Musiba atoe billion 9 Kwan nini tatizo si alipe we unafikiri defamation ni kesi ndogo ulipwe elfu 3 uende au sio? Tena hio billion 9 kaonewa huruma sana tena sana angepigwa hata billion 100, defamation hainaga mchezo mchezoHata kama, wewe unadhani bilion 9 ndio faraja kwao?
Wewe ni mtoto mkubwa wa musiba naonaSitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Wewe kipimo chako cha utu unadhani angelipwa kisi gani?Hata kama, wewe unadhani bilion 9 ndio faraja kwao?
Huyu mzoa mada ukimpa mili 5 anatoa tigo maqnq hajui thaman ya utuUnajua thamani ya utu wa mtu?
Au ndiyo nyie huwa mnasema ni afadhali mngezaliwa mbwa Ulaya kuliko kuzaliwa binaadam bongo?
Kwa hiyo wewe kwa akili zako mahakama Wanapitisha madai bila kuyapima, kuyalinganisha na kosa lenyewe? Wewe utakuwa na tatizo mahali.Wewe umeona nimeandika neno Mahakama pale?
Naanza rasimi kukutafuta mkuu!Wewe ni kisamv!
Na wao ufisadi waliolifanyia taifa hili ni faraja kwa Watanzania sio!Hata kama sio faraja. Itasaidia kujenga utaratibu wa kuheshimu utu wa mtu. Kisa tu mtu hakubaliani hoja yako ndio utake kumfilisi?
Umfanye mtu na ndugu zake waishi bila amani wakati wameshiriki kuijenga Tanzania unayoiongoza wewe.
Angalau sasa hivi, nduguze wanaamani kuliko kipindi kile.
Kwa mtu kama Musiba,ikitolewa hukumu ya kulipa Milioni 100 bado ni kubwa sana kwake.Ebu toa hesabu yako kuhusu fidia aliyostahili kulipwa, kuliko kuiacha mada yako ikielea tu angani. Je! Kama kiasi cha mabilioni ni kikubwa sana, unashauri kiasi cha fidia kingalipaswa kiwe katika makadirio ya maelfu, malaki ama mamilioni ya fedha za Kitanzania!?
Weka wazi nini unachokifahamu kuhusu ukubwa wa kosa ambalo alifanyiwa mbele ya macho ya sheria, kisha uainishe na kiwango cha madhara ya kosa hilo kwa Membe. Na hatimaye ujenge hoja yenye mantiki kuhusu kadirio la chini kabisa, na pia lile la juu kabisa la kiasi cha fidia unachofikiria kinafaa alipwe. Kisha ndipo ulete jumuisho lako kwa kuainisha tamaa ya Membe katika fidia hiyo.
Kosa la Membe Ni lipi?. Mahakama ndio imeamuaMembe hasitahili kulipwa chochote ..!!
Membe na nduguze walinyanyasika sana awamu ya tano. Kama hujawahi kuwa karibu na wanafamilia yake huwezifahamu namna walivyoishi kinyonge.
1-Kwani maamuzi yalitoka kwa membe au mahakamaSitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Ukipata mimba utamlaumu nani?Naanza rasimi kukutafuta mkuu!
Ni fundisho kwa machawa wote ukiwemo wewe.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Asanteee ( in Anna Makonda voice)Membe haitaji hiyo Hela Ili aishi, ila anamshikisha nidhamu MUSIBA ili jamiii ielewe umuhumu wa kuwa na maadili
Membe hasitahili kulipwa chochote ..!!
Mfano ww ndio mtoto wa membe na umesikia baba anatakiwa alipwe 9B utamwambia baba msamehe.Sitetei chochote kuhusu yaliyojiri kumhusu mh Membe yakimhusisha mmiliki wa magazeti ya Tanzanite kumdhalilisha mh Membe kwa kumchafua, ila naiona tamaa kubwa isiyo na mantiki kutoka kwa mh Bernard Membe ya kutaka ujira mkubwa usiolingana na kile wengi wanakiita ni kudhalilishwa
Hata tungelimshirikisha asiye na akili kuhusu madai hayo ya bilioni 9 kwa kosa tu la kuandikwa vibaya Mh Membe kwenye gazeti, nina hakika angelicheka kwa huzuni na mshangao
Naamini pia hata watoto wake ikiwa wana utu tu wa mbaali kabisa, wanaishangaa hii hukumu na tamaa iliyopitiza kiwango!
Msiba anayo makosa makubwa na hahitaji kutetewa, lakini bilioni 9 kwa kosa hilo, ni tamaa ya mlipwaji na inamdhalilisha mlipwaji
J.mosi njema
Jinga kabisa wewe, hakuna moderator wa kusikiliza watu wapumbavu kama wewe.
Huyu mzee wa goli la dakika ya 89 sioni ni namna gani atajijenga kisiasa kwa kumdai msiba bilioni 9, mimi naona itamfanya aonekane irrational......Membe jinsi navyo mdharau hata angelipwa trillion 900 hainibadilishi chochote namuona ni mjinga fulani hivi aliyechangamka.