Malalamiko hayatoshi tusinunue vocha

Smart4n bila vocha ni kama Masai bila rungu.
Itasaidia sana hasa akina dada wa kila siku nitumie hela ya vocha au tuma pesa kwa namba hii, angalau nyumbani kutakuwa na utulivu ila wale maslay queens watapata shida bila simu kwa maana hakutakuwa na connection za honey unajua ....
 
Itasaidia sana hasa akina dada wa kila siku nitumie hela ya vocha au tuma pesa kwa namba hii, angalau nyumbani kutakuwa na utulivu ila wale maslay queens watapata shida bila simu kwa maana hakutakuwa na connection za honey unajua ....
Umefikiria mbali mkuu....vitakufa hivi vijitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…