiwa na kuuliwa walinzi hapa Tanzania ilikuwa ni kazi ya Mahita, alimiliki vikundi vya majambazi kufanya uharifu kumnufaisha yeye na hata Kikwete alikuwa anajuwa hili. Mahita akamatwe anyongwe haraka sana.
 
IGP wa hovyo Tanzania alikuwa ni Omari Mahita, jamaa aliua watu wengi sana yule. Benki zote zilizokuwa zinaibiwa na kuuliwa walinzi hapa Tanzania ilikuwa ni kazi ya Mahita, alimiliki vikundi vya majambazi kufanya uharifu kumnufaisha yeye na hata Kikwete alikuwa anajuwa hili. Mahita akamatwe anyongwe haraka sana.
Kuna siku tusipojisahihisha, Watanzania watakwenda Umoja wa Mataifa kudai uhuru wa kisiasa, awamu ya pili. Na jamii ya Ulimwengu watawaelewa Watanzania wanachodai!
 
Siro ni mpumbavu Sana ameshusha Sana hadhi ya serikali na jeshi na mama anamlea
 
Igp siro ni Kati ya ma igp wa hovyo Sana kuwahi kutokea Tanzania. Tulijua wa mwisho atakuwa mahita Ila siro kaharibu mno.
Tuanze kukusanya ushahidi ili akistahafu mwaka 2022 asafishwe na mahakama.
Mods msifute huu Uzi. Siro ni doa ndani ya serikali.
Magaidi mnamchukia sana Siro, haiwasaidii, ataendelea kuwagonga tu mpaka mnyooke
 
Watanzania tuna matatizo makubwa sana, Sirro kama Sirro atawezaje kuizuia CCM au Mamlaka wasiwatumie askari (police) ? ?

Au IGP pekee awazuie serikali na uongozi mzima wa nchi wasiwatumie askari au kikosi maalum cha askari ? ukijuwa wazi kuwa na yeye ni mteule wa mkuu wa nchi ? ?
 
Inabidi tuwashawishi familia zote zilizopoteza Wapendwa wao au waliojeruhiwa Kama wakina Lissu mbele ya Polisi wafungue kesi hatoki huyo Mbwiga
Okay mbona hilo ni tatizo la serikali husika (tena kwa hakika kuanzia chama tawala)
SIRRO kama SIRRO mteuliwa wa chombo kimoja cha dola atafanya nini ?
askari police watendaji sio wanae ? je unajuaje kuwa wote ni police ?

Ndg sio kwamba nakupinga HAPANA hata mm yananiuma hasa la LISSU lakini Sirro hapa TUTAKUWA TUNAMUONEA KABISA

BUNGE Letu lenyewe linatii maagizo ya serikali na mamlaka yake ije iwe IGP mteule ?
 
Wasiojulikana wameanza kujulikana sabaya anasema aliwaingiza kwemye kitengo akina msando,karist na nassari.
 
Wemwache tunamzoom tuu na mabadiliko yako njiani tutakuja kuhoji mbona 7ya kafungwa yeye anazurura mtaani na alifanya maovu meengi!??!
 
Back
Top Bottom