Ndio maana litimu leta libovu kwa hizi mentalityKwenye mpira anything can happen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana litimu leta libovu kwa hizi mentalityKwenye mpira anything can happen
Kabisaaaaa..... Yaani atakaye draw tuu na bongo safariAtayeshindwa kumfunga Tanzania ameaga mashindano..
Na'BET MILION 2 KWA MOJA TUTAKUWA WA MWISHOKwasasa nchini Morocco kuna hafla ya upangaji wa makundi kwaajili ya michuano ya AFCON 2025.
Ungana nami kujua Tanzania tutapangwa na nani?
Tukio lipo mubashara Azamtv na DStv
=================================
View attachment 3215833View attachment 3215834View attachment 3215835View attachment 3215836View attachment 3215838View attachment 3215839
Yani yapo kila mmoja anatutamani.Kabisaaaaa..... Yaani atakaye draw tuu na bongo safari
Tunisia wanajua sana boli mkuuLukman na kibu denis hiyo hatari happ mwanawane.
Tunisia wamejifia tuu hao tunawapiga ata 3 bila
Zamani enzi za musakni lakini sio sasa. Hao tunajipigia tuuTunisia wanajua sana boli mkuu
Tusije kupigwa sie 😃😀😄Zamani enzi za musakni lakini sio sasa. Hao tunajipigia tuu
Huo sasa utakuwa uzembe wetu.Tusije kupigwa sie 😃😀😄
😁😁Yani yapo kila mmoja anatutamani.
Wenzako wana Victor Osimen wewe una Abdul Hamis Sopu.
Huku Alex Iwobi huku Sospeter Bajana.
Huku Chukwueze huku Kibu Denis.
Huku Ademola Lookman huku Mzize.
Sijaelewa logic ya kumlaumu kocha mkifungwa na watu kama hawa inatokana na nini?
Je, haikuandikwa kuwa Tembo hata akonde vipi hawezi kuwa kama Sungura?Zamani enzi za musakni lakini sio sasa. Hao tunajipigia tuu
Akili za simba na yanga badala ya kuwekeza kuinua vipaji huko academyTujitahidi kutoa uraia ila kwa hii Taifa stars sahau kupenya hapo
Yes CHAN ni August, AFCON DecemberAu mwaka huu kuna mashndano mawili kwa pamoja?!! CHAN na AFCON?!! Nieleweshwe tafadhali