Mbunge wa Jimbo la Mbogwe ameendelea kukazia zege kauli yake aliyoitoa bungeni juu ya maslahi ya wabunge.
Anadai yeye ni msema kweli daima, ameokoka na hataki kufanya yasiyopendeza Mungu.
Amefunguka kwa kusema kuwa wabunge wanalipwa milioni 3.8 tu. Ambazo kimsingi hazitoshi kwa kazi anayoidanya mbunge.
Anasema yeye hataki kufanya ujanja ujanja kama wabunge wengine. Hapa ndipo kuna swali la msingi. Ni ujanja gani huo unaofanywa na wabunge wengine ambao mbunge huyu mcha Mungu hataki kuufanya ili kujiongezea kipato?
Ni wezi?
Wala rushwa?
Wanaiibia serikali kwa mlango wa nyuma?
Natamani wanahabari muendelee kumhoji huyu mbunge Maganga, mbunge wa Mbogwe ili atujuze. Au kama kuna mwenye kujua zaidi atuambie.
Anadai yeye ni msema kweli daima, ameokoka na hataki kufanya yasiyopendeza Mungu.
Amefunguka kwa kusema kuwa wabunge wanalipwa milioni 3.8 tu. Ambazo kimsingi hazitoshi kwa kazi anayoidanya mbunge.
Anasema yeye hataki kufanya ujanja ujanja kama wabunge wengine. Hapa ndipo kuna swali la msingi. Ni ujanja gani huo unaofanywa na wabunge wengine ambao mbunge huyu mcha Mungu hataki kuufanya ili kujiongezea kipato?
Ni wezi?
Wala rushwa?
Wanaiibia serikali kwa mlango wa nyuma?
Natamani wanahabari muendelee kumhoji huyu mbunge Maganga, mbunge wa Mbogwe ili atujuze. Au kama kuna mwenye kujua zaidi atuambie.