Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 717
- 1,903
Huu uongo ungefanywa na waislam tungetukanwa matusi yote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aina ya tatu ni watu wa mpira.hii dunia ina wapuuzi wa aina mbili.
watu wa dini,watu wa siasa.
Wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Aina ya tatu ni watu wa mpira.
Lete ushahidiMbona mtume wenu Muhammad alikuwa mfiraji mzuri tu sisi hatusemi?
Hivi vituko huwa ni kwa makanisa ya wajasiria dini wanaojiita walokoleCourtesy of Millard Ayo:
![]()
Gumzo!!!Mchugaji adai camera zimemnasa Malaika wakati akitoa huduma - Millard Ayo
Ni Headlines kutokea Jamhuri ya Benin ambapo mchugaji Ekuma Uche Philips ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kusambaa kwa picha ikidaiwa mmemnasa Malaika. Mchugaji huyo aliujulisha umma kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema. "Haya ni maajabu makubwa hakika, Malaika amenaswa kwenye...millardayo.com
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma
![]()
Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
"An Angle was captured on camera". Tuishie hapo tu[emoji23][emoji23][emoji23]Courtesy of Millard Ayo:
![]()
Gumzo!!!Mchugaji adai camera zimemnasa Malaika wakati akitoa huduma - Millard Ayo
Ni Headlines kutokea Jamhuri ya Benin ambapo mchugaji Ekuma Uche Philips ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kusambaa kwa picha ikidaiwa mmemnasa Malaika. Mchugaji huyo aliujulisha umma kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema. "Haya ni maajabu makubwa hakika, Malaika amenaswa kwenye...millardayo.com
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma
![]()
Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Sasa mnampangia malaika kama aliamua kutoka tofauti anavyotokaga siku zote.. hiki kizazi kingine nyie lazima wajitofautishe msiwazoee malaika wa zamani na wa sasa
Aisee,inabidi itumike nguvu ya ziada kuwatetea wakristo,maana wanaibiwa kila siku na Hawa manabii feki na wachungaji matapeli,Wakristo Amkeni basi Jamanii heeee
Mutaibiwa mpaka lini nyinyi embu zindukeni basi
Mnaibiwaaaa na hao Manabii wenu feki
Camera zilimwona lakini hakuna muumini aliye mwona basi imani yao haba sana. Na yule mwingine aliwavua wanawake Nguo hadharani eti utakaso duh! hawa watu mbona mambo mchanaganyiko hivyo?Courtesy of Millard Ayo:
![]()
Gumzo!!!Mchugaji adai camera zimemnasa Malaika wakati akitoa huduma - Millard Ayo
Ni Headlines kutokea Jamhuri ya Benin ambapo mchugaji Ekuma Uche Philips ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kusambaa kwa picha ikidaiwa mmemnasa Malaika. Mchugaji huyo aliujulisha umma kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema. "Haya ni maajabu makubwa hakika, Malaika amenaswa kwenye...millardayo.com
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma
![]()
Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Afrika sindio tunjua Yesu mke wake ni nani?🤣🤣🤣🤣🤣Alafu anaonekana kabsa malaika wa kiafrica-mweusi—- dunia hii ina upendeleo wallah
Hao makahaba 42 na ndoa za binti wa miaka 9 ni uchafuuLete ushahidi
m ata siongei sana lete ushahidi
Kwa kwel mtu timamu hawez kubaliana na ujinga huu!Hivi vituko huwa ni kwa makanisa ya wajasiria dini wanaojiita walokole
manabii wa kweli walikumbana na upinzani mkali sana, angalia mfano wa MUSA, hivyo vyeo hawakuvikubali kirahisiNajiuliza, kama kila mtu katika hizi zama amekuwa mgumu kukubaliana na habari za watu wanaojiita manabii
Ilikuwaje kipindi cha nyuma watu wa enzi hizo kuwe na urahisi wa kuwakubali manabii wa kipindi hicho, ambao wakasababisha kizazi hiki kikarithi tabia hiyo?
Kizizi hiki kwa utashi ambao kipo nao leo, kingepata bahati ya kukutana na hao manabii wa kipindi hicho naona isingekuwa rahisi kuwaamini hao manabii ambao leo wanaaminiwa kutokana na kurithishwa. Watu wamerithishwa imani kua kuna Yesu, petro, muhammad, maria, nk.
Nikianza kuangalia yule yesu aliyekuja mwaka juzi hapo kenya na still watu wakamkataa napata hofu kwamba kuna siku hata akija huyo yesu na akajitambulisha kwamba yeye ndio yesu OG watu mtamkataa kwa kutumia vifungu vyake alivyoviandika yeye mwenyewe kua manabii wengi wa uongo watakuja kwa jina langu