Malaika mikaeli alifanikiwa kuchukua mwili wa Musa shetani alipougombea, ukifa mwili wako utachukuliwa na nani? Amua sasa!!

A
Ni maombi yangu Mungu aongoze hatua zako,

Ukakue zaidi Kila siku katika nyanja zote maishani mwako.

Ukawe na siku nyingi zilizojaa furaha na baraka. Ukatumike shambani mwa BWANA ukimzalia matunda mema yaufukiao Uzima WA milele.

Aaaamen.
men...... Amen
 
Huyo yuda hizi habari alizijuaje😳
Kwani ufunuo ulitoka mara mbili?
Itakuwa waandishi wametupiga tena
 
Mmh! Confused.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…