Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,906
Tutangaze mgomo wa hii bidhaa . CCM wanajimaliza kwa mambo kama haya .Tukifanikisha hili lazima hawa watu akili itawarudia maana wanatuona kama takataka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutangaze mgomo wa hii bidhaa . CCM wanajimaliza kwa mambo kama haya .Tukifanikisha hili lazima hawa watu akili itawarudia maana wanatuona kama takataka
Wewe Anza, usiingie kabisa humu jf. Ni lazima mwaka huu wajinga wapungue mitandaoniTuanze sasa
If you wanna meet cowards then visit Tanzania you will be surprised .One week strike until we get a better deal from these bastards
Nchi za wenzetu bundle ni bei ghali ukilinganisha na sisi.HAKUNA njia mbadala, waongeze Bei tena na Tena. Ni lazima mwaka huu wajinga mpungue mitandaoni
Naamini hapa jf tupo tayariTutangaze mgomo wa hii bidhaa . CCM wanajimaliza kwa mambo kama haya .
Oops!!!!!!!Wewe Anza, usiingie kabisa humu jf. Ni lazima mwaka huu wajinga wapungue mitandaoni
Mama Samia shikilia hapohapo
Njia nyingine zitumike kuliko hii ya boycott wakati watu hawana mbadala.Toa Ushauri sasa nini kifanyike
Ina maana wajinga hawana pesa ya kununua vocha?Mimi vocha nitanunua na bando nitajiunga. Kwanza niseme wazi Bei iongezeke maradufu wajinga wapungue mitandaoni
Ukitaka ujue level ya unafki ilipofikia hapa bongo. hakuna atakaye jaribu kufanya hiyo kitu.Wabongo ni macoward sana muda mwingine.....
Nasema sisi wanunua vocha tukiuchuna japo kwa siku 30 tu..... Utakuja kuona hiyo simu kama ndani ya wiki moja hawatakaa kurekebisha vifurushi na kurejesha vile tunataka....
Kwenye huu mgomo, tutaishia tu kusalitiana. Jambo la msingi Serikali iangalie kilio cha raia wake. Kama hakuna ulazima wa kuwaumiza, warudishe tu utaratibu kama zamani.Ushauri wako hautekelezeki bwashee!
Unatekelezeka kwa wenzetu. ila hapa kwetu wabongo hawana guts za kufanya hiyo kituUshauri wako hautekelezeki bwashee!
Unaipata vipi?Napata jf Kwa freemode inatosha sikumbuki Mara ya mwisho kuweka vocha lini
Kabisa na ndio maana HAKUNA wajinga mitandaoniNChi za wenzetu bundle ni bei ghali ukilinganisha na sisi.
Mtu yupo tayari ashinde njaa ila aweke vocha. Maisha tu yatakuwa magumu lkn mitandaoni watu wataingia Kama kawaidaMimi vocha nitanunua na bando nitajiunga. Kwanza niseme wazi Bei iongezeke maradufu wajinga wapungue mitandaoni