chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Samia Suluhu Hassan katika makusanyo ya Kodi, amepanda kutoka trilioni 1.2 mpaka trilioni 2, swali la kujiuliza, hii Kodi ya bilioni 800 nani alikuwa anakwepa kuilipa?
Na je akibanwa? Tunatarajia hatapiga au hawatapiga yowe? Piga hesabu bilioni 800 zilikuwa haziingii hazina zikajenge mahospitali, mashule, mabarabara.
Mtu akiwakazia watu waliokuwa wanakwepa Kodi na kuwabana ni mzalendo, Sasa mfuko wa hazina unatuna, nadhani ni WA kumpongeza .....au tumkatishe tamaa turudi kwenye trilioni moja?
Halafu wanaokwepa kodi, tunakutana nao kitaa hata bia hawatupi, wanatuona malofa, si Bora walipe Kodi ijenge lami tupite wote, wao kwa benzi sisi kwa daladala? Kuliko hawalipi Kodi, wanaturushia tope barabarani na lift hawatupi
Kodi kwa maendeleo ya taifa
Na je akibanwa? Tunatarajia hatapiga au hawatapiga yowe? Piga hesabu bilioni 800 zilikuwa haziingii hazina zikajenge mahospitali, mashule, mabarabara.
Mtu akiwakazia watu waliokuwa wanakwepa Kodi na kuwabana ni mzalendo, Sasa mfuko wa hazina unatuna, nadhani ni WA kumpongeza .....au tumkatishe tamaa turudi kwenye trilioni moja?
Halafu wanaokwepa kodi, tunakutana nao kitaa hata bia hawatupi, wanatuona malofa, si Bora walipe Kodi ijenge lami tupite wote, wao kwa benzi sisi kwa daladala? Kuliko hawalipi Kodi, wanaturushia tope barabarani na lift hawatupi
Kodi kwa maendeleo ya taifa