Makuwadi wa kuuza Bandari wanajaribu kutusahaulisha kupitia michezo

Makuwadi wa kuuza Bandari wanajaribu kutusahaulisha kupitia michezo

Ni wazi tena pasipo shaka mpango wa kuuza Bandari zetu kwa Waarabu wa Dubai umekutana na upinzani mkali.

Kwakuwa majibu na shaka shaka juu ya ufisadi huu uliotukuka umekosa majibu Makuwadi wamekimbilia Simba Day.

Napendakuwahakikishia kwamba suala la kugawa Bandari zetu zote halitazimwa na Simba Day.

Kesho jambo letu liko pale pale Bandari zetu mustakabali wetu.

Ngongo kwasasa Benjamin Mkapa 🏟.
Hajavaa miwani nyeusi kwa aibu?
 
Kwa akili za hii serikali wananchi inabidi kuwa macho kwelikweli. Hopefully TISS watakuwa upande wa wazalendo.
 
Huna hoja,subiria DP World aje amimine mapesa
Hii mbeleko bab kubwa
a7bd78d4e69a77100a07b9946c0433e0.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawawezi kutusahaulisha, bandari zetu watanganyika ni haki yetu, tena bila kujali matokeo yoyote ya hukumu ya kesi itakayotajwa kesho mahakamani Mbeya.

Bandari zetu ni haki yetu, tuliachiwa urithi na wazee wetu, nasi ni jukumu letu kuzilinda. Kesho iwe iwavyo, haki ya mtanganyika kumiliki rasilimali aliyopewa bure na muumba itaendelea kubaki pale pale, haki hiyo haipo mahakamani.

Mahakamani walienda kutafsiri sheria pekee, lakini haki ya umiliki wa bandari zetu imetoka kwa muumba wetu, aliyeziumba mbingu na ardhi, na wala sio hakimu wa mahakamani.
Eti bandari zenu!
Unaijua ht bandari wewe?
Endeleeni hivyo hivyo wala msisahaulishwe kwenye hili la bandari. Lkn wakati nyie mmekomaa na bandari wenzenu wanaendelea na mipango yao.
 
Hatuwezi kupoa tena
Ni wazi tena pasipo shaka mpango wa kuuza Bandari zetu kwa Waarabu wa Dubai umekutana na upinzani mkali.

Kwakuwa majibu na shaka shaka juu ya ufisadi huu uliotukuka umekosa majibu Makuwadi wamekimbilia Simba Day.

Napendakuwahakikishia kwamba suala la kugawa Bandari zetu zote halitazimwa na Simba Day.

Kesho jambo letu liko pale pale Bandari zetu mustakabali wetu.

Ngongo kwasasa Benjamin Mkapa 🏟.
. bandari zetu
Ni wazi tena pasipo shaka mpango wa kuuza Bandari zetu kwa Waarabu wa Dubai umekutana na upinzani mkali.

Kwakuwa majibu na shaka shaka juu ya ufisadi huu uliotukuka umekosa majibu Makuwadi wamekimbilia Simba Day.

Napendakuwahakikishia kwamba suala la kugawa Bandari zetu zote halitazimwa na Simba Day.

Kesho jambo letu liko pale pale Bandari zetu mustakabali wetu.

Ngongo kwasasa Benjamin Mkapa 🏟.
Kwenye bandari hatupoi,ni kichaa pekee anaweza kusahaulishwa na tamasha
 
Samia anawaona waarabu km wajomba zake watakaokuja kutangaza uislam iyo ndio ajenda ya samia
 
katiba mpya ilete Tanganyika ili tuzidai pia Loliondo na Ngorongoro kutoka utawala wa mwarabu.
 
Back
Top Bottom