Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Don't compare Jf and other social networks.... tafadhali mkuu hii ni zaidi ya social media...ipe heshima yake na unatakiwa uombe radhi

Mkuu wewe ni member since 2014


Mimi ni member since 2012 hatuna gap sana toka tuanze kutumia JF

Hebu niambie tofauti ya JF na social media zingine ni nini?

Huenda kweli nakosea
 
POLISI.....
 
mkuu sio soon twitter sasa hivi utofauti wa na insta ni picha tu.
 
mwenye geto na mkononi ana simu yake kubwa matoleo mapya mapya,au anae miliki boda boda
 
Tanzania umaskini wa akili ni mkubwa sana. Hapo akisimamishwa kazi mwezi mmoja tu anapata fistula hata kama ni wa kiume.
Sawa Wewe Ndio Tajiri Wa Akili, Usiyejua Kuwa Hata Wanaume Wanapata Fistula
 
Hiyo Ilikuwa Ni Diabetic Ketoacidosis Na Nurse Baada Ya Kumpa Normal Saline Alitaka Kumpa Ringer Lactate Lazima Angemuua.

Muda Mwingine Nurses Hawajui Vitu Wanafanya Kwa Mazoea Na Kuona Dr Kafanya Order.
 
Hiyo Ilikuwa Ni Diabetic Ketoacidosis Na Nurse Baada Ya Kumpa Normal Saline Alitaka Kumpa Ringer Lactate Lazima Angemuua.

Muda Mwingine Nurses Hawajui Vitu Wanafanya Kwa Mazoea Na Kuona Dr Kafanya Order.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Mkuu unasema Watanzania wengi kwa vile umeishi nao sana au? je unajua wengine uko wakoje? USA,China,Australia n.k?
 
Walevi aisee wana raha sana nahisi ndio kundi ambalo limepatia maisha sizungumzii wanywaji ila walevi hawanaga stress kabisa
 
Kuna majamaa flani jioni jioni utawaona wana kopo la maji ya Kilimanjaro wamevaa vipensi vya khaki na mashati ya "form six" mikononi wameshika simu kubwa huku wamening'iniza funguo kwenye luksi ya kaptula.

Hawa wanaona maisha wameyapatia kabisa.
Nawashangaa sana hawa vijana,miadi yao mingi ni ya kula starehe. Wanaishi kwa kukopa kopa ili kuonyesha hawajatetereka
 
Wanaokunywa JD Black Label
Na bia za Heineken
 
Wanaopenda kwenda Samaki samaki na 777 na joints za Mikocheni na Masaki
 
Kwa waliojenga nyumba kiasi wamepiga hatua mkuu
Nadhani ni wajita wao wanasema kama mwanaume una umri mkubwa na una mademu 20, bado ni mtoto kuliko kivulana chenye miaka 18 na mke mmoja. Hata kama unafanya kazi benki kuu lakini unaishi nyumba ya kupanga, mpiga debe mwenye nyumba mbavu za mbwa ni bora zaidi.
 
Nani aliyekwambia tunakwazika wewe wana nini cha ziada huwa tunawachora tu mana wengi wanajifanya matawi ya juu
Jifunze ku-mind your business.

Huko kuwachora ni ushamba na ulimbukeni, tafuta hela usifuatilie maisha ya wenzako.

Poverty striken minds.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…