Malaika aonekana kwenye Kanisa akiwa amevaa viatu?

Malaika aonekana kwenye Kanisa akiwa amevaa viatu?

Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Katika hiyo post hajasema malaika. Labda ni kwa makusudi ili awatege watu. Malaika amevaa brand shoes hahaaa
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Yani nliona hii picha nikacheka sana. Aliyeturoga waafrika katumaliza
 
Malaika ndio huyo jamaa aliyetupia raba kali nyeupe?
Kilichotokea ni hiyo camera bila shaka itakuwa ni low quality na pixels chache na huyo malaika alipita hapo amevaa shuka huku anakimbia hivyo camera ikacapture hizo blur.

This is another level of Ignorance.
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Katika hiyo post hajasema malaika. Labda ni kwa makusudi ili awatege watu. Malaika amevaa brand shoes hahaaa
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Hao wanaijeria wapumbavu sana
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??

Yakikukuta ya yule aliekuwa anapiga story za kutoka galilaya, yerusalem mpaka betelehem, sisi hatumo.
 
Najiuliza, kama kila mtu katika hizi zama amekuwa mgumu kukubaliana na habari za watu wanaojiita manabii

Ilikuwaje kipindi cha nyuma watu wa enzi hizo kuwe na urahisi wa kuwakubali manabii wa kipindi hicho, ambao wakasababisha kizazi hiki kikarithi tabia hiyo?

Kizizi hiki kwa utashi ambao kipo nao leo, kingepata bahati ya kukutana na hao manabii wa kipindi hicho naona isingekuwa rahisi kuwaamini hao manabii ambao leo wanaaminiwa kutokana na kurithishwa. Watu wamerithishwa imani kua kuna Yesu, petro, muhammad, maria, nk.

Nikianza kuangalia yule yesu aliyekuja mwaka juzi hapo kenya na still watu wakamkataa napata hofu kwamba kuna siku hata akija huyo yesu na akajitambulisha kwamba yeye ndio yesu OG watu mtamkataa kwa kutumia vifungu vyake alivyoviandika yeye mwenyewe kua manabii wengi wa uongo watakuja kwa jina langu
Ubongo wangu umegoma kabisa kukuelewa,na uboho wangu (bone marrow)imegoma kusafirisha taarifa yako kwenda kichwani
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Dah..kuna x wangu anaamin haya mambo humwambii kitu..halaf kwao nyumba nzima wanaamin haya mambo

Enz hzo tuko chuo akanipelekaga kwenye kanisa flan hiv aisee ule utapel nilioshuhudia pale nkasema hiv inakuaje mtu chuo kikuu una elim yako unaamin maigizo yale live live vile..daah...kuna video moja yule bushir et ana fly kwenye ngaz...aisee
 
Back
Top Bottom