Malaika anayetajwa katika Ufunuo wa Yohana 9:11, ni nani haswa? Je kupatwa kwa jua Aprili 2024 kunahusiana na malaika huyu?

Eti wakawashangaa, kwani wao ndio wa kwqnza kwenda kuangalia kaburi la Daudi na la Yesu hadi wawashangae? Huyo jamaa ni "very low na hakuna ajuacho" atakupotezea muda wako. Tuendelee na mada.
 
Mkuu Samael (Zamani) ndiyo wakristo na wayahudi wanamtaja kama Shetani..

Lucifer (Heylel) ni cheo na sio Rasmi Mtu fulani!
Yesu pia ni lucifer..
Na hata mungu ameahidi kuwapa watu watakaomtegemea u "Lucifer" .

Na nayoongea nina uwezo wa kuyathibitisha
 
Na hata humu JF wapo ndio hao wanaopinga na kushindana kwa kila kitu kihusucho Mungu. Hao wanaleta hoja za kutaka mumuwaoneshe Mungu physically kama kuuonesha mlima au kumshika Mungu mkono na kumleta kwa min -me na umwambie huyu ndio Mungu. Wanajulikana kwa elimu yao ya kupunga uwepo wa Mungu.
 
Haya mawazo kwamba Kitabu cha Ufunuo wa Yohana hakipaswi kuwepo umeyatoa wapi,tuanzie hapo.
Anajifurahisha huyo jamaa. Vijana wa sasa wanataka wahubiriwe kile wanachotaka kusikia. Wanataka ibada nzima waambiwe pokea mke/mme, pokea nyumba na magari, pokea vita ya kwenda kuishi USA n.k. Wanataka wahubiriwe kuhusu "material things"
 
Ilivyotokea total Eclipse mwaka 2016 alikuja nani kutoka mbinguni nyie waamini?
 
Anajifurahisha huyo jamaa. Vijana wa sasa wanataka wahubiriwe kile wanachotaka kusikia. Wanataka ibada nzima waambiwe pokea mke/mme, pokea nyumba na magari, pokea vita ya kwenda kuishi USA n.k. Wanataka wahubiriwe kuhusu "material things"
Very sad indeed.Unajua Mkuu,there is a new human Species created by Satan in his bid to change everything so that it can fit his moral standards.They call it Homo Borgenesis.Most people especially the young generation belong to this new Species.A person still with "some commonsense" can see that even moral values are way off the norm.Kwa hiyo usishangae, vijana wengi belong to this new species,so have altered DNA and therefore Genome compared to the normal species Homo Sapiens.
 
Mkuu mashetani yana majina tofauti tofauti kutegemeana na culture tofauti tofauti za duniani jina la shetani katika culture fulani ni tofauti na la shetani katika culture nyingine kwa maana hiyo shetani ana majina mengi.Allah wa enzi za wa quraysh alikuwa modified na Muhammad akafitishwa kwenye imani yake.The is no way aka-match na Mungu wa kwenye biblia.They are as different as East and West
 
Asante sir, kitabu Cha ufunuo ni kitabu Cha unabii, lugha iliyotumika ni lugha ya kimafumbo inayohitaji kupambanuliwa. Kwa mujibu wa maandiko ya kitabu hicho unaposema "malaika" inamaana ya "Mjumbe".
Asante sir, kitabu Cha ufunuo ni kitabu Cha unabii, lugha iliyotumika ni lugha ya kimafumbo inayohitaji kupambanuliwa. Kwa mujibu wa maandiko ya kitabu hicho unaposema "malaika" inamaana ya "Mjumbe". Siku 1 ni sawa mwaka 1. Hivyo lugha ya kitabu cha mwanzo sio sawa na lugha ya kitabu Cha UFUNUO.
 
Safi sana mkuu kwa ufafanuzi
 
Tunaishi majira ya UFUNUO 6:8.

MAUTI na kuzimu wanafuatana wamepanda farasi wa KIJIVUJIVU.

MUHURI wa nne ulifunguliwa 2021 July, MAUTI na kuzimu zimeruhusiwa kuja kuvuna theluthi ya WANADAMU wakaao duniani.

Epukeni kwenda katika sehemu za starehe, askari wa kuzimu wako huko tayari, mtapigwa Sumu kwenye pombe zenu na mtadhani ni watu kumbe askari wa kuzimu, wanawake wa maeneo hayo watawaua, Si watu, ni askari wa kuzimu, yanakuja matetemeko,njaa, vita, MAPINDUZI na Kila aina ya matatizo Ili Roho za waovu zivunwe, wafe watu, theluthi ya WANADAMU wote wakaao duniani.

Mtoa mada, unachoongelea ni MUHURI wa SABA, Malaika wa Tano,baragumu ya tano, huko Bado kufika, hayo tatatukia, baada ya WATAKATIFU kuondolewa duniani.

Hapa tuko MUHURI wa nne.

USALAMA ni kuokoka na kuishi maisha matakatifu.

Amen
 
KUHUSU DUNIA,JUA, MWEZI NA NYOTA KUPIGWA GIZA KWA 1/3.

NI MUHURI WA SABA, MALAIKA WA NNE, ATAKAPOPULIZA BARAGUMU YA NNE. ( Ufunuo 8:12).

Malaika wa nne akapiga baragumu, theluthi ya jua ikapigwa, na theluthi ya mwezi, theluthi ya nyota, Ili kwamba Ile theluthi itiwe GIZA, mchana usiangaze theluthi yake Wala usiku vivyo hivyo.

Utaona hapo hizi kupata Kwa jua ni Ishara tu, ni tone la yatakayokuja tokea tukifika MUHURI wa Saba.

Now from July 2020, ulifunguliwa MUHURI wa nne sawa Sawa na (ufunuo 6:8)
 
Hata tabia za Allah zilizo orodheshwa kwenye Biblia ni tofauti kabisa na za Yehova in the Bible,kwa hiyo ni kweli,they are as different as North and South.
 
Hata tabia za Allah zilizo orodheshwa kwenye Biblia ni tofauti kabisa na za Yehova in the Bible,kwa hiyo ni kweli,they are as different as North and South.
Halafu believe or not wanasomaga biblia na wanakopi na kugeuza maneno kidogo tu na kuyapaste kwenye quran.
 
Unachohitaji ni the Holy Spirit kuelewa Biblia as a whole.Without the Holy Spirit utaona Biblia inajipinga,but it is as clear as the difference between night and day.Ukitumia akili yako you can't understand the Bible.
 
Kamanda wa Shetani atafunguliwa baada ya unyakuo wa kwanza, baada ya roho mtakatifu kuondoka na kanisa kwa awamu ya kwanza
Comred kuna watu umewaacha patupu lugha ya ndani sn hiyo
 
Halafu believe or not wanasomaga biblia na wanakopi na kugeuza maneno kidogo tu na kuyapaste kwenye quran.
That is true, Qur'an ni a mixture of the Old Testament which includes the Torah,Quraresh Culture which is basically based on demonic Revelations and some Christian values.It is a heretical concoction to be precise.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…