Itasaidia sana hasa akina dada wa kila siku nitumie hela ya vocha au tuma pesa kwa namba hii, angalau nyumbani kutakuwa na utulivu ila wale maslay queens watapata shida bila simu kwa maana hakutakuwa na connection za honey unajua ....Smart4n bila vocha ni kama Masai bila rungu.
One week strike until we get a better deal from these bastards
Hatuwezi kuacha kununua vocha mkuu
Umefikiria mbali mkuu....vitakufa hivi vijitu.Itasaidia sana hasa akina dada wa kila siku nitumie hela ya vocha au tuma pesa kwa namba hii, angalau nyumbani kutakuwa na utulivu ila wale maslay queens watapata shida bila simu kwa maana hakutakuwa na connection za honey unajua ....
Hivi ni mi sijui kusoma vizuri au na usingizi[emoji23]Unaliwa matako!
Haya serikali yako imeshashusha vifurushi!
Sijui utapongeza tena? Duuh!
Unyumbu raha sana!
Tunaweza vizuri sana hasa kipindi hiki cha pasaka