Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Ujinga. mtu kaongea mambo ya maana nyie mnaleta ujinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga. mtu kaongea mambo ya maana nyie mnaleta ujinga
Roa taarifa..Haya mawazo ya kijima. Hata demu uliyenaye ni hatari kwa afya yako.
Hawamalizi miaka 3 hawaKama nilivyosema awali, ni hear say. Tafuta mtu aliyepanda hii treni akwambie. Wasiwasi wetu ni kuwa itakuwa hivi miaka 1,2,3 ijayo? Ila wameanza vizuri sana na utatamani usafiri na hii treni kila siku.
Sio kwenye treni ila waiting zoneHata kwa wenzetu suala la kuvuta sigara Hairuhusiwi kwenye bullet trains
Ova
Wapi mkuu? Ulaya na Marekani siku hizi hairuhusiwi kuvuta sigara kwenye public area. Station ni public area. Ukitaka kuvuta nenda nje mbali kwenye parking huko ndio uvute sigara.Sio kwenye treni ila waiting zone
Malezi ya upande mmoja....Haya mawazo ya kijima. Hata demu uliyenaye ni hatari kwa afya yako.