Malaika aonekana kwenye Kanisa akiwa amevaa viatu?

Malaika aonekana kwenye Kanisa akiwa amevaa viatu?

Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Hivi vituko huwa ni kwa makanisa ya wajasiria dini wanaojiita walokole
 
Jina la pastor tafadhali...😁
 
Sasa mnampangia malaika kama aliamua kutoka tofauti anavyotokaga siku zote.. hiki kizazi kingine nyie lazima wajitofautishe msiwazoee malaika wa zamani na wa sasa
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
"An Angle was captured on camera". Tuishie hapo tu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sasa mnampangia malaika kama aliamua kutoka tofauti anavyotokaga siku zote.. hiki kizazi kingine nyie lazima wajitofautishe msiwazoee malaika wa zamani na wa sasa

Alafu anaonekana kabsa malaika wa kiafrica-mweusi—- dunia hii ina upendeleo wallah
 
Wakristo Amkeni basi Jamanii heeee

Mutaibiwa mpaka lini nyinyi embu zindukeni basi
Mnaibiwaaaa na hao Manabii wenu feki
Aisee,inabidi itumike nguvu ya ziada kuwatetea wakristo,maana wanaibiwa kila siku na Hawa manabii feki na wachungaji matapeli,

Cha ajabu hata uwambie vipi ni wagumu kuelewa,yaani sasaivi ukitaka kutajirika basi wewe geukia huko kwa wakristo jifanye nabii na mtume.
 
Courtesy of Millard Ayo:


Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma

rrtttttt.jpg


Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Camera zilimwona lakini hakuna muumini aliye mwona basi imani yao haba sana. Na yule mwingine aliwavua wanawake Nguo hadharani eti utakaso duh! hawa watu mbona mambo mchanaganyiko hivyo?
 
Najiuliza, kama kila mtu katika hizi zama amekuwa mgumu kukubaliana na habari za watu wanaojiita manabii

Ilikuwaje kipindi cha nyuma watu wa enzi hizo kuwe na urahisi wa kuwakubali manabii wa kipindi hicho, ambao wakasababisha kizazi hiki kikarithi tabia hiyo?

Kizizi hiki kwa utashi ambao kipo nao leo, kingepata bahati ya kukutana na hao manabii wa kipindi hicho naona isingekuwa rahisi kuwaamini hao manabii ambao leo wanaaminiwa kutokana na kurithishwa. Watu wamerithishwa imani kua kuna Yesu, petro, muhammad, maria, nk.

Nikianza kuangalia yule yesu aliyekuja mwaka juzi hapo kenya na still watu wakamkataa napata hofu kwamba kuna siku hata akija huyo yesu na akajitambulisha kwamba yeye ndio yesu OG watu mtamkataa kwa kutumia vifungu vyake alivyoviandika yeye mwenyewe kua manabii wengi wa uongo watakuja kwa jina langu
manabii wa kweli walikumbana na upinzani mkali sana, angalia mfano wa MUSA, hivyo vyeo hawakuvikubali kirahisi
 
Back
Top Bottom