KERO Malalamiko Kuhusu Kutokufundishwa kwa Wakati Kupitia Zoom Lectures - Open University Tanzania

KERO Malalamiko Kuhusu Kutokufundishwa kwa Wakati Kupitia Zoom Lectures - Open University Tanzania

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Screenshot_20240807-111349_Moodle.jpg
Screenshot_20240807-111408_Moodle.jpg
Screenshot_20240807-111459_Moodle.jpg


Habari wadau,

Ninaomba kutoa lalamiko langu kuhusu huduma za masomo kupitia Zoom lectures zinazotolewa na Open University Tanzania kwa wanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza (bachelor of Laws) na wengine.

Tatizo kubwa ni kutokufundishwa kwa wakati kupitia Zoom lectures. Mara ya mwisho kufundishwa kupitia Zoom lectures ilikuwa mwezi wa tano mwaka huu (2024) kwa kila somo.

Hadi sasa, hatujapewa ratiba nyingine ya vipindi vya Zoom kwa muda mrefu, hali ambayo inatuletea changamoto kubwa katika kujifunza na kuelewa masomo

Ombi langu:

Tunaiomba taasisi ya Open University Tanzania itatue tatizo hili haraka iwezekanavyo. Vipindi vya Zoom ni muhimu sana kwa sababu vinatusaidia kuelewa masomo yetu na kutusaidia kujisomea wenyewe kwa ufanisi zaidi.

Naomba uongozi wa Open University Tanzania uchukue hatua stahiki ili kuhakikisha tunapata elimu bora na ya wakati.

Ahsanteni.
 
Mambo haya ndio yanafanya chuo kionekane sio.
 
OUT ni moja ya vyuo vya kibabaishaji sana, sijui huko nje ya mipaka wanapataje wanafunzi, ila ukweli ni miongoni mwa vyuo vya hovyo kupata kutokea
 
Open inabidi uweke nguvu zako za ziada ukisubiri online lectures utashangaa mitihani imefika, wewe na wanafunzi wenzako mnaosoma programme 1 inabidi muanzishe group hata la WhatsApp ambalo mtakutana nchi nzima kuna voicechart kwenye hizo group mnaweza kufanya discussion na mambo yakaenda poa
 
View attachment 3063569View attachment 3063570View attachment 3063571

Habari wadau,

Ninaomba kutoa lalamiko langu kuhusu huduma za masomo kupitia Zoom lectures zinazotolewa na Open University Tanzania kwa wanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza (bachelor of Laws) na wengine.

Tatizo kubwa ni kutokufundishwa kwa wakati kupitia Zoom lectures. Mara ya mwisho kufundishwa kupitia Zoom lectures ilikuwa mwezi wa tano mwaka huu (2024) kwa kila somo.

Hadi sasa, hatujapewa ratiba nyingine ya vipindi vya Zoom kwa muda mrefu, hali ambayo inatuletea changamoto kubwa katika kujifunza na kuelewa masomo

Ombi langu:

Tunaiomba taasisi ya Open University Tanzania itatue tatizo hili haraka iwezekanavyo. Vipindi vya Zoom ni muhimu sana kwa sababu vinatusaidia kuelewa masomo yetu na kutusaidia kujisomea wenyewe kwa ufanisi zaidi.

Naomba uongozi wa Open University Tanzania uchukue hatua stahiki ili kuhakikisha tunapata elimu bora na ya wakati.

Ahsanteni.
Hivi mtu mwenye akili timamu unasomaje open university?
 
View attachment 3063569View attachment 3063570View attachment 3063571

Habari wadau,

Ninaomba kutoa lalamiko langu kuhusu huduma za masomo kupitia Zoom lectures zinazotolewa na Open University Tanzania kwa wanafunzi wa sheria mwaka wa kwanza (bachelor of Laws) na wengine.

Tatizo kubwa ni kutokufundishwa kwa wakati kupitia Zoom lectures. Mara ya mwisho kufundishwa kupitia Zoom lectures ilikuwa mwezi wa tano mwaka huu (2024) kwa kila somo.

Hadi sasa, hatujapewa ratiba nyingine ya vipindi vya Zoom kwa muda mrefu, hali ambayo inatuletea changamoto kubwa katika kujifunza na kuelewa masomo

Ombi langu:

Tunaiomba taasisi ya Open University Tanzania itatue tatizo hili haraka iwezekanavyo. Vipindi vya Zoom ni muhimu sana kwa sababu vinatusaidia kuelewa masomo yetu na kutusaidia kujisomea wenyewe kwa ufanisi zaidi.

Naomba uongozi wa Open University Tanzania uchukue hatua stahiki ili kuhakikisha tunapata elimu bora na ya wakati.

Ahsanteni.
Usipende spoon feeding hizo lecture zimeanza juzi tu wenzako miaka nenda rudi walikuwa wanajisomea wenyewe na kwa group discussion kwa njia ya WhatsApp n.k ukichagua Open and distance learning lazima ujue kujisomea pekee yako hasa vitabu usiwe unapenda kukariri kama hao wa kutoka chuo cha Jalalani.
 
Mambo ya namna hiyo waachieni wazungu, wanaojua thamani ya muda, rasilimali watu na wanaoelewa na kujua nini maana ya ukweli!

Mwafrika tangu lini akaanzisha kitu na akakiendesha kikadumu?!

Kwahiyo watu washalipa ada, ila mnawazingua sio?! Wafate ratiba zenu nyie binafsi na sio zilizopangwa maalum kwa ajili ya masomo?! Kweli Afrika tumejaa manyumbu tu
 
Back
Top Bottom