Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Makosa ya Musiba, hayalingani na tamaa ya Membe!

Swali mbona liko wazi,acha kujificha kwenye kichaka cha Sheria! Kama hizo b9 ni rahisi kua nazo, mbona Membe toka azaliwe hajawa miliki hata b3!!??
Ukiwa mpumbavu ficha upumbavu wako au tafuta level ya wapumbavu wenzako mbishane na kutetea upumbavu.

Inabidi uuzidi upumbavu ili kuutetea
 
Ukiwa mpumbavu ficha upumbavu wako au tafuta level ya wapumbavu wenzako mbishane na kutetea upumbavu.

Inabidi uuzidi upumbavu ili kuutetea
Siku zote Mtu mjinga akikosa hoja hukimbilia matusi,haya wwe mwerevu hongera kwa huo uwerevu wako wa kutukana watu hata usiowajua kwenye mitandao!!
 
Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, na sipangani na sheria yoyote ya nchi iliyotumika, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa

Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao, naamini, kila kitu Msiba atauza na pesa haitatosha, mwisho wa siku ni nini? Kwa nini asifungwe maisha?

Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!

Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji

J.mosi njema
Mtoa mada, unaweza kutuwekea hapa Makosa ama Udhalilishaji ambayo Musiba aliufanya ama kuusema kwa Membe!?
 
Siku zote Mtu mjinga akikosa hoja hukimbilia matusi,haya wwe mwerevu hongera kwa huo uwerevu wako wa kutukana watu hata usiowajua kwenye mitandao!!
Upumbavu ni sifa asiyejijua kama mjinga, wewe una hoja? Unaweza kubishana na sheria kwamba ni kichaka kwa hisia zako za kipumbavu halafu unasema una hoja.

Tafuta wapumbavu wenzako
 
Umekula!? Maana usijekua unapayuka humu kumbe ni hasira za njaa!!?
Nimeshiba vizuri, ila tatizo liko kwenu msiojitambua wenye chuki za kichawi. Mlifurahia mwendazake alipokuwa anatumia vikaragosi akina Musiba, Sabaya, Makonda na wapuuzi wengine kudhalilisha wasiokubaliana nae. Leo yuko kuzimu mnatatarika kama bisi kwenye moto kudadadadeki, mnamuona Membe mbaya. Wapuuzi nyie mchangieni mpumbavu mwenzenu akalipe deni
 


Mtu kama huyu aliyekuwa anatishia kumuingilia kinyume na maumbile Membe, halaf kuna wajinga wanamtetea!
 
Mpaka msengerema wenu atapiga magoti na kuomba radhi kwa fedheha kuu! Na lengo la Membe ni kumshikisha adabu huyu panya
Tukiacha mgogoro wao tukazungumza ukweli! Ni tusi gani linalipwa kwa 9b na ama utu wa mtu unalinganishwaje na faini hiyo?

Kwa nini huyo jamaa asifungwe maisha
 
Tukiacha mgogoro wao tukazungumza ukweli! Ni tusi gani linalipwa kwa 9b na ama utu wa mtu unalinganishwaje na faini hiyo?

Kwa nini huyo jamaa asifungwe maisha
Kumbe kila tusi Lina bei yake? Mtu akikuambia wewe mwanaume ipo siku utaamka una matako makubwa na umepakwa rangi ya mdomoni (shedo) ana maana gani?
 
Kumbe kila tusi Lina bei yake? Mtu akikuambia wewe mwanaume ipo siku utaamka una matako makubwa na umepakwa rangi ya mdomoni (shedo) ana maana gani?
Magic hiyo mkuu au ni uchawi!
 
Back
Top Bottom