Maktaba Imepokea Picha Kutoka Mbali Katika Historia ya TANU Moshi Mjini

Maktaba Imepokea Picha Kutoka Mbali Katika Historia ya TANU Moshi Mjini

Mohamed Said

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
21,967
Reaction score
32,074
Limekuwa jambo la kawaida sana siku hizi wasomaji wangu kuniletea taarifa nyingi ambazo wao wanazo katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Taarifa nyingine pamoja na picha zinatoka kutoka familia za wapigania uhuru ambao historia imewasahau.

Leo nimepokea picha ambazo kwa hakika zimenisaidia kuona kwa ndani zaidi hali ya jamii ya Moshi mjini ilikuwaje katika miaka ya 1950 wakati wa kupigania uhuru ingawa baadhi ya picha hizi zilipigwa uhuru ushapatikana.

Lakini juu ya haya ule mtandao wa akina mama bado upo haujavunjika.

Katika kitabu cha Abdul Sykes nilieleza kuwa TANU Moshi Mjini ilikuwa mikononi mwa akina mama na ni tawi pekee Tanganyika ambalo nguvu yake kubwa ilitokana na akina mama:

''Yusuf Olotu Yusuf labda kwa kuelewa mazingira ya Kilimanjaro alianza kujenga msingi wa TANU si kwa wanaume bali kutoka kwa akina mama.

Hiki ni kitu aziz sana katika historia ya uhuru.

Katika historia ya TANU ni zile sehemu ambazo kulikuwa na utamaduni wa Kiswahili wa vyama vya akina mama kama hapo Moshi mjini, Dar es Salaam, Tanga, Lindi na kwingineko ndiko chama kilipata nguvu kubwa sana ya wanawake.''

Wanawake wa Moshi Mjini, Mtaa wa Chini na Mtaa Juu na Majengo mila na utamaduni wao ni wa Kiswahili kabisa.

Nyimbo zinazoimbwa harusini ni zilezile zinazoimbwa Mombasa, Dar es Salaam, Lindi na sehemu nyingi za pwani.

Ila Moshi waliongeza ngoma ambayo kwa Tanzania naweza kusema inachezwa Moshi peke yake kwani haipo katika mji wowote Tanzania.

Ngoma hii inaitwa, ''Msanja.''

Nimeambiwa kuwa Msanja upo Mombasa na ndiko ulikotokea hadi kufika Moshi.

Ngoma hii huchezwa harusini na wanawake watupu na kwa kawaida huwa sehemu ile inapochezwa uwanja hufungwa yakazungushwa magunia kwa ajili ya stara kwa wanawake.

Wanawake huimba wakicheza na kupiga pembe za ng'ombe.

Katika picha nilizopokea ipo picha ya akina mama wakiwa harusini wengine wameshika pembe za ng'ombe.

Katika picha hii yuko Zena Maua mmoja wa akina mama waliokuwa mstari wa mbele wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Halikadhalika nimepokea picha ya Juma Ngoma mmoja wa waasisi wa TANU, Moshi.

Juma Ngoma nimemtaja katika kitabu cha Abdul Sykes:

''Ilikuwa Yusuf Olotu ndiye aliyeweza kuifanya TANU iingie kwanza Moshi mjini kwa vishindo na kutoka hapo mjini akaieneza vijijini.

Kupitia kumbukumbu za Mzee Yusuf Olotu ndipo unapokutana na historia za awali kabisa za wanasiasa maarufu waliopata majina na vyeo; na wengine kuwa mawaziri katika Tanganyika huru, kama Lucy Lameck, Enesmo Eliufoo na wengineo.

Ilikuwa Yusuf Olotu ndiye pamoja na wazalendo wengine waliifanya TANU ishinde uchaguzi wa Kura Tatu mwaka 1958.

Kupitia kumbukumbu zake halikadhalika ndipo kwa huzuni kubwa utakapokutana na mashujaa waliosahaulika kama yeye mwenyewe, mashujaa wa kike na wa kiume, wazalendo kama marehemu Mama Bint Maalim, Amina Kinabo, Halima Selengia, Juma Ngoma, Melkezedek Simon, Gabrieli Malaika na wengineo.

Hawa ndiyo mashujaa ambao kwa muda waliamua wasahau nguvu na utawala wa machifu (Mangi) wao na kujiweka chini ya TANU kupigania uhuru wa Tanganyika.''

1718478187821.jpeg

Juma Ngoma
1718477921527.jpeg

Akina Mama wa Moshi Mjini
Bi. Zena Maua ni huyo nyuma ya Bi. Swalha mama mwenye miwani
1718478058384.jpeg

Zena Maua
1718478497754.jpeg

Yusuf Olotu
(Picha kutoka kitabu,''Uamuzi wa Busara,'' (2007)
Mwandishi Mohamed Said

 

Attachments

  • 1718477833137.jpeg
    1718477833137.jpeg
    19.9 KB · Views: 12
Hongera kwa historia. Ingawaje, mtu atajiuliza among all the chagga women hapo. Ni hao tu uliowafahamu? Je hukumuuliza mtuma picha ili akupe historia ya hata wawili wengine ktk hiyo picha!
 
Hongera kwa historia. Ingawaje, mtu atajiuliza among all the chagga women hapo. Ni hao tu uliowafahamu? Je hukumuuliza mtuma picha ili akupe historia ya hata wawili wengine ktk hiyo picha!
James...
Mimi nimekulia Moshi na baadhi ya hawa akina mama nawafahamu lakini sidhani kama kuna mtu anaetaka kusoma historia binafsi ya mtu.

Hapo yupo Bi. Mwananjoro, Bi. Swalha, Mama Sheikh, Bi. Asha Tabu, Bi. Asha Mahmud, Bi. Asha Kikuyu, Bi Zena Maua, Bi. Mwanamoshi na wengine siwafahamu.

Picha ilipigwa nyumbani kwa Sheikh Abdallah Minhaj siku ya harusi ya bint yake Mtaa wa Liwali.
 
Unatuletea picha za harusi harafu una leta upotoshaji wako eti ni za wapigani uhuru wa tanganyika,we mzee unaona wote watoto wadogo humu.

Hakuna watoto wadogo wakudanganya humu kirahisi na vihistoria vyako vya kuokoteza vilivyojaa uongo na upotoshaji.
 
Limekuwa jambo la kawaida sana siku hizi wasomaji wangu kuniletea taarifa nyingi ambazo wao wanazo katika historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika.

Taarifa nyingine pamoja na picha zinatoka kutoka familia za wapigania uhuru ambao historia imewasahau.

Leo nimepokea picha ambazo kwa hakika zimenisaidia kuona kwa ndani zaidi hali ya jamii ya Moshi mjini ilikuwaje katika miaka ya 1950 wakati wa kupigania uhuru ingawa baadhi ya picha hizi zilipigwa uhuru ushapatikana.

Lakini juu ya haya ule mtandao wa akina mama bado upo haujavunjika.

Katika kitabu cha Abdul Sykes nilieleza kuwa TANU Moshi Mjini ilikuwa mikononi mwa akina mama na ni tawi pekee Tanganyika ambalo nguvu yake kubwa ilitokana na akina mama:

''Yusuf Olotu Yusuf labda kwa kuelewa mazingira ya Kilimanjaro alianza kujenga msingi wa TANU si kwa wanaume bali kutoka kwa akina mama.

Hiki ni kitu aziz sana katika historia ya uhuru.

Katika historia ya TANU ni zile sehemu ambazo kulikuwa na utamaduni wa Kiswahili wa vyama vya akina mama kama hapo Moshi mjini, Dar es Salaam, Tanga, Lindi na kwingineko ndiko chama kilipata nguvu kubwa sana ya wanawake.''

Wanawake wa Moshi Mjini, Mtaa wa Chini na Mtaa Juu na Majengo mila na utamaduni wao ni wa Kiswahili kabisa.

Nyimbo zinazoimbwa harusini ni zilezile zinazoimbwa Mombasa, Dar es Salaam, Lindi na sehemu nyingi za pwani.

Ila Moshi waliongeza ngoma ambayo kwa Tanzania naweza kusema inachezwa Moshi peke yake kwani haipo katika mji wowote Tanzania.

Ngoma hii inaitwa, ''Msanja.''

Nimeambiwa kuwa Msanja upo Mombasa na ndiko ulikotokea hadi kufika Moshi.

Ngoma hii huchezwa harusini na wanawake watupu na kwa kawaida huwa sehemu ile inapochezwa uwanja hufungwa yakazungushwa magunia kwa ajili ya stara kwa wanawake.

Wanawake huimba wakicheza na kupiga pembe za ng'ombe.

Katika picha nilizopokea ipo picha ya akina mama wakiwa harusini wengine wameshika pembe za ng'ombe.

Katika picha hii yuko Zena Maua mmoja wa akina mama waliokuwa mstari wa mbele wakati wa kupigania uhuru wa Tanganyika.

Halikadhalika nimepokea picha ya Juma Ngoma mmoja wa waasisi wa TANU, Moshi.

Juma Ngoma nimemtaja katika kitabu cha Abdul Sykes:

''Ilikuwa Yusuf Olotu ndiye aliyeweza kuifanya TANU iingie kwanza Moshi mjini kwa vishindo na kutoka hapo mjini akaieneza vijijini.

Kupitia kumbukumbu za Mzee Yusuf Olotu ndipo unapokutana na historia za awali kabisa za wanasiasa maarufu waliopata majina na vyeo; na wengine kuwa mawaziri katika Tanganyika huru, kama Lucy Lameck, Enesmo Eliufoo na wengineo.

Ilikuwa Yusuf Olotu ndiye pamoja na wazalendo wengine waliifanya TANU ishinde uchaguzi wa Kura Tatu mwaka 1958.

Kupitia kumbukumbu zake halikadhalika ndipo kwa huzuni kubwa utakapokutana na mashujaa waliosahaulika kama yeye mwenyewe, mashujaa wa kike na wa kiume, wazalendo kama marehemu Mama Bint Maalim, Amina Kinabo, Halima Selengia, Juma Ngoma, Melkezedek Simon, Gabrieli Malaika na wengineo.

Hawa ndiyo mashujaa ambao kwa muda waliamua wasahau nguvu na utawala wa machifu (Mangi) wao na kujiweka chini ya TANU kupigania uhuru wa Tanganyika.''

View attachment 3018276
Juma Ngoma
View attachment 3018274
Akina Mama wa Moshi Mjini
Bi. Zena Maua ni huyo nyuma ya Bi. Swalha mama mwenye miwani
View attachment 3018275
Zena Maua
View attachment 3018279
Yusuf Olotu
(Picha kutoka kitabu,''Uamuzi wa Busara,'' (2007)
Mwandishi Mohamed Said

Kama hawakua wanakula kitimoto na bia hao sio wachaga
 
James...
Mimi nimekulia Moshi na baadhi ya hawa akina mama nawafahamu lakini sidhani kama kuna mtu anaetaka kusoma historia binafsi ya mtu.

Hapo yupo Bi. Mwananjoro, Bi. Swalha, Mama Sheikh, Bi. Asha Tabu, Bi. Asha Mahmud, Bi. Asha Kikuyu, Bi Zena Maua, Bi. Mwanamoshi na wengine siwafahamu.

Picha ilipigwa nyumbani kwa Sheikh Abdallah Minhaj siku ya harusi ya bint yake Mtaa wa Liwali.
Point yangu ilikuwa hivi: umeatubia picha imepigwa Moshi. Lakini hatujaona uwakilishi wa jamii za watu wa Moshi ktk maelezo yako zaidi ya kusema ngoma imetoka Mombasa. Sasa kwa harakaharaka hapo tunaona sura za asili wlya watu wa Moshi ambao nao tulitaka maelezo Yao ktk kuhusika na uhuru wa Tanganyika kama ulivyojishughulisha kwa hao wengine.
Pia, ni ajabu ktk kundi lote hilo kuweka na jina la asili ya watu wa Kilimanjaro kwa uchache namna hiyo. Maana yake ni kuwa ktk historia unayoiandika wanawake wa Kilimanjaro hawakushiriki sana ktk uhuru we Tanganyika mpka hao wenye majina ya Pwani ambao wamepata chapua ktk maelezo yako hapo.
 
Point yangu ilikuwa hivi: umeatubia picha imepigwa Moshi. Lakini hatujaona uwakilishi wa jamii za watu wa Moshi ktk maelezo yako zaidi ya kusema ngoma imetoka Mombasa. Sasa kwa harakaharaka hapo tunaona sura za asili wlya watu wa Moshi ambao nao tulitaka maelezo Yao ktk kuhusika na uhuru wa Tanganyika kama ulivyojishughulisha kwa hao wengine.
Pia, ni ajabu ktk kundi lote hilo kuweka na jina la asili ya watu wa Kilimanjaro kwa uchache namna hiyo. Maana yake ni kuwa ktk historia unayoiandika wanawake wa Kilimanjaro hawakushiriki sana ktk uhuru we Tanganyika mpka hao wenye majina ya Pwani ambao wamepata chapua ktk maelezo yako hapo.
James...
Hujaona uwakilishi wa jamii za watu wa Moshi.
Ulitegemea uwakilishi upi?

Hao ndiyo akina mama wa Moshi au wewe unao wengine ambao wakiwamo hao ndiyo inakuwa Moshi imewakilishwa?

Kuhusu Msanja nimesema asili yake ni Mombasa.
Soma tena post yangu.

Wanawake gani wa Moshi ambao hawakushiriki katika kupigania uhuru?

Akina mama wa Moshi walioshiriki harakati za kupigania uhuru majina yao yanafahamika.
 
James...
Hujaona uwakilishi wa jamii za watu wa Moshi.
Ulitegemea uwakilishi upi?

Hao ndiyo akina mama wa Moshi au wewe unao wengine ambao wakiwamo hao ndiyo inakuwa Moshi imewakilishwa?

Kuhusu Msanja nimesema asili yake ni Mombasa.
Soma tena post yangu.

Wanawake gani wa Moshi ambao hawakushiriki katika kupigania uhuru?

Akina mama wa Moshi walioshiriki harakati za kupigania uhuru majina yao yanafahamika
James...
Hujaona uwakilishi wa jamii za watu wa Moshi.
Ulitegemea uwakilishi upi?

Hao ndiyo akina mama wa Moshi au wewe unao wengine ambao wakiwamo hao ndiyo inakuwa Moshi imewakilishwa?

Kuhusu Msanja nimesema asili yake ni Mombasa.
Soma tena post yangu.

Wanawake gani wa Moshi ambao hawakushiriki katika kupigania uhuru?

Akina mama wa Moshi walioshiriki harakati za kupigania uhuru majina yao yanafahamika.
Sawa nimekuelewa kuna kitu nilichanganya nahisi.
Shukrani.
 
Ni moshi ya kilimanjaro au moshi ipi? mbona hamna majina ya koo za kilimanjaro hapo?
 
Point yangu ilikuwa hivi: umeatubia picha imepigwa Moshi. Lakini hatujaona uwakilishi wa jamii za watu wa Moshi ktk maelezo yako zaidi ya kusema ngoma imetoka Mombasa. Sasa kwa harakaharaka hapo tunaona sura za asili wlya watu wa Moshi ambao nao tulitaka maelezo Yao ktk kuhusika na uhuru wa Tanganyika kama ulivyojishughulisha kwa hao wengine.
Pia, ni ajabu ktk kundi lote hilo kuweka na jina la asili ya watu wa Kilimanjaro kwa uchache namna hiyo. Maana yake ni kuwa ktk historia unayoiandika wanawake wa Kilimanjaro hawakushiriki sana ktk uhuru we Tanganyika mpka hao wenye majina ya Pwani ambao wamepata chapua ktk maelezo yako hapo.
Kwani hujajua lengo la huyu Mzee Mzushi bado?

Anachotaka kutuaminisha ni kuwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika siku zote ni Waislam, na ndio maana hapo ni Moshi Mjini ya miaka hiyo (Ambao majority walikuwa ni Wachagga Wakristo) katika maeneo hayo, tena kwa hapo mjini walikuwa Waluteri na Wakatoliki tu mpaka pale stand kuu ya Mabasi

LAKINI, yeye kawataja tu Wamama wa Kiislam eti ndio waliopigania Uhuru na kuileta TANU Moshi mjini...ilihali hiyo ni picha ya Harusi ya Kiswahili huko Mbuyuni 🤣🤣🤣🤣
 
Kwani hujajua lengo la huyu Mzee Mzushi bado?

Anachotaka kutuaminisha ni kuwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika siku zote ni Waislam, na ndio maana hapo ni Moshi Mjini ya miaka hiyo (Ambao majority walikuwa ni Wachagga Wakristo) katika maeneo hayo, tena kwa hapo mjini walikuwa Waluteri na Wakatoliki tu mpaka pale stand kuu ya Mabasi

LAKINI, yeye kawataja tu Wamama wa Kiislam eti ndio waliopigania Uhuru na kuileta TANU Moshi mjini...ilihali hiyo ni picha ya Harusi ya Kiswahili huko Mbuyuni [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huwez kupindisha ukweli kaka, nchi hii uhuru uliletwa na waislamu.

Nyerere Alikuw muhuni mmoja tu aliedandia gari kwa mbele.
 
Huwez kupindisha ukweli kaka, nchi hii uhuru uliletwa na waislamu.

Nyerere Alikuw muhuni mmoja tu aliedandia gari kwa mbele.
Muhuni wakati ndio alikuwa KICHWA, Ninyi mngeweza kucompromise na Waingereza wakati hala lugha hamkuijua?

Au mngeongea kidengereko na Muingereza?

Waislam walikuwa wengi Dsm lakini wacheza bao vibarazani wakati huo
 
Back
Top Bottom