Labda sio kiungo muhimu cha kukitegemea katika kuelewa mamboUbongo wangu umegoma kabisa kukuelewa,na uboho wangu (bone marrow)imegoma kusafirisha taarifa yako kwenda kichwani
Alivaa viatu vya John White, viatu hivi vikali sana hutengenezwa kwa ngozi ya kitimoto.Courtesy of Millard Ayo:
Gumzo!!!Mchugaji adai camera zimemnasa Malaika wakati akitoa huduma - Millard Ayo
Ni Headlines kutokea Jamhuri ya Benin ambapo mchugaji Ekuma Uche Philips ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kusambaa kwa picha ikidaiwa mmemnasa Malaika. Mchugaji huyo aliujulisha umma kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema. "Haya ni maajabu makubwa hakika, Malaika amenaswa kwenye...millardayo.com
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma
Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Mkuu kama painting tu imetumika nothing advanced. Japo camera trick kama shutter speed inaweza kutoa effect kama hioMungu hayupo na hajawahi kuwepo. kuamini mungu yupo ni ujinga.
Tukubaliane tu, akiwa vipi anatimiza sifa za kuwa malaika? Maana tunaweza tukaponda tu, ila hatuna vigezo.Courtesy of Millard Ayo:
Gumzo!!!Mchugaji adai camera zimemnasa Malaika wakati akitoa huduma - Millard Ayo
Ni Headlines kutokea Jamhuri ya Benin ambapo mchugaji Ekuma Uche Philips ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kusambaa kwa picha ikidaiwa mmemnasa Malaika. Mchugaji huyo aliujulisha umma kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema. "Haya ni maajabu makubwa hakika, Malaika amenaswa kwenye...millardayo.com
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma
Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Umejuaje ?Mungu hayupo na hajawahi kuwepo. kuamini mungu yupo ni ujinga.
Naomba niongeze wa aina ya tatu,waganga wa kienyeji.hii dunia ina wapuuzi wa aina mbili.
watu wa dini,watu wa siasa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Vitu vingine sio vya kubishana we unaesema mungu hayupo,Huyo anayewekaga sukari kwenye maembe ni baba yako au.
Sijawahi kumuona malaika....pengine walikuwa wanavaa.Courtesy of Millard Ayo:
Gumzo!!!Mchugaji adai camera zimemnasa Malaika wakati akitoa huduma - Millard Ayo
Ni Headlines kutokea Jamhuri ya Benin ambapo mchugaji Ekuma Uche Philips ameingia kwenye vichwa vya habari baada ya kusambaa kwa picha ikidaiwa mmemnasa Malaika. Mchugaji huyo aliujulisha umma kupitia ukurasa wake wa Facebook na kusema. "Haya ni maajabu makubwa hakika, Malaika amenaswa kwenye...millardayo.com
Asante Yesu kwa kututembelea na muujiza mkuu katika Injili ya Msingi wa Imani Porto Novo, Jamhuri ya Benin”- Nukuu ya Mchugaji Ekuma
Swala langu can this be true?
Malaika anaevaa VIATU??
Manabii wa enzi za mwanzo ni tofauti kabisa na hawa waganga njaa wa leo. Siku hizi hizo ni ishu za kupiga pesa tu. Angalia hata miujiza yao feki. Mara sijui mtu kaponywa uvimbe sijui kisukari etc. Viwete na vipofu tangu kuzaliwa wamejaa tele huko mitaani hakuna hata mmoja aliyeponywa. Ujanja ujanja tu !Najiuliza, kama kila mtu katika hizi zama amekuwa mgumu kukubaliana na habari za watu wanaojiita manabii
Ilikuwaje kipindi cha nyuma watu wa enzi hizo kuwe na urahisi wa kuwakubali manabii wa kipindi hicho, ambao wakasababisha kizazi hiki kikarithi tabia hiyo?
Kizizi hiki kwa utashi ambao kipo nao leo, kingepata bahati ya kukutana na hao manabii wa kipindi hicho naona isingekuwa rahisi kuwaamini hao manabii ambao leo wanaaminiwa kutokana na kurithishwa. Watu wamerithishwa imani kua kuna Yesu, petro, muhammad, maria, nk.
Nikianza kuangalia yule yesu aliyekuja mwaka juzi hapo kenya na still watu wakamkataa napata hofu kwamba kuna siku hata akija huyo yesu na akajitambulisha kwamba yeye ndio yesu OG watu mtamkataa kwa kutumia vifungu vyake alivyoviandika yeye mwenyewe kua manabii wengi wa uongo watakuja kwa jina langu
Hawatakaa waishe.Waache waendelee kuibiwa.Mataahira wataisha lini jamani?!
Hakuleta ujumbe wowote. What was the intention of his appearing? Ujinga mtupu.Alikuja kufanya show kwenye camera au? Malaika anapotokea anakuja na ujumbe.Tukubaliane tu, akiwa vipi anatimiza sifa za kuwa malaika? Maana tunaweza tukaponda tu, ila hatuna vigezo.