[emoji23][emoji23][emoji23]Wale wanaopokea na kazichana tiketi zetu za Mwendokasi pale kituoni, yaani wanajikuta nani sijui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Wale wanaopokea na kazichana tiketi zetu za Mwendokasi pale kituoni, yaani wanajikuta nani sijui.
Hii ni ishara tosha kwamba wanaoona wameyapatia maisha kuliko wengine wasubiri anguko kuu.Magu na mdogo wake makonda
Waliochaguliwa kwenda chuo kikuu- Wanaojua kuzungumza Kiingereza hata kama wanazungumza Kiingereza "broken". Wote ni mashahidi, hawa hata hapa JF wapo. Siku zote hujihisi wao ni bora na maisha wameyapatia.
- Wanaomiliki gari jamii ya Vitz, IST na Altezza. Jeuri na mikwara yao barabarani inatupa picha halisi.
- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira Jeshini halafu uwakute Uraiani wamevaa zile sare zao zenye mabaka mabaka.
Ongezea wengine unaowajua.
Karibuni.
Wanaishi dar, wanajiona wamepatia sana maisha na wako juu zaidi kulko wamikoani!
Madem wenye tako,Wafanyakazi bank hasa CRDB,.
Wanaoishi dar yan naamin wanahisi ndio Ulaya
Wanaoish dar co tu binadamu hata kuku asa jogoo lilitangulia kukaa dar siku akija jogoo wa shamba hapati tunda labda ampige kwnza jogoo la dar au avizie kimtetea kinachojipitisha karib yake Lakin wee akionwa na jogoo la dar yaan hata kama hajapiz kimoko anatolewa baru inshot dar kama kuna kalaana fulan hv ndo maana unaweza shangaa jua kali lakn dalila tu bonge la mvua linanyesha...Makundi mengineyo;
1. Watu wanaoishi Dar/ wale ambao wamewahi kufika Dar, wanawaona walio mikoani ni maboya,
2. Watu wa Kilimanjaro, wanajiona ndio wajanja na wameelimika kuzidi waTanzania waliobakia
3. Wadada wenye matako makubwa, wanajiona wao wana undugu na Mungu
5. Wamiliki wa nyumba zenye geti, wanatuona wengine tunaishi vichakani
[emoji1787][emoji1787]Wanaoish dar co tu binadamu hata kuku asa jogoo lilitangulia kukaa dar siku akija jogoo wa shamba hapati tunda labda ampige kwnza jogoo la dar au avizie kimtetea kinachojipitisha karib yake Lakin wee akionwa na jogoo la dar yaan hata kama hajapiz kimoko anatolewa baru inshot dar kama kuna kalaana fulan hv ndo maana unaweza shangaa jua kali lakn dalila tu bonge la mvua linanyesha...
Hivi ina nawezekanaje uishi usa au UK uko halafu unarudi bongo? Aise utakuwa umelogwa aise..- Wanaojua kuzungumza Kiingereza hata kama wanazungumza Kiingereza "broken". Wote ni mashahidi, hawa hata hapa JF wapo. Siku zote hujihisi wao ni bora na maisha wameyapatia.
- Wanaomiliki matoleo mbalimbali ya simu za iPhone. Siongezi neno kuhusu kundi hili.
- Waliochukua mkondo wa masomo ya sayansi walipokuwa sekondari na baadaye wakaenda vyuo vikuu kusomea kozi mbalimbali za uhandisi. Hawa hata ukiwakuta mtaani bila ajira, by default wanajihisi tayari wameyapatia maisha.
- Wenye followers kuanzia 20K, 30K, 40K au zaidi kwenye mtandao ya kijamii. Hili ni kundi ambalo linajihisi limeyapatia sana maisha kwa kuwa na followers wengi. Wanafollow mastaa tu. kama wewe sio star usitegemee ukurasa wako kupata followback au like kutoka kwenye kundi hili.
- Wahitimu vijana wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Siongezi neno kuhusu kundi hili.
- Vijana wa Kitanzania ambao kwa wakati fulani waliwahi kuishi Marekani au Uingereza halafu kwa sasa wamerudi Bongo kupambana na msoto wa maisha.
- Wanaomiliki gari jamii ya Vitz, IST na Altezza. Jeuri na mikwara yao barabarani inatupa picha halisi.
- Wanajeshi vijana miezi yao kwanza kwenye ajira Jeshini halafu uwakute Uraiani wamevaa zile sare zao zenye mabaka mabaka.
Ongezea wengine unaowajua.
Karibuni.
Dah chali yangu uliandika ushuzi angalia umekula ban sasa..Machalii wanaosuka rasta ili wapate vibibi vya kizungu.
Aahaaahapa katikati limeibuka kundi la vijana wanaojitambulisha kama machawa wa watu maarufu. hawa nao wamo kwenye kujiona wamepatia maisha.