Malaika aonekana kwenye Kanisa akiwa amevaa viatu?

Malaika aonekana kwenye Kanisa akiwa amevaa viatu?

Ubongo wangu umegoma kabisa kukuelewa,na uboho wangu (bone marrow)imegoma kusafirisha taarifa yako kwenda kichwani
Labda sio kiungo muhimu cha kukitegemea katika kuelewa mambo

Nasikitika kwamba sijaeleweka kwa mara nyingine
 
Kondoo wa bwana si hawanaga akili acha watu watengeneze maisha kupitia ujinga wao
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Alivaa viatu vya John White, viatu hivi vikali sana hutengenezwa kwa ngozi ya kitimoto.
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Tukubaliane tu, akiwa vipi anatimiza sifa za kuwa malaika? Maana tunaweza tukaponda tu, ila hatuna vigezo.
 
Kuna majitu yanaburuzwa dunia hii hata ukiwaambia wavuke mto wenye Mamba watavuka kama Nyumbu
 
Vitu vingine sio vya kubishana we unaesema mungu hayupo,Huyo anayewekaga sukari kwenye maembe ni baba yako au.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Swali la kiwaki sana hilo,
Na anaejaza maji kwenye madafu atakua mjomba wake.
Alivyo na akili nyingi atakujibu ni nature, sasa sijui Juma kamuacha wapi.
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Sijawahi kumuona malaika....pengine walikuwa wanavaa.
 
Malaika amevaa snickers [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Najiuliza, kama kila mtu katika hizi zama amekuwa mgumu kukubaliana na habari za watu wanaojiita manabii

Ilikuwaje kipindi cha nyuma watu wa enzi hizo kuwe na urahisi wa kuwakubali manabii wa kipindi hicho, ambao wakasababisha kizazi hiki kikarithi tabia hiyo?

Kizizi hiki kwa utashi ambao kipo nao leo, kingepata bahati ya kukutana na hao manabii wa kipindi hicho naona isingekuwa rahisi kuwaamini hao manabii ambao leo wanaaminiwa kutokana na kurithishwa. Watu wamerithishwa imani kua kuna Yesu, petro, muhammad, maria, nk.

Nikianza kuangalia yule yesu aliyekuja mwaka juzi hapo kenya na still watu wakamkataa napata hofu kwamba kuna siku hata akija huyo yesu na akajitambulisha kwamba yeye ndio yesu OG watu mtamkataa kwa kutumia vifungu vyake alivyoviandika yeye mwenyewe kua manabii wengi wa uongo watakuja kwa jina langu
Manabii wa enzi za mwanzo ni tofauti kabisa na hawa waganga njaa wa leo. Siku hizi hizo ni ishu za kupiga pesa tu. Angalia hata miujiza yao feki. Mara sijui mtu kaponywa uvimbe sijui kisukari etc. Viwete na vipofu tangu kuzaliwa wamejaa tele huko mitaani hakuna hata mmoja aliyeponywa. Ujanja ujanja tu !
 
Kwahiyo nini sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28]

Unahisi umepigwa na kitu kizito au [emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Wajinga watajaa hapo kanisani na mapato yataongezeka maradufu
 
Tukubaliane tu, akiwa vipi anatimiza sifa za kuwa malaika? Maana tunaweza tukaponda tu, ila hatuna vigezo.
Hakuleta ujumbe wowote. What was the intention of his appearing? Ujinga mtupu.Alikuja kufanya show kwenye camera au? Malaika anapotokea anakuja na ujumbe.
 
Back
Top Bottom