Makundi saba Gaza bado yaendeleza vita. Israel yajikuta ikilazimika kurudia kupigana maeneo yale yale iliyoyabomoa mwanzo

Ceasefire ni kwa faida ya wote.
Si umeona hapo kuwa Israel wamechanganyikiwa na uchumi wao bila wapelestina hauwezi kukua.
huna huruma na uchumi wa Gaza ila wapalestina wafe ili myafikie malengo yenu
 
Wewe ndio hujui madhara ya vita na kutawaliwa.
Watu wa Gaza wanajua sana na wanakufa kila siku na bado hawajachagua kukaliwa na mayahudi
Wameamua wapigane wote waishe au wapate uhuru wao.
kwamba Gaza na west benk wanaish wayaudi ?
 
Baada ya kugunduwa mashambulizi ya Moscow yamefanywa ña magaidi wa kiislamu umekimbia kumshabikia kafir Putin ambaye anawapa dozi ya uhakika wale magaidi wa kiislamu.
Ptutin ni rafiki mkubwa wa Ramzan Kadyrov ambaye ni kiongozi wa Chechnya.
Nguvu ya wachechnya imemsaidia sana Putin kuitia adabu Ukraine.
Anapambana na ISIS ya Marekani lakini hana tatizo na waislamu kama walivyo viongozi wa US.
 
We ali wazi fala sana,katizame huko hao kobazi wenzio wangapi wamesindikizwa.
Kaa hapo ule daku tu mpuuzi wewe..
 
We ali wazi fala sana,katizame huko hao kobazi wenzio wangapi wamesindikizwa.
Kaa hapo ule daku tu mpuuzi wewe..
Walichofanya ni kuua na kubomoa.Lakini hakuna mateka na Hamas bado waendelea na shughuli zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…