Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Inabidi wamkamate Mahita haraka sana kabla hajajiua.Kuna siku tusipojisahihisha, Watanzania watakwenda Umoja wa Mataifa kudai uhuru wa kisiasa, awamu ya pili. Na jamii ya Ulimwengu watawaelewa Watanzania wanachodai!
Elimu.Wanazidiwa weledi hata na vijana wa Malawi huwezi kuta police malawi wanalinda chama
Lakini unajua kwamba polisi wanatumika vibaya kukilinda chama cha mapinduzi? Na kwamba hilo halifai kwa afya ya democracy?Watanzania tuna matatizo makubwa sana, Sirro kama Sirro atawezaje kuizuia CCM au Mamlaka wasiwatumie askari (police) ? ?
Au IGP pekee awazuie serikali na uongozi mzima wa nchi wasiwatumie askari au kikosi maalum cha askari ? ukijuwa wazi kuwa na yeye ni mteule wa mkuu wa nchi ? ?
Mnyeti wapi ? Mrisho gambo akasogea pembeni hakutaka damu zimrukieHapi nikiongozi mwenye sifa za akina sabaya na makonda
Utatu mtakatifu wa Magufuli
1. Paul makonda
2. Ally hapi
3. Sabaya
Hili kundi lilifanya madhila ya kila aina kwa watanzania wasio na hatia
Watanzania wameshiba amani hawajui hilo kabisa, hao watu hasa wawili tu CDF na IGP Sio watu wa masihala au wa kubeza,Tuhuma zipi zenye uthibitisho ndugu, zinazomhusu IGP wetu Sirro? Sirro ni miongoni mwa Wakuu wa Vyombo vya dola anayepaswa kupewa nishani ya juu ya utumishi wa umma uliotukuka. IGP Sirro na wenzake walisimamia katiba na kuivusha nchi salama baada ya tukio zito la Machi, 17,2021. Tuwape heshima viongozi wetu wa vyombo vya ulinzi na usalama. Pia, tutambue nao ni binadamu.
Kabisa kabisa hiyo crue ongeza na DGIS wanahitaji Tuzo ya juu ya utumishi uliotukuka.Watanzania wameshiba amani hawajui hilo kabisa, hao watu hasa wawili tu CDF na IGP Sio watu wa masihala au wa kubeza,
Tundu lisu amepanga kumpeleka The Hague pamoja na kingai na mahita walioshiriki kumpoteza Moses Lilenje na Lt Urio ikiwa ni pamoja na kuwapiga kuwatesa kuwafunga pingu saa 24 kila sikuIGP Sirro ni Kati ya ma-IGP wa hovyo Sana kuwahi kutokea Tanzania. Tulijua wa mwisho atakuwa mahita Ila siro kaharibu mno.
Tuanze kukusanya ushahidi ili akistahafu mwaka 2022 asafishwe na mahakama.
Siro ni doa ndani ya serikali.
Wanapelekwa mahakama ya uhalifu wa kimataifa The Hague😝😝😝😝😝Akiuona huu uzi atanuna.Hivi yule mtoto wake muhunimuhuni na wa hovyohovyo yupo?
Evidence zipo na hadi sasa zinaendelea kukusanywa na kutunzwa, unasubiriwa uongozi safi tu. kwani evidence za sabaya kuna aliyefikiria zilikusanywa? ni mambo ya mudaSifa kubwa iliyowapa madaraka na kupanda madaraja makonda, hapi na sabaya
1. Uvunjaji wa sheria, kanuni na Taratibu
2. Kukosa, adabu, hawakuwa na nidham ya utumishi. Kujimwambafai na kudharau kila mtu isipokuw Magufuli
3. Utawala wa udhalilishaji kwa watanzania kila siku
Inakuwaje Ally hapi bado yupo Kwenye taasisi za umma kwa uvunjifu mkubwa wa haki za raia alizofanya? Udhalilishaji nk
KimeumanaIGP Sirro ni Kati ya ma-IGP wa hovyo Sana kuwahi kutokea Tanzania. Tulijua wa mwisho atakuwa mahita Ila siro kaharibu mno.
Tuanze kukusanya ushahidi ili akistahafu mwaka 2022 asafishwe na mahakama.
Siro ni doa ndani ya serikali.
maana watatawala kw amujibu wa sheria na kanuni za nchi. Hii itafacilitate maendeleo haraka.Siku watawala wa kiafrica wakianza kuishia jela kama mabara mengine Afrika itakuwa na maendeleo.
Daud Bashite wanamuandalia ya kwenda Dodoma na akina Le mutuz cyprian Musiba Heri kisanduku nyaulingo kumpiga Risasi Tundu lisu na kesi za kuwateka MO, Msanii Roma na wengineo huku akiwa na kesi nyiingine nyingi ikiwemo kuwatengenezea kesi haramu za wauza unga ili apate kuwapora mali zaoHapi nikiongozi mwenye sifa za akina sabaya na makonda
Utatu mtakatifu wa Magufuli
1. Paul makonda
2. Ally hapi
3. Sabaya
Hili kundi lilifanya madhila ya kila aina kwa watanzania wasio na hatia
PGO itawafunga wote walioshiriki kuwabambikia kesi chadema na upinzanimaana watatawala kw amujibu wa sheria na kanuni za nchi. Hii itafacilitate maendeleo haraka.
Mambo ya saudia arabia kwenye hija(you know what i mean)Halafu Mama bado yuko na Hapi kwenye utawala wake. Mambo ya aibu kabisa
Hawezi kuwafurumusha wote kwa wakati mmoja. Kumbuka hawako peke yaoHalafu Mama bado yuko na Hapi kwenye utawala wake. Mambo ya aibu kabisa
Watanzania wa wapi unawasemea? Watanzania wamevumilia tu lakini hawana Aman kabsa na wabaya wao si CDF wa jwtz bali ni IGP wa Polisiccm tu wao wanajua mnyanyasaji wa upinzani ni IGP na Polisiccm wake pekee siyo vyombo vingine vya dolaWatanzania wameshiba amani hawajui hilo kabisa, hao watu hasa wawili tu CDF na IGP Sio watu wa masihala au wa kubeza,
True na sio ya kutawala kwa matakwa binafsi.maana watatawala kw amujibu wa sheria na kanuni za nchi. Hii itafacilitate maendeleo haraka.