Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

Makundi ya vijana wa Kitanzania ambao hujihisi wameyapatia maisha

1. Wanaotumwa kuclamp matairi ya magari kwa 'wrong parking'. Heri kupambana na ibilisi gizani kuliko hawa jamaa.

2. Watoto wa miaka 5+ walionunuliwa na kuvaa nguo mpya za siku kuu.

3. Watoto wa kiume shuleni wanaobalehe walioanza kuota vindevu kabla ya wenzao darasani. Kila saa wakiongea wanazikuna kuna na kuhakikisha wenzao wanawaona wanavyovikunakuna. Wanawaona wenzao kama bado wananyonya kwa mama zao.

4. Watoto wa kiume darasani walionza kupata sauti nzito. Kila swali anainua mkono ajibu ili darasa lisikie bezi lake.
Namba 4 imenivunja mbavu sana
 
Back
Top Bottom