Caf bhana eti 1.Nigeria 2.Tunisia 3.Uganda 4.Tanzania, Hapa alama tutapata siyo kama mashindano yaliyopita tuliyotoka bila alama, hapa droo 2 na ushindi game Moja, Hemmed Morroco nguvu Moja.Kwasasa nchini Morocco kuna hafla ya upangaji wa makundi kwaajili ya michuano ya AFCON 2025.
Ungana nami kujua Tanzania tutapangwa na nani?
Tukio lipo mubashara Azamtv na DStv
=================================
View attachment 3215833View attachment 3215834View attachment 3215835View attachment 3215836View attachment 3215838View attachment 3215839
Yule captain wao chotara flan hivi huku mna mkamiaji Bacca eti Koplo 😂😂 Tanzania kuna vitukoYani yapo kila mmoja anatutamani.
Wenzako wana Victor Osimen wewe una Abdul Hamis Sopu.
Huku Alex Iwobi huku Sospeter Bajana.
Huku Chukwueze huku Kibu Denis.
Huku Ademola Lookman huku Mzize.
Sijaelewa logic ya kumlaumu kocha mkifungwa na watu kama hawa inatokana na nini?
Bila kumsahau mama abdul😀😀😀Dr Motsepe jamaa mpira wa afrika utamkumbuka ameleta tija sana kwa mpira wa afrika yeye na Karia hapa kwetu tutawakumbuka
Hamia Burundi. Kenge we😀😀😀Haya sasa kwa kundi hilo tutafika wapi zaidi ya kuishia kwenye round ya kwanza tu lakini mtu kwa tamaa zake za madaraka anaamua kutupa hela ya bure eti kuwazawadia kwa kufuzu fainali za Afcon!
Nchi la ovyo sana hili.
Kenge wewe ambaye kazi yako ni kujipendekeza kwa watu ambao hata hawajawahi kufikiria kama Tanzania hii kuna mbwa kama wewe.Hamia Burundi. Kenge we😀😀😀
Mitano tena kwa Mrs. Hafidh
Jamaa anajuaa sanaaaMustapha Hadji, staa wa zamani wa Morocco ndio ameingia kuanza kuchezesha droo
Wenye dini hawajali hayo mambo, wafuasi ndo shidaSherehe zimefana sana hii Morocco ni ulaya kabisa
Sema mabinti wa Morocco tena wasanii hawafuniki vichwa kwa hijabu hii nadhani haitawafurahisha Hamas na hizbolah
Mbona kuna Academies za Allience na Cambiaso, wamefika wapiAkili za simba na yanga badala ya kuwekeza kuinua vipaji huko academy
Hapana kwa Sasa kwenye michezo vichwa viwili hapa Leodigar Tenga pale BMT na huku ndio Karia hii duo imepambania sana SokaBila kumsahau mama abdul😀😀😀
kichaa hawezi elewa ukweli uliousemaDr Motsepe jamaa mpira wa afrika utamkumbuka ameleta tija sana kwa mpira wa afrika yeye na Karia hapa kwetu tutawakumbuka
Vp wale masister wakijifunika huwa unachukia enheee!!!!Sherehe zimefana sana hii Morocco ni ulaya kabisa
Sema mabinti wa Morocco tena wasanii hawafuniki vichwa kwa hijabu hii nadhani haitawafurahisha Hamas na hizbolah
Unaota wewe!Finally safari hii Tanzania tunaenda kufuzu round ya pili.
Uganda tunampiga. Nigeria hawatishi tunaweza pata sare. Tunisia tuna sare au akikaa vibaya naye anapokea kichapo ili safari yetu iwe na uhakika zaidi. Hapo hatujaenda round ya mtoano?
Muhimu ratiba ipangwe vizuri kutufeva. Tuanze na Tunisia, halafu aje Nigeria tumalizie na wajukuu wa Museveni.
Save hiyo risiti. Mimi huwa sikosei.Unaota wewe!
Sii kuna best loser jamani tunapita hatua ya knockoutTaifa Stars inaenda kusindikiza lakini huenda itafika robo fainali.
Tz bye bye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Group C
Nigeria
Tunisia
Uganda
Tanzania