No,
Mwili ulionao wa Damu na nyama ni photocopy ya MWILI halisi wa Roho.
Mtu ni ROHO mwenye mwili wa Roho wenye viungo kama tu wa mwili.
Unaogombewa uende kuzimu au Mbinguni ni mwili wa Roho ambao ndio mtu halisi.
N B: Mtu ni ROHO anayo NAFSI na anaishi ndani ya MWILI wa nyama.