Hajavaa miwani nyeusi kwa aibu?Ni wazi tena pasipo shaka mpango wa kuuza Bandari zetu kwa Waarabu wa Dubai umekutana na upinzani mkali.
Kwakuwa majibu na shaka shaka juu ya ufisadi huu uliotukuka umekosa majibu Makuwadi wamekimbilia Simba Day.
Napendakuwahakikishia kwamba suala la kugawa Bandari zetu zote halitazimwa na Simba Day.
Kesho jambo letu liko pale pale Bandari zetu mustakabali wetu.
Ngongo kwasasa Benjamin Mkapa 🏟.
Una muda wa kumjibu chawa?Wewe una hoja.
Nimekuwekea hapo Kwa wanaoelewa unaleta taarabuWewe una hoja.
Hii mbeleko bab kubwaHuna hoja,subiria DP World aje amimine mapesa
Kwa akili za hii serikali wananchi inabidi kuwa macho kwelikweli. Hopefully TISS watakuwa upande wa wazalendo.
Eti bandari zenu!Hawawezi kutusahaulisha, bandari zetu watanganyika ni haki yetu, tena bila kujali matokeo yoyote ya hukumu ya kesi itakayotajwa kesho mahakamani Mbeya.
Bandari zetu ni haki yetu, tuliachiwa urithi na wazee wetu, nasi ni jukumu letu kuzilinda. Kesho iwe iwavyo, haki ya mtanganyika kumiliki rasilimali aliyopewa bure na muumba itaendelea kubaki pale pale, haki hiyo haipo mahakamani.
Mahakamani walienda kutafsiri sheria pekee, lakini haki ya umiliki wa bandari zetu imetoka kwa muumba wetu, aliyeziumba mbingu na ardhi, na wala sio hakimu wa mahakamani.
. bandari zetuNi wazi tena pasipo shaka mpango wa kuuza Bandari zetu kwa Waarabu wa Dubai umekutana na upinzani mkali.
Kwakuwa majibu na shaka shaka juu ya ufisadi huu uliotukuka umekosa majibu Makuwadi wamekimbilia Simba Day.
Napendakuwahakikishia kwamba suala la kugawa Bandari zetu zote halitazimwa na Simba Day.
Kesho jambo letu liko pale pale Bandari zetu mustakabali wetu.
Ngongo kwasasa Benjamin Mkapa 🏟.
Kwenye bandari hatupoi,ni kichaa pekee anaweza kusahaulishwa na tamashaNi wazi tena pasipo shaka mpango wa kuuza Bandari zetu kwa Waarabu wa Dubai umekutana na upinzani mkali.
Kwakuwa majibu na shaka shaka juu ya ufisadi huu uliotukuka umekosa majibu Makuwadi wamekimbilia Simba Day.
Napendakuwahakikishia kwamba suala la kugawa Bandari zetu zote halitazimwa na Simba Day.
Kesho jambo letu liko pale pale Bandari zetu mustakabali wetu.
Ngongo kwasasa Benjamin Mkapa 🏟.