Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Kiuhalisia ni kwamba, haiwezekani watu wote wakuunge mkono, hata kama ungefanya vizuri namna gani.
Ukifanya mambo mema mengi, waovu, wapenda kudhulumu haki za watu watakuchukia, LAKINI kwa ujumla Rais Mama Samia anaungwa mkono na watu wengi, tena kwa hiari yao bila unafiki, kuliko wale wanaomchukia.
Ambayo alikuwamo kama mtekelezaji?? Mshauri?? Ukumbuke walichaguliwa.Pia bahati yake iliyokuu ni kwamba, tumetoka kwenye utawala mbaya,
Alikuwemo, unabisha?utawala katili, utawala primitive, hivyo hata jema dogo
Labda afanye nongwa za ki CCM na hila za kiaina aina ndipo ataungwa mkono na CCM wenzake.atakalolifanya litaungwa mkono sana na wengi, ambao walikiwa wamechoshwa na utawala mbaya wa miaka mitano wa marehemu Magufuli.
Kwa utafiti wangu binafsi nilioufanya, Samia anungwa mkono na wafanyakazi, wafanyab iashara wa kati na wa juu na wasomi, yaani kiujumla anaungwa mkono na middle and upper class, hata vyama vya upinzani kiasi fulani wanamuunga mkono ikilinganishwa na kwa MagufuliKiuhalisia ni kwamba, haiwezekani watu wote wakuunge mkono, hata kama ungefanya vizuri namna gani.
Ukifanya mambo mema mengi, waovu, wapenda kudhulumu haki za watu watakuchukia, LAKINI kwa ujumla Rais Mama Samia anaungwa mkono na watu wengi, tena kwa hiari yao bila unafiki, kuliko wale wanaomchukia.
Pia bahati yake iliyokuu ni kwamba, tumetoka kwenye utawala mbaya, utawala katili, utawala primitive, hivyo hata jema dogo atakalolifanya litaungwa mkono sana na wengi, ambao walikiwa wamechoshwa na utawala mbaya wa miaka mitano wa marehemu Magufuli.
umesahau kind moja muhimuMakundi yanayo muunga mkono Rais Samia Suluhu yana-reflect kwamba mama anaupiga mwingi kwa kazi anazofanya ndani na nje ya Tanzania.
Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
- Wamachinga ✅
- Wanasiasa / Wanachama wao✅
- Viongozi wa dini ✅
- Bodaboda ✅
- Wanawake ✅
- Vijana ✅
- Wazee ✅
- Walemavu ✅
- Wafanyabiashara ✅
- Jumuiya za Kimataifa ✅
- Wasomi ✅
SYLLOGIST! umekunywa maji walioshea chupi la Magufuli hamna namna uta survuve na hiyo negativityChuki gani hiyo? Usitudanganye.
Linaeleweka kuwa chuki mnapandikiza nyie Kaburu gang.
Wapi huko? Mwambie aachie vyama vya siasa vifanye mikutano yao. Kama kweli yaliyopita yalikuwa si shwari aseme tu Mikutano sasa ruksa'
Haki anatoa Raisi? Kucheza sinema na kupokea tuzo ndio kujenga mahusiano? na Kudiriki kuzima mapambano ya Mwafrika! Yero, ni kujenga Uhusiano?
Mnajikanganya, mara mnaona, mara tusubiri. Hamna uhakika nyie.
Huo juu ni uwongo. Magufuli alijenga uchumi na tukafikia viwango vya juu. Magufuli aliijali jamii zote za Watanzania, sasa mnajali uchwara na wageni hovyo kabisa.
Unarudisha vipi kitu ambacho hakijaondoka?
Raisi hana dhamana hiyo. Usitudanganye.
Mungu ibariki Afrika
Aluta Continua
Alafu ukute unaandika post hii ukiwa sebuleni kwa shemeji, umekunja miguu ukiwa umeshikilia rimoti ukisubili katoto kauachie uji uunywe.Makundi yanayo muunga mkono Rais Samia Suluhu yana-reflect kwamba mama anaupiga mwingi kwa kazi anazofanya ndani na nje ya Tanzania.
Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
- Wamachinga ✅
- Wanasiasa / Wanachama wao✅
- Viongozi wa dini ✅
- Bodaboda ✅
- Wanawake ✅
- Vijana ✅
- Wazee ✅
- Walemavu ✅
- Wafanyabiashara ✅
- Jumuiya za Kimataifa ✅
- Wasomi ✅
haha lazima umevimbirwa. Maneno gani hayo?umekunywa maji walioshea chupi la Magufuli hamna namna uta survuve na hiyo negativity