Malalamiko ya Wananchi kuhusu mabadiliko na gharama za vifurushi yaliyofanywa na mtandao wa Tigo mwaka 2021

Nimeona niandike hili juu ya wizi wa kampuni ya (TIGO) kwenye vifurushi vyao, haijarishi ni kifurushi cha dakika au ni cha sms au internet,

Wamekuwa wakipandisha vifurushi vyao bila kujali hali halisi ya maisha tuliyonayo....
Wasio na network nzuri wanatoa ofa kabambe

Wenye network nzuri kama tigo, ofa za wenye pesa.[emoji1][emoji1]
 
mim leo Tigo wamenilamba hela yang 500 najiunga cha siku nimekaa wap sms za ku confirm haziji nikajua tayar kupiga kumbe wanakula hela yangu hawajaniunga na wala hawasem.nimeweka tena 500 naunga inagoma.nimewalaaan kwel leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tigo wanamchezo mchafu sana kwan wanaangalia matumizi, wakiona unanunua sana wanapandisha gharama. Yaani MB 300 kwa 1000 wapuuzi sana tigo
Hivi wanapandisha gharama zao kwa kila mteja wao au ni baadhi ya wateja? Unaweza kuta sio wateja wote, lkn kwa hili nina ushaidi wa wateja wao kibao wamepiga line chini na kuhamia kwingine....
 
Tafuteni hela vijana. Mambo madogo sana haya.
 
Nimeona niandike hili juu ya wizi wa kampuni ya (TIGO) kwenye vifurushi vyao, haijarishi ni kifurushi cha dakika au ni cha sms au internet...

Voda na tigo saiv wamekuwa na gharama ambazo zinasikitisha ukilinganisha kipato cha mtanzania.
Kama uchumi wa kati ndo hivi basi tujiandae na ufisadi zaidi ya huu uliopo.
Mitano tena!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…