Aah poa.Kwani msingi wa mada hii si imani, hapa naona tatizo lipo kwako
Kuna kipindi cha nyuma tulienda Israel kutalii tukawa tuna tafuta kaburi la daudi ,kuna majamaa yalikua yanatushangaa sana, ni sawa na wewe watu kutoka bara lingine rangi nyingne waje kwenu kuulizia makaburi ya babu zako, ni vile tu ni utalii ila tulionekena wa hovyo sanaUnahoja lakin hauko sahihi
Wakija wazungu wakaulizia kaburi la nyerere mbona hawainekani waajabu na nyerere sio figure ya kiduniaKuna kipindi cha nyuma tulienda Israel kutalii tukawa tuna tafuta kaburi la daudi ,kuna majamaa yalikua yanatushangaa sana, ni sawa na wewe watu kutoka bara lingine rangi nyingne waje kwenu kuulizia makaburi ya babu zako, ni vile tu ni utalii ila tulionekena wa hovyo sanaView attachment 2949619
Assume anakuja muisraeli kusaka kaburi la babu yako wewe akidai ni mtakatifu. Anataka alione na kufanya sala apo.Wakija wazungu wakaulizia kaburi la nyerere mbona hawainekani waajabu na nyerere sio figure ya kidunia
Mbona kama uanadundadunda, nimekwambia huyo mzungu kama kuona kaburi la nyerere huyo ndio babu yetu usilazimishe eti babu yangu mimi kiukoo kama unavyofosi kwani huyo sijui Daudi muliotaka kuona kaburi lake huko mlipoenda hao waliowashangaa ni babu yao mzaa baba.Assume anakuja muisraeli kusaka kaburi la babu yako wewe akidai ni mtakatifu. Anataka alione na kufanya sala apo.
Kinachofurahisha ni hawa wayahudi wa Mbagala,Mbande na Tukuyu wanavyojifanya wanaelewa Sana bibilia kuliko wayahudi wenyeweKupatwa kwa jua ni issue ya kawaida sana tena hutokea kwa kujirudiarudia haiwez kua sababu ya Kujustify hilo andiko. Pengine ni Story tu za wayahudi kama sisi tulivyo na Joka la Mdim.
Wana JF, umofia kwenu.
Sisi ambao tumeishi kwenye kupokea imani katika umoja na utofauti wa itikadi zetu, tunaelewa uwepo wa viumbe wa kipekee ambao waliumbwa kwa upepo na moto. Baadhi ya viumbe hao waliasi na kutuletea sintifahamu kubwa kwenye mahusiano yetu na aliyetuumba (kwa imani tunavyoamini sisi).
View attachment 2948716
Majina ya Malaika wanaotajwa mara nyingi kwenye kitabu cha Biblia ni Mikaeli, Gabriel na Lusifa ambaye baadaye aligeuka kuwa shetani. Lakini kwenye kitabu cha Ufunuo wa Yohana ametajwa malaika mwingine ambaye anaonekana na jukumu tofauti la kuogofya zaidi. Wahubiri wengi wamekuwa wakihubiri safari ya Mbinguni na funuo mbalimbali zinazotarajiwa kutokea kabla ya siku kubwa ya Big Bang itakayoumaliza ulimwengu huu na kuanza maisha mapya nje ya realm hii tunayoishi.
View attachment 2948713
Ufunuo 9:11 Juu yao wanaye mfalme, naye ni malaika wa kuzimu, jina lake kwa Kiebrania ni Abadoni, na kwa Kiyunani analo jina lake Apolioni.
Malaika huyu ana special segment kwenye moja ya battalion ya lusifa kama inavyoelezwa kwenye Ufunuo 9: 2 - 10. Ukichunguza maandiko unaweza kupata nukta kadhaa za kuunganisha ili kupata usahihi ama ukaribiano wa matukio yaliyotabiriwa. Hivi sasa mamlaka za kimataifa za Hali ya Hewa wametoa tahadhari uwezekano wa kupatwa kwa jua mnamo tarehe 4 April 2024 ambapo jua litatiwa giza kwa muda mrefu zaidi kulingana na historia ya kupatwa kwa jua.
View attachment 2948715
Nini kitatokea kwenye tukio hilo na uwezekano wa historia ya dunia kubadilika baada ya jua kupatwa unaweza kuthibitisha kuwa Abadon atakuwa ameshapanda baada ya shimo la kuzimu kufunguliwa? Pia kumekuwa na matukio yakiripotiwa ya kuonekana kwa nzige waharibifu mahala mahala, ambapo miaka ya hivi karibuni kumeripotiwa nzige kuzingira eneo la Hijja la Maka hususan ule msikiti mkubwa. Jambo hili limewaibua watu wengi kujaribu kuongelea uwezekano wa dalili zilizotajwa kwenye kitabu cha Ufunuo; ambapo ukichimba taarifa za nzige hao hawahusiani hata kidogo na Nzige wanaotajwa kwenye Ufunuo 9: 3, 7-9.
View attachment 2948718
Lengo la uzi huu ni kutafuta elimu zaidi kuhusu malaika hususan huyu aliyetajwa kwenye kitabu hiko. Kwa kuwa analo jina la Kiyunani, inaleta picha kwamba Apolioni anaweza kuwepo kwenye majina ya miungu inayotajwa kwenye taarifa za kale za Wayunani (Wagiriki). Wenye kufahamu haya mambo watushirikishe elimu zaidi kwenye hili jambo.
Karibuni tuelimishane
cC: Rabbon Da vincci
Sawa, naona unetaka kuelewa nilichoandika kwa namna yako wewe.Mbona kama uanadundadunda, nimekwambia huyo mzungu kama kuona kaburi la nyerere huyo ndio babu yetu usilazimishe eti babu yangu mimi kiukoo kama unavyofosi kwani huyo sijui Daudi muliotaka kuona kaburi lake huko mlipoenda hao waliowashangaa ni babu yao mzaa baba.
Hakuna mtanzania atashaa mzungu kuja kuona kaburi la nyerere hivyohivyo hakuna muarabu atashangaa muafrika kutaka kuona kaburi la Yesu nk
Context ngumu kwako
Yuda kumjua Bwana Yesu tu haitoshi,lazima tushike amri zake.Amesema mkinipenda mtashika amri zangu.Asante Maana Ulinzi Tosha Ni YESU tuwekeze nguvu sana Kumjua Yeye
Huwaga mnafanya vitu hewa sana.Vitu hivi havisaidi lolote kiroho,mtafuteni Bwana Yesu,mjueni,anapatikana popote ulipo.Concept ya kuhiji haina msingi wowote wa kiroho,it is Satan's heresy.Wake up guys.Kuna kipindi cha nyuma tulienda Israel kutalii tukawa tuna tafuta kaburi la daudi ,kuna majamaa yalikua yanatushangaa sana, ni sawa na wewe watu kutoka bara lingine rangi nyingne waje kwenu kuulizia makaburi ya babu zako, ni vile tu ni utalii ila tulionekena wa hovyo sanaView attachment 2949619
Yesu tumtafute kapotelea wap, wewe umeonea wap na sie tuje kumsaka?Huwaga mnafanya vitu hewa sana.Vitu hivi havisaidi lolote kiroho,mtafuteni Bwana Yesu,mjueni,anapatikana popote ulipo.Concept ya kuhiji haina msingi wowote wa kiroho,it is Satan's heresy.Wake up guys.
Boss bado tu hujalegeza fuvu YESU ANAKUPENDA SANA MPOKEE LEOYesu tumtafute kapotelea wap, wewe umeonea wap na sie tuje kumsaka?
Hakuna, Mungu wa Yesu hizo ni story za kitoto za darasa la kwanza kawa wapo thibitisha .Boss bado tu hujalegeza fuvu YESU ANAKUPENDA SANA MPOKEE LEO
Mtafute kwenye Biblia Mkuu,anapatikana huko.Halafu shika amri zake,huko ndio kumtafuta kwenyewe.Yesu tumtafute kapotelea wap, wewe umeonea wap na sie tuje kumsaka?
Zaburi 14:1Hakuna, Mungu wa Yesu hizo ni story za kitoto za darasa la kwanza kawa wapo thibitisha .
Wasio amini Mungu 1:12 , mpumbavu husema moyoni mwake kuna Mungu , tena mbaya zaidi eti Mungu wa Israel.Zaburi 14:1
1 Mpumbavu amesema moyoni, Hakuna Mungu.
Na haya yafuatayo ni kweli pia kwako.
Warumi 1:18-22
18 Kwa maana ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa kutoka mbinguni juu ya uasi wote na uovu wa wanadamu waipingao kweli kwa uovu.
19 Kwa kuwa mambo ya Mungu yanayojulikana yamekuwa dhahiri ndani yao, kwa maana Mungu aliwadhihirishia.
20 Kwa sababu mambo yake yasiyoonekana tangu kuumbwa ulimwengu yanaonekana, na kufahamika kwa kazi zake; yaani, uweza wake wa milele na Uungu wake; hata wasiwe na udhuru;
21 kwa sababu, walipomjua Mungu hawakumtukuza kama ndiye Mungu wala kumshukuru; bali walipotea katika uzushi wao, na mioyo yao yenye ujinga ikatiwa giza.
22 Wakijinena kuwa wenye hekima walipumbazika.
Mkuu mpokee Yesu,awe Bwana na Mwokozi wa manisha yako leo uponye Roho yako na jehanamu ya Moto,usikubali kuwa mpumbavu(Zaburi 14:1).Bwana Yesu anakupenda.
Biblia ni hekaya za kuktugwa ambazo sisi wamatumbi tuliletewa miaka 200 iliyopita apa.Mtafute kwenye Biblia Mkuu,anapatikana huko.Halafu shika amri zake,huko ndio kumtafuta kwenyewe.
Anasema hivi,
Yohana 14:15,21
15 Mkinipenda, mtazishika amri zangu.
21 Yeye aliye na amri zangu, na kuzishika, yeye ndiye anipendaye; naye anipendaye atapendwa na Baba yangu; nami nitampenda na kujidhihirisha kwake.
Sawa, wewe kiburi cha uzima ndicho kinachokusumbua.Ila nikuambie hivii,ni afadhali kuamini Mungu yupo halafu usimkute,hupotezi chochote,kuliko kuamini hayupo halafu umkute,itakuwa kilio na kusaga meno.Biblia ni hekaya za kuktugwa ambazo sisi wamatumbi tuliletewa miaka 200 iliyopita apa.