Makundi yanayomuunga mkono Rais Samia Suluhu

Makundi yanayomuunga mkono Rais Samia Suluhu

sio kweli. Mimi namuunga mkono Rais, lakini siwezi kusema anaungwa mkono na hayo makundi uliyotaja hapo
Makundi yanayomuunga sana mkono Samia ni wasomi, wafanyabiashara wa kati na wa juu, wafanyakazi, hata vyama vya upinzani vinamuunga mkono kiasi fulani kuliko ilivyokuwa kwa Magufuli

Magufuli ndio aliungwa mkono na machinga na bodaboda sababu sera zake za ki populist, Samia sio populist lakini haimaanishi ni rais mbaya
 
Kiuhalisia ni kwamba, haiwezekani watu wote wakuunge mkono, hata kama ungefanya vizuri namna gani.

Ukifanya mambo mema mengi, waovu, wapenda kudhulumu haki za watu watakuchukia, LAKINI kwa ujumla Rais Mama Samia anaungwa mkono na watu wengi, tena kwa hiari yao bila unafiki, kuliko wale wanaomchukia.

Hizo juu ni porojo tu hata. Akichagulika bila hila, aaah tuanachia mbuzi kamba.
Pia bahati yake iliyokuu ni kwamba, tumetoka kwenye utawala mbaya,
Ambayo alikuwamo kama mtekelezaji?? Mshauri?? Ukumbuke walichaguliwa.
utawala katili, utawala primitive, hivyo hata jema dogo
Alikuwemo, unabisha?
atakalolifanya litaungwa mkono sana na wengi, ambao walikiwa wamechoshwa na utawala mbaya wa miaka mitano wa marehemu Magufuli.
Labda afanye nongwa za ki CCM na hila za kiaina aina ndipo ataungwa mkono na CCM wenzake.
 
Kiuhalisia ni kwamba, haiwezekani watu wote wakuunge mkono, hata kama ungefanya vizuri namna gani.

Ukifanya mambo mema mengi, waovu, wapenda kudhulumu haki za watu watakuchukia, LAKINI kwa ujumla Rais Mama Samia anaungwa mkono na watu wengi, tena kwa hiari yao bila unafiki, kuliko wale wanaomchukia.

Pia bahati yake iliyokuu ni kwamba, tumetoka kwenye utawala mbaya, utawala katili, utawala primitive, hivyo hata jema dogo atakalolifanya litaungwa mkono sana na wengi, ambao walikiwa wamechoshwa na utawala mbaya wa miaka mitano wa marehemu Magufuli.
Kwa utafiti wangu binafsi nilioufanya, Samia anungwa mkono na wafanyakazi, wafanyab iashara wa kati na wa juu na wasomi, yaani kiujumla anaungwa mkono na middle and upper class, hata vyama vya upinzani kiasi fulani wanamuunga mkono ikilinganishwa na kwa Magufuli

Magufuli aliungwa mkono zaidi na tabaka la chini, , sababu ya siasa za ki populist, ama siasa za furahisha genge, hawakuathirika vibaya na sera zake
 
Kwa bahati mbaya sana hakubaliki huko mtaani.

Chama kitatumia nguvu kubwa mno kumnadi.
 
Makundi yanayo muunga mkono Rais Samia Suluhu yana-reflect kwamba mama anaupiga mwingi kwa kazi anazofanya ndani na nje ya Tanzania.

Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
  • Wamachinga ✅
  • Wanasiasa / Wanachama wao✅
  • Viongozi wa dini ✅
  • Bodaboda ✅
  • Wanawake ✅
  • Vijana ✅
  • Wazee ✅
  • Walemavu ✅
  • Wafanyabiashara ✅
  • Jumuiya za Kimataifa ✅
  • Wasomi ✅
umesahau kind moja muhimu
 
Chuki gani hiyo? Usitudanganye.
Linaeleweka kuwa chuki mnapandikiza nyie Kaburu gang.

Wapi huko? Mwambie aachie vyama vya siasa vifanye mikutano yao. Kama kweli yaliyopita yalikuwa si shwari aseme tu Mikutano sasa ruksa'

Haki anatoa Raisi? Kucheza sinema na kupokea tuzo ndio kujenga mahusiano? na Kudiriki kuzima mapambano ya Mwafrika! Yero, ni kujenga Uhusiano?

Mnajikanganya, mara mnaona, mara tusubiri. Hamna uhakika nyie.

Huo juu ni uwongo. Magufuli alijenga uchumi na tukafikia viwango vya juu. Magufuli aliijali jamii zote za Watanzania, sasa mnajali uchwara na wageni hovyo kabisa.

Unarudisha vipi kitu ambacho hakijaondoka?

Raisi hana dhamana hiyo. Usitudanganye.

Mungu ibariki Afrika
Aluta Continua
SYLLOGIST! umekunywa maji walioshea chupi la Magufuli hamna namna uta survuve na hiyo negativity
 
Makundi yanayo muunga mkono Rais Samia Suluhu yana-reflect kwamba mama anaupiga mwingi kwa kazi anazofanya ndani na nje ya Tanzania.

Makundi hayo ni:
-Vyama vya Siasa vinaumuunga mkono ✅
  • Wamachinga ✅
  • Wanasiasa / Wanachama wao✅
  • Viongozi wa dini ✅
  • Bodaboda ✅
  • Wanawake ✅
  • Vijana ✅
  • Wazee ✅
  • Walemavu ✅
  • Wafanyabiashara ✅
  • Jumuiya za Kimataifa ✅
  • Wasomi ✅
Alafu ukute unaandika post hii ukiwa sebuleni kwa shemeji, umekunja miguu ukiwa umeshikilia rimoti ukisubili katoto kauachie uji uunywe.
 
Sasa hivi hata tawi la vidole viwili juu nao ni walamba asali tu
IMG_20220602_155959_795.jpg
 
Shauri yako.
umekunywa maji walioshea chupi la Magufuli hamna namna uta survuve na hiyo negativity
haha lazima umevimbirwa. Maneno gani hayo?
Umeshindwa hoja yakheee, nikuhakikishie, unajua sana unachokiongelea kwani mtu mwenye huzuni huwa anashinda gizani. Mbona unaleta roho ghamu! Nimeuliza maswali tu.
 
Back
Top Bottom