Malalamiko mbalimbali kuhusu mabadiliko ya vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo kwa mwaka 2020

Wewe n tgonipi unaizungumzia??tigo bado wachovu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa ndo mpaka utangaze kuwa tigo yako ipo vizuri kwa sasa? Imeshasajiliwa kwa vidole now you feel good?
 
Kwa experience niliyonayo.. hii utoa kama one time offer... Ikiisha Jaribu tena... uone kama vitakuwepo.. kisha lete mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah. Ndugu yangu hizo bonus zuga tu hamna kitu. Mimi nimetumia nikaona sielewi hizo bonus zinaisha vip. Nikapiga tigo customer care ili waniambie hizo bonus zinatumika vipi. Hawajanipa majibu ya kutosha ila wanasema bonus inatumika usiku tu kuanzia saa 4 mpaka 11 asubuhi. Wameshindwa hata kuwaeleza wateja kama hiyo bonus inatumika hiyo. Kwa kifupi kama bundle imeisha na umebakiwa na bonus mida ya mchana ni sawa sawa huna kitu. TCRA wawashukie hawa wayni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kabla hujanunua wanakwambia kabisa bonus inatumika muda upi,SAA(5-11)...hicho kifurushi cha kwanza bonus ni dak 90...hizo dak 160,SMS 50 na GB 1.5 unatumia muda wote
 
Huyu jamaa tigo yake imemuudhi hadi kaivunja


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Attachments

  • IMG_4589.JPG
    65 KB · Views: 1
Wanasema ukijiunga na kifurushi hicho ch saizi yako kwa 1500 Tsh, utapata dakika 120, MB 800 na sms kama 100 kwa wiki. Ukijaribu kujiunga inakuletea upuuzi huu wa Mb 1500 na sms kama 200??? kwa wiki.
Why tell uongo.
 
Wanasema ukijiunga na kifurushi hicho ch saizi yako kwa 1500 Tsh, utapata dakika 120, MB 800 na sms kama 100 kwa wiki. Ukijaribu kujiunga inakuletea upuuzi huu wa Mb 1500 na sms kama 200??? kwa wiki.
Why tell uongo
Waongo sana wanafanya promotion ya uongo tcra wapo wapi wawathibiti hao tigo wanatuibia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…