Freddie Matuja
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 1,479
- 2,877
Honestly Tanzania makampuni ya simu karibu yote huwa hawana kitu kama kum-retain mteja, kumwongezea Bando au airtime kwa kuwa mara kwa mara ananunua airtime na bando.
Huduma zimekaa kinyonyaji tu; it's unthinkable mtu ilikuwa unapata 2GB kwa buku 2 in 3days over a sudden wanaondoa.
Kama ni investment cost walisharejesha, na huwa nawaza, hakunaga regulatory authority kama EWURA ku-regulate bei. Maama kwenye miamala nako balaa. Mtu unatoa elfu 40 unakatwa 2300. This is a lot.
Bank Atm laki 4 makato 700 mpaka 1000; inakuwaje mtu anatoa laki 1 anakatwa 2700.
BoT wanao-regulate taasisi za fedha, huduma za kifedha kwenye simu, wizi umezidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huduma zimekaa kinyonyaji tu; it's unthinkable mtu ilikuwa unapata 2GB kwa buku 2 in 3days over a sudden wanaondoa.
Kama ni investment cost walisharejesha, na huwa nawaza, hakunaga regulatory authority kama EWURA ku-regulate bei. Maama kwenye miamala nako balaa. Mtu unatoa elfu 40 unakatwa 2300. This is a lot.
Bank Atm laki 4 makato 700 mpaka 1000; inakuwaje mtu anatoa laki 1 anakatwa 2700.
BoT wanao-regulate taasisi za fedha, huduma za kifedha kwenye simu, wizi umezidi.
Sent using Jamii Forums mobile app