Malalamiko ya Tulia Ackson yafanyiwe kazi. Nchi imegawanyika na itaendelea kugawanyika

Spika gani unaendesha mjadala wa kitaifa kwa upendeleo?. Shame on you Tulia. Mwisho wa siku serikali ikaenda kubadilisha vifungu na kuwaita akina Mrisho Mpoto Kuja kuzodoa watu. Spika wa hovyo kuwahi tokea Tanzania.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Rekebisha Tulia akiwa naibu mwanasheria mkuu aliongiza kushinda keshinda Kesi ya mita 200,Hajawahi kuwa hakimu
 
Hawakuwa watanzania bali ni kakaundi cha watu wachache wenye majeraha ya kupoteza ulaji mwaka 2020. Watanzania huwa hawana chuki ya namna hii huwa wanavumiliana na linapokuja swala la kitaifa huwa ni kitu kimoja.
Watanzania wa wapi hao unaowazungumzia!? Tanzania si moja tena na hayo ni matunda ya viongozi wenu.
 
Upunzani mkali ni kutoka nchi gani?
 
Namshangaa huyo Tulia kama sio ujinga ni nini,kwamba yeye ni mgeni na Machadema ambao Huwa wanaombea Nchi ipate majanga Ili ccm eti ndio itaonekana Kushindwa hivyo watu watawachagua.

Kwamba Tulia hajui Chadema ni Kama Yang na Simba au?

Tulia ameonesha udhaifu mkubwa.Watu anapambana nao Jimboni,ana sera tofauti kwenye Bandari na mambo kama hayo eti anategemea Chadema wampiganie?

Tulia amewahi ona wapi Chadema wanapongeza jambo lolote la maendelea lililofanywa na Serikali?
Si kweli Chadema hawezi kumpambania CCM haijawahi tokea😁
 
Kati ya watanzania na mwana Mbeya ambaye nilikuwa naomba sana Tulia ashindwe ni mimi.

Kwetu sisi wana Mbeya hakuna aliyekuwa anamuombea mema.

Tumemchoka sana kwa kuendeleza siasa za chuki.
 
Katiba ndio sheria mama so mtajavyoiandika ndio itakavyo pelekea kupunguza kwa rushwa. Katiba ikikaa kimya kuhusu rushwa basi rushwa itaendelea Kama Sasa.
Wala rushwa watakuja na njia zingine za kuitafuta, hiyo ni vita ya kudumu kati ya serikali na wenye nia mbaya na yale inayoyafanya.

Tukiwa na jamii iliyojaa wavivu, hakuna namna katiba itachangamsha miili yao mpaka wakajua nini faida za kuchapa kazi.
 
Spika gani unaendesha mjadala wa kitaifa kwa upendeleo?. Shame on you Tulia. Mwisho wa siku serikali ikaenda kubadilisha vifungu na kuwaita akina Mrisho Mpoto Kuja kuzodoa watu. Spika wa hovyo kuwahi tokea Tanzania.
Wabunge wa CCM ni wengi na wingi wao unakuwa na ushawishi ndani ya bunge, maamuzi yote yanafanyika kwa kupigwa kura halali.

Wapinzani wakiwa wengi kuna baadhi ya maamuzi hayatapitishwa kwa urahisi tu.

Mrisho Mpoto kualikwa sio suala la Spika. Ile ilikuwa shughuli ya rais ambaye ni mkubwa kicheo kumzidi Tulia.
 
Bi 2ki-nao anajitahidi, apewe muda.
 
we unajulikana ulivyo mpumbavu, unashinda humu JF na mauzushi, upotoshaji, mauwongo, uzandiki, uchochezi, kupandikiza chuki. Ulihangaika sana kipindi cha DP World sasa mkataba umesainiwa. Kwanza unafanya kazi saa ngapi, pili naionea huruma tumbo lililokuzaa. Umekaa kichawi hupendi kuona mtu au nchi ifanikiwe ktk lolote. We ni mchawi tena mkubwa, ila watu km wewe huishia vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…