Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

nilidhani kwa kuwa niliyoandika kwenye mada kuu ya uzi huu hayakupendezi,
ungepita tu kimyakimya bila kusema chochote.

lakini kitendo cha kusoma nilichoandika, ukajipa sekunde kadhaa kutafakari, halafu uka-comment mara ya kwanza, ukarudi tena ku-comment mara ya pili kilekile ulicho comment mara ya kwanza, inaonyesha ni namna gani umevutiwa na mada yangu.

pia ni ashara kwamba nilichoandika kina reflect maisha halisi ya sisi watanzania regardless of our social, economic differences.

karibu tena ndg.
Sijavutiwa na mada yako.

Ila inatoa confirmation jinsi watanzania walivyolelewa kwenye maisha na mitazamo ya kimasikini ambapo mwenzake akienda against jamii inafikirika au inataka uwe, wanakwazika.

You don't own ideas. Usitegemee kuweka mada watu wakuunge mkono wote, wakukukosoa laziwa wawepo.
 
huyo jamaa nimemuweka kwenye kundi la baadhi ya wakongwe wa jf.

wanapoona ID ambayo sio maarufu imeanzisha mada inayopata wachangiaji wengi na LIKES za kutosha, nafsi zao huwa zinaumia sana. [emoji16][emoji16][emoji16]
Watoto ndo wanahangaika na likes au kujaza threads hata kama ni upumbavu.

Mtu mzima mwenye kazi za kufanya anaweka mada anasepa zake hizo likes ni short term orgasms zinakufanya ujione mjanja kumbe ni ushamba pia.
 
Mtoa mada ana inferiority complex, Unataka wakufanyie nini pindi unapokutana na hayo makundi uliyoainisha ili urizike? Mtu akivaa kaptula na tshert yake na maji yake wewe unataka akwambie neno gani ili usijue amekuringia?

Huu msemo eti anaona amepata maisha husemwa na watu wavivu wasiopenda kutoka pale walipo kwenda hatua nyingine na ukifuatilia unaweza kuta anayesema ni jobless.

Jitume fanya kazi yeyote ongeza mtaji na fungua biashara kubwa ipo siku na wewe utanunua vitu mlimani city, na unaanza kusema umeyapata maisha, Watu waliofanikiwa hawanaga muda mwingi wa kusalimiana kila sehemu unapokutana nao kwa sababu wanabanwa na ratiba, biashara au kazi zitalala.

Hata simu kupokea huwa jioni tu maana kutwa nzima ni kazi ninyi wavivu mnasema wanaringa ambapo mnapenda kuchart tu bila kujali muda.
Watanzania wengi wa aina hiyo umasikini umewajaa kwenye genes kabisa.

Hawataki utoke kwenye hiyo poverty cycle yao. Lazima uwe na mtazamo kama wao milele.
 
Ukienda Temeke vijana wa zamani waiofanikiwa kuwa mabaharia katika nchi za watu nankuzunguka sana huko nje kisha wakarudi bongo na vidola kidogo wakajenga nyumba za kupanga. Basi ukimzingua tu kidogo anaanza sifa zake "mii na akili sana hapa bongo hata magufuli mshamba tu,nimezunguka nchi nyingi yani polisi naona kama mavi tu ndo maana navuta bange bata barabarani na wakinikamata hata saa1 sikai ndani nakuja kutolewa,mi nafahamiana na wazungu kibao, ila ninyi nmasoma na degree zenu naona kama mavi tu, Mi nimekaa huko ughaibuni jela za huko balaa ila raha kama ostabei You know sisi wamanyema hatutishwi na mtu once ago nilipokuwa Amstedam tuko na meli........."
 
Jifunze ku-mind your business.

Huko kuwachora ni ushamba na ulimbukeni, tafuta hela usifuatilie maisha ya wenzako.

Poverty striken minds.


Sijavutiwa na mada yako.

Ila inatoa confirmation jinsi watanzania walivyolelewa kwenye maisha na mitazamo ya kimasikini ambapo mwenzake akienda against jamii inafikirika au inataka uwe, wanakwazika.

You don't own ideas. Usitegemee kuweka mada watu wakuunge mkono wote, wakukukosoa laziwa wawepo.
Watoto ndo wanahangaika na likes au kujaza threads hata kama ni upumbavu.

Mtu mzima mwenye kazi za kufanya anaweka mada anasepa zake hizo likes ni short term orgasms zinakufanya ujione mjanja kumbe ni ushamba pia.
asante kwa kurudi tena. nilidhani wewe ni mstaarabu, ungepuuza nilichokujibu. hakika mada yangu imekuvutia. karibu tena ndg.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watanzania wengi wa aina hiyo umasikini umewajaa kwenye genes kabisa.

Hawataki utoke kwenye hiyo poverty cycle yao. Lazima uwe na mtazamo kama wao milele.
Yani watu ukiwazidi elimu na vishilingi ndo unakosa company yao kbs, yani ukirudi likizo home bora utulie ndani maana kazi yao ni kukudiss tu, utasikia jamaa anajisikia sana huyu wakati we unajichanganya na uko sawa kbs,

Walimwengu bwana!
,
 
Kuna hawa Majamaa wanaojiunga kwa Mara ya kwanza na network Marketing especially ALLIANCE GLOBAL IN MOTION asee..

Lakini baada ya Mwezi miezi miwili hivi anaona bora hiyo 500k angetembeza dagaa Buza
Hayo mambo chuo yalikuwepo sana
Hivi wanapata faida kwel au ndo kupoteza
 
Members wa JF miaka ya 2010 kurudi nyuma, yaani hawa wanatuona sisi wengine kama maumbwa tu.... hatuna tujualo.
 
Kama hao hawayajapatia maisha ni wepi hapa Tz waeyapatia maisha.Nini tafsiri ya kuyapatia maisha hapa Tz?
 
Makundi mengineyo;
1. Watu wanaoishi Dar/ wale ambao wamewahi kufika Dar, wanawaona walio mikoani ni maboya,
2. Watu wa Kilimanjaro, wanajiona ndio wajanja na wameelimika kuzidi waTanzania waliobakia
3. Wadada wenye matako makubwa, wanajiona wao wana undugu na Mungu
5. Wamiliki wa nyumba zenye geti, wanatuona wengine tunaishi vichakani
 
1.Kuna hawa masekretari asee wanajiona wameyapatia sana.
2. Kuna baadhi ya ma HR hawa huwaambii kitu wanajiona Mungu watu.
3.Kuna hawa waliookoka na baadhi ya wasabato wanatuona si wengine wa kwenda motoni tu.
4.Kuna hivi vidada vinavyoolewa asee vinawaona wenzao wasioolewa kama wana mikosi.
5.Kuna hawa waliohahi kupata kazi wanawaona wanaochelewa kupata kazi mabwege kweli.
 
Kuna majamaa flani jioni jioni utawaona wana kopo la maji ya Kilimanjaro wamevaa vipensi vya khaki na mashati ya "form six" mikononi wameshika simu kubwa huku wamening'iniza funguo kwenye luksi ya kaptula.

Hawa wanaona maisha wameyapatia kabisa.
Ahahahaha sure mkuu
 
Back
Top Bottom