Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Wasanii wa wasafi na kode boy
Vijana wa ccm
Mashabiki wa simba na yanga
 
Raia wenye farm boots kipindi hiki Cha mvua wanajikuta wameyaweza maisha haswa.
 
Wadada wanaofanya kazi masjala kwenye ofisi za umma wanaringa hao kama wako peponi

Sent using Jamii Forums mobile app

kuna wawili niliwakuta reception ya ofisi fulani nilikuwa na shida pale wakanifanyia dharau nikawajibu majibu ya mkato na ya kuwaonesha hawajielewi,
mpaka leo nikirudi pale hawaitikii salamu yangu


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kuna wawili niliwakuta reception ya ofisi fulani nilikuwa na shida pale wakanifanyia dharau nikawajibu majibu ya mkato na ya kuwaonesha hawajielewi,
mpaka leo nikirudi pale hawaitikii salamu yangu


Sent from my iPhone using JamiiForums
[emoji2960]
 
Madereva wa serikalini ikiwa gari analoendesha ni V8 au Brand kali huwa wanajioana kama ndo wamiliki wa gari kumbe wameajiriwa tu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Kuna dereva flani mvaa kaunda suti na kipara kichwani, anaendesha YUTONG la UDOM, anadharau sana yule jamaa utadhani gari ni lake.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
-

- Wanaomiliki matoleo mbalimbali ya simu za iPhone. Siongezi neno kuhusu kundi hili.

- Waliochukua mkondo wa masomo ya sayansi walipokuwa sekondari na baadaye wakaenda vyuo vikuu kusomea kozi mbalimbali za uhandisi. Hawa hata ukiwakuta mtaani bila ajira, by default wanajihisi tayari wameyapatia maisha.


- Wahitimu vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Siongezi neno kuhusu kundi hili.

- Vijana wa Kitanzania ambao kwa wakati fulani waliwahi kuishi Marekani au Uingereza halafu kwa sasa wamerudi Bongo kupambana na msoto wa maisha.


- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira Jeshini halafu uwakute Uraiani wamevaa zile sare zao zenye mabaka mabaka.

😂😂😂😂😂😂
 
Soon Twitter inakua kama Instagram na facebook. Zamani twitter ilikua inachukuliwa kama platform ya elites kujadili mambo ya kitaifa na mambo magumu, leo kule twitter ni umalaya, ukahaba, ushoga, ujinga. Watu wanajadili mambo ya hovyo.

Nadhani platform pekee iliyobaki ya kuchangia mambo ya maana ni JF kwa sababu imetutengea majukwaa, kila mtu anachangia jukwa ambalo akili yake inaweza kujadili.
Hakika mkuu
Kule kumekuwa tatizo,kwanzia miaka ya karibuni.
 
Huu uzi una chembe za ubaguzi mbona sioni jina la Hajj Manara.
 
Back
Top Bottom