Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Najionea huruma sana nikifikiria kuwa miaka mitano ijayo nitakuwa na mvi na makunyanzi.
Ngozi yangu haitakuwa kama leo, ntakuwa na miaka 35.
Miaka 35 inabakiza miaka 15 tu niwe na miaka 50.
Ndoto yangu ni kuendelea kuwa mrembo hata ntakapofika miaka 75.
Najua kwa umri huo hata nikiwa na makunyanzi na mvi, umbo langu litakuwa kama nilivyo sasa. Hips za ukweli, kiuno kudogo na mzigo wa kichokozi nyuma.
Nikifikiria uzee najihisi kuchanganyikiwa.
CC: Madame B unayetaka watu8 aje kukupa huduma za massage nyumbani kwako
Ngozi yangu haitakuwa kama leo, ntakuwa na miaka 35.
Miaka 35 inabakiza miaka 15 tu niwe na miaka 50.
Ndoto yangu ni kuendelea kuwa mrembo hata ntakapofika miaka 75.
Najua kwa umri huo hata nikiwa na makunyanzi na mvi, umbo langu litakuwa kama nilivyo sasa. Hips za ukweli, kiuno kudogo na mzigo wa kichokozi nyuma.
Nikifikiria uzee najihisi kuchanganyikiwa.
CC: Madame B unayetaka watu8 aje kukupa huduma za massage nyumbani kwako
Last edited by a moderator:

