mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Huyu mzee mfia dini,nitegemea atiririke humu harakati za Cief Mbano Singea na wezake yeye kaweka jina tuHaswa! Kumbe na wewe unamfahamu? Sykes hayumo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mzee mfia dini,nitegemea atiririke humu harakati za Cief Mbano Singea na wezake yeye kaweka jina tuHaswa! Kumbe na wewe unamfahamu? Sykes hayumo?
Mkwawa wakati anapigana na Hermann von Wissmann tayari alikuwa Muislam na msala wake aliokuwa akisalia umehifadhiwa Mkwawa Museum.Mi naomba kuuliza, hao wazee wetu Songea na Mkwawa walikuwa wanafanya harakati za kidini?
Unaanza ubaguzi wa umri?
Ungekaa kimya ungepata hasara kiasi gani?unashindwa nini kutokumjibu kila mmoja humu.Waislam hatufundishi n Uislm haufundishi "bias" ya aina yoyote.
a
"inferiarity complex "inayosababishwa na uoga wa Uislam (Islamophobia) ndiyo inawafanya muwe na fikra za kikondoo.
Kwani kuitwa kondoo na wwazungu ndiyo lazima muwe kondoo kweli?
Wewe.Ungekaa kimya ungepata hasara kiasi gani?unashindwa nini kutokumjibu kila mmoja humu.
Niliyemuuliza ame-respond vizuri na nimeshamuelewa unadhani mimi na wewe nani mwenye ”inferiority complex” kwa ulichoandika hapa?