Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mdau wa Jamii Forums ameandika malalamiko yake kuhusu mabasi yaendayo haraka Jijini Dar es Salaam
Magari ya Mwendokasi yanapita kwa kasi kubwa sana hapa Kariakoo, na nature ya Kariakoo ni watu wengi ndani ya huu mwezi magari hayo yameua zaidi ya watu wanne hapa kwenye Barabara inayotumiwa na magari hayo.
Hawa madereva wa Mwendokasi hawathamini watu kabisa na hapa kuna population kubwa sana lakini hawa jamaa wanaoendesha hawana utu kabisa.
Jana moja ya magari yao limeua mama mjamzito na dereva hata hakushuka wala kusimama, aliendelea na safari zake.
Magari ya Mwendokasi yanapita kwa kasi kubwa sana hapa Kariakoo, na nature ya Kariakoo ni watu wengi ndani ya huu mwezi magari hayo yameua zaidi ya watu wanne hapa kwenye Barabara inayotumiwa na magari hayo.
Hawa madereva wa Mwendokasi hawathamini watu kabisa na hapa kuna population kubwa sana lakini hawa jamaa wanaoendesha hawana utu kabisa.
Jana moja ya magari yao limeua mama mjamzito na dereva hata hakushuka wala kusimama, aliendelea na safari zake.