Malalamiko kuhusu SGR yanayotolewa na baadhi ya abiria

Malalamiko kuhusu SGR yanayotolewa na baadhi ya abiria

Selemani Sele

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2023
Posts
319
Reaction score
711
Treni za Mwendokasi ni treni nzuri sana, in short they are comfortable and fast. Lakini kama mwanaharakati, I haven't noticed many obligations but recently people in the social medias wameleta malalamiko yafuatayo;

1. No smoking zone in waiting area
Waraibu wa sigara wamelalamika kwamba hamna sehemu ya kuvuta sigara. Ambayo kama mradi unataka kutumiwa na foreigners itakuwa shida maana washazoea nchi zao kuna such places.

2. Kukimbilia treni bila utaratibu
Boarding time watu wanakimbilia treni kwasababu milango inafunguliwa dakika kumi hadi 20 kabla haijaondoka kwanini watu wanaofika wasiingie moja moja.

3. Restaurant
Hii inauza vitu local kama keki na another, kwanini wasiongeze vitu kama nyama choma waongeze mapato.

4. System kulag
Last week system ililag watu wakawa wanakosa safari wakati wamenunua ticket. Lakini system ishasolviwa kudos.
5. Waiting Area.
Waiting area imekua ndogo watu wengi wameshauri waongeze ukubwa.
The quality control officer anabidi aput up much effort to satisfy the needs of the people.

Kudos mwanaharakati wako Selemani Sele.
 
Treni za Mwendokasi ni treni nzuri sana, in short they are comfortable and fast. Lakini kama mwanaharakati, I haven't noticed many obligations but recently people in the social medias wameleta malalamiko yafuatayo;

1. No smoking zone in waiting area
Waraibu wa sigara wamelalamika kwamba hamna sehemu ya kuvuta sigara. Ambayo kama mradi unataka kutumiwa na foreigners itakuwa shida maana washazoea nchi zao kuna such places.

2. Kukimbilia treni bila utaratibu
Boarding time watu wanakimbilia treni kwasababu milango inafunguliwa dakika kumi hadi 20 kabla haijaondoka kwanini watu wanaofika wasiingie moja moja.

3. Restaurant
Hii inauza vitu local kama keki na another, kwanini wasiongeze vitu kama nyama choma waongeze mapato.

4. System kulag
Last week system ililag watu wakawa wanakosa safari wakati wamenunua ticket. Lakini system ishasolviwa kudos.

The quality control officer anabidi aput up much effort to satisfy the needs of the people.

Kudos mwanaharakati wako Selemani Sele.
Utakuwa mhaya.

Cc DR HAYA LAND
 
Treni za Mwendokasi ni treni nzuri sana, in short they are comfortable and fast. Lakini kama mwanaharakati, I haven't noticed many obligations but recently people in the social medias wameleta malalamiko yafuatayo;

1. No smoking zone in waiting area
Waraibu wa sigara wamelalamika kwamba hamna sehemu ya kuvuta sigara. Ambayo kama mradi unataka kutumiwa na foreigners itakuwa shida maana washazoea nchi zao kuna such places.

2. Kukimbilia treni bila utaratibu
Boarding time watu wanakimbilia treni kwasababu milango inafunguliwa dakika kumi hadi 20 kabla haijaondoka kwanini watu wanaofika wasiingie moja moja.

3. Restaurant
Hii inauza vitu local kama keki na another, kwanini wasiongeze vitu kama nyama choma waongeze mapato.

4. System kulag
Last week system ililag watu wakawa wanakosa safari wakati wamenunua ticket. Lakini system ishasolviwa kudos.

The quality control officer anabidi aput up much effort to satisfy the needs of the people.

Kudos mwanaharakati wako Selemani Sele.
Management na Customer care ndio janga kubwa zaidi kwa Watu weusi, naamini mradi huu utakufa Mapema zaidi kutokana na kuwepo kwa majanga haya.
 
Wavuta sigara wajue sigara ni hatari kwa afya zao...

Milango kufunguliwa dakika kadhaa kabla ya safari, hilo walifanyie kazi.. Iwe hata dakika 45 kabla ya safari...
Chakula:Waongeze ubunifu..
 
Treni za Mwendokasi ni treni nzuri sana, in short they are comfortable and fast. Lakini kama mwanaharakati, I haven't noticed many obligations but recently people in the social medias wameleta malalamiko yafuatayo;

1. No smoking zone in waiting area
Waraibu wa sigara wamelalamika kwamba hamna sehemu ya kuvuta sigara. Ambayo kama mradi unataka kutumiwa na foreigners itakuwa shida maana washazoea nchi zao kuna such places.

2. Kukimbilia treni bila utaratibu
Boarding time watu wanakimbilia treni kwasababu milango inafunguliwa dakika kumi hadi 20 kabla haijaondoka kwanini watu wanaofika wasiingie moja moja.

3. Restaurant
Hii inauza vitu local kama keki na another, kwanini wasiongeze vitu kama nyama choma waongeze mapato.

4. System kulag
Last week system ililag watu wakawa wanakosa safari wakati wamenunua ticket. Lakini system ishasolviwa kudos.

The quality control officer anabidi aput up much effort to satisfy the needs of the people.

Kudos mwanaharakati wako Selemani Sele.
Namba 2 ni uongo. Abiria wanatakiwa wafike masaa mawili kabla na wanaruhusu kuingia zaidi ya 45 minutes early. Ambayo kidogo niliona imechelewa kufungua milango ilikuwa ya Dar-dom jioni kwasababu ilitoka Moro ikashusha,wakasafisha ndio wakaruhusu watu kuingia nayo ilikuwa sio chini ya nusu saa. Ya dom Dar ndio kabisa mimi binafsi niliingia 30 kabla ya kuondoka na nilikuta tayari watu wengi wameshapanda. Wale unaoona wanakimbia hovyo ni watu wanaokuja dakika 10 kabla ya kuondoka na ndio Wabongo wengi walivyo.

Ushauri wangu waweke benches kwenye platform ili watu waingie taratibu wakakae kule kwenye platform ili treni ikifika tu wanapanda. Nimegundua station ni ndogo huko tuendako itakuwa tatizo.
 
Treni za Mwendokasi ni treni nzuri sana, in short they are comfortable and fast. Lakini kama mwanaharakati, I haven't noticed many obligations but recently people in the social medias wameleta malalamiko yafuatayo;

1. No smoking zone in waiting area
Waraibu wa sigara wamelalamika kwamba hamna sehemu ya kuvuta sigara. Ambayo kama mradi unataka kutumiwa na foreigners itakuwa shida maana washazoea nchi zao kuna such places.

2. Kukimbilia treni bila utaratibu
Boarding time watu wanakimbilia treni kwasababu milango inafunguliwa dakika kumi hadi 20 kabla haijaondoka kwanini watu wanaofika wasiingie moja moja.

3. Restaurant
Hii inauza vitu local kama keki na another, kwanini wasiongeze vitu kama nyama choma waongeze mapato.

4. System kulag
Last week system ililag watu wakawa wanakosa safari wakati wamenunua ticket. Lakini system ishasolviwa kudos.

The quality control officer anabidi aput up much effort to satisfy the needs of the people.

Kudos mwanaharakati wako Selemani Sele.
Ngedere na bundi kuhisiwa kua chanzo cha hitilafu kwenye treni ya umeme
 
Wavuta sigara wasipewe kabisa nafasi ya smoking zone tena wapigwe marufuku sigara inachafua sana mazingira
Huu mradi ni mzuri sana ila nadhani itafutwe sector Moja binafsi ipewe nje ya hapo unakufa kabla haujafika mwanza
 
Treni za Mwendokasi ni treni nzuri sana, in short they are comfortable and fast. Lakini kama mwanaharakati, I haven't noticed many obligations but recently people in the social medias wameleta malalamiko yafuatayo;

1. No smoking zone in waiting area
Waraibu wa sigara wamelalamika kwamba hamna sehemu ya kuvuta sigara. Ambayo kama mradi unataka kutumiwa na foreigners itakuwa shida maana washazoea nchi zao kuna such places.

2. Kukimbilia treni bila utaratibu
Boarding time watu wanakimbilia treni kwasababu milango inafunguliwa dakika kumi hadi 20 kabla haijaondoka kwanini watu wanaofika wasiingie moja moja.

3. Restaurant
Hii inauza vitu local kama keki na another, kwanini wasiongeze vitu kama nyama choma waongeze mapato.

4. System kulag
Last week system ililag watu wakawa wanakosa safari wakati wamenunua ticket. Lakini system ishasolviwa kudos.

The quality control officer anabidi aput up much effort to satisfy the needs of the people.

Kudos mwanaharakati wako Selemani Sele.
Pia wameanza uswahili wao unaambiwa treni saa 1:10 ila unaondoka saa 1:30
 
Abiria wajitahidi kuwahi na kwenda na maelekezo ya muda...
 
Back
Top Bottom