MdengestanfromCuba
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 629
- 658
Hahahh duuhWenye vitambulisho vya NIDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahh duuhWenye vitambulisho vya NIDA
Wadada wanaofanya kazi masjala kwenye ofisi za umma wanaringa hao kama wako peponi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2960]kuna wawili niliwakuta reception ya ofisi fulani nilikuwa na shida pale wakanifanyia dharau nikawajibu majibu ya mkato na ya kuwaonesha hawajielewi,
mpaka leo nikirudi pale hawaitikii salamu yangu
Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Madereva wa serikalini ikiwa gari analoendesha ni V8 au Brand kali huwa wanajioana kama ndo wamiliki wa gari kumbe wameajiriwa tu
-
- Wanaomiliki matoleo mbalimbali ya simu za iPhone. Siongezi neno kuhusu kundi hili.
- Waliochukua mkondo wa masomo ya sayansi walipokuwa sekondari na baadaye wakaenda vyuo vikuu kusomea kozi mbalimbali za uhandisi. Hawa hata ukiwakuta mtaani bila ajira, by default wanajihisi tayari wameyapatia maisha.
- Wahitimu vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Siongezi neno kuhusu kundi hili.
- Vijana wa Kitanzania ambao kwa wakati fulani waliwahi kuishi Marekani au Uingereza halafu kwa sasa wamerudi Bongo kupambana na msoto wa maisha.
- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira Jeshini halafu uwakute Uraiani wamevaa zile sare zao zenye mabaka mabaka.
Mkuu hujamalizia..
Uwakute bar..[emoji23][emoji23]
Hakika mkuuSoon Twitter inakua kama Instagram na facebook. Zamani twitter ilikua inachukuliwa kama platform ya elites kujadili mambo ya kitaifa na mambo magumu, leo kule twitter ni umalaya, ukahaba, ushoga, ujinga. Watu wanajadili mambo ya hovyo.
Nadhani platform pekee iliyobaki ya kuchangia mambo ya maana ni JF kwa sababu imetutengea majukwaa, kila mtu anachangia jukwa ambalo akili yake inaweza kujadili.