Malalamiko kuhusu single mothers ni kwasababu watu wengi hawajui kupiga mipira iliyokufa.

Malalamiko kuhusu single mothers ni kwasababu watu wengi hawajui kupiga mipira iliyokufa.

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
23,928
Reaction score
63,499
Kama wewe sio mtaalamu wa kupiga mipira iliyokufa , hutowaweza single maza.

Unajua katika mchezo wa mahusiano sio kila mchezo MTU anaweza kuutawala wote ,hivyo kupiga mipira iliyokufa hiyo kazi wanaiweza wataalamu tu, ikiwa wewe sio mmoja wao usilazimishe..




Huwezi wasikia wataalamu wa hizi kazi wakitoa lawama kuhusu singo maza maana wao wamebobea kupiga mipira iliyokufa
 
Single mother kukutoa mchezoni ni asilimia 99.9🥹,ukitaka kujua unapoenda muulize anayerudi
 
Single mother kipengele sana, sema kwenye kutoa utamu hawana konakona
 
Upo naye hapo nyumbani? Inasikitisha sana kiukweli MUNGU awatetee singo maza maana hii vita sio ya mwili bali roho.
Ni watatu mpaka nikasema au kuna laana lakini nilivyokaa nao nilijua tatizo lilipo hamna mwanaume anaweza kaa na wale watu,nasema hakuna
 
Back
Top Bottom