Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

GEMO,
Tigo wamepambana sana kuwa namba 2 kwa kuwapita airtel. Ila bado nasisitiza customer base ya wateja wa tigo haiendani na huduma za vifurushi walivyotoa. Wasipokuwa makini nina uhakika watafunga biashara.

Kama Kuna mtu anawadanganya, wakafanye tena utafiti.

Na vile tofauti ya wateja wao na airtel ni ndogo ndani ya mwaka wanaweza kupoteza kati ya 10% to 30% ya wateja wao ambao ni hawa wanafunzi na vijana. Sababu ya msingi ni kuwa hawawezi kumudu gharama hizo.
 
Kingsmann,
TTCL 5000. ------3GB /month
1000--------7GB/Week
4000--------300min /month mitandao yote
5000-------500min / month mitandao yote.
Mnasubiri nini kujiunga mitandao wa taiga ?
 
Scars,
Huu ni muda wa ttcl kujizatiti.. Magu nguvu aliyoiweka kwenye airtanzania angeiweka kwenye ttcl ingekuwa poa sana na shirika lingepata faida kubwa sana.
 
Hawa voda nashindwa kuwaelewa Hv inakuaje Hapo mtu atoe 1000 apate GB 1 siku 10 alafu mwingine atoe 2500 apate MB500 kwa siku 7.Hv hiki kifurushi cha 1000 ni Kweli au magumashi na kama kweli nahic kitakuwa MB znayeyuka fasta tu pindi Data ikiwa ON.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haujafanya uchambuzi yakinifu. Vifurushi vya Tigo ni nafuu sana kwa sasa kuliko Voda. Yani wateja wooote wa Voda wanaenda kuhamia Tigo very soon mimi nikiwa mmoja wao.

Unforgetable
Unajua watz ni watu wa ajabu sana.

Mtu kwasababu bei imemshinda anaconclude kuwa kampuni inakufa [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mimi waliondoa vifurushi ijumaa wakaleta vibovu sana lakini jana wakaleta vimeboreshwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli mkuu wamerekebisha nilikuwa sijaona mana niliwapotezea tangu ijimaa hata kwangu kwenye size yako wamebadilisha mana ijumaa nilitaja kujiunga nikakuta vifurushi vya kise kinoma wametoa ile ofa ya uniofa
nikanyuti sijajiunga na nikaapa nitakuwa napokea tu simu na kusms nikahamia halotel Call na intenet y
ila now wameleta deal nzuri Size yako hapo sawa tigo tupo pamoja nyinyi tigo rafiki zangu tangu 2005 nilikuwa tayari niachane na nyinyi na nilienda kurenew line yangu ya halotel ila now tutaendelea
kwa ofa hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baharia Wa Buza said:
Buku (dakika 260, MBs 10 😵 , Sms 50) kwa mwezi. Kilichonivutia hapa ni dakika. Sms huwa naunga bundle la mwezi pia kwa buku napata sms buku. So, nikiwa Airtel budget yang huwa buku 2 kwa mwezi. Kinachonisumbua sasa ni mtandao nafuu kwa bundle za Internet. Niende wapi wakuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…