DOKEZO Malalamiko ya watalii Arusha Airport wizara husika iamke usingizini

DOKEZO Malalamiko ya watalii Arusha Airport wizara husika iamke usingizini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Semahengere

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2020
Posts
1,186
Reaction score
1,966
Habari wadau.

Niende moja kwa moja kwenye hoja. Kuna kikundi Cha porters (wabeba mizigo) Kiko Arusha Airport, Wanawabebea wageni mabegi kama msaada saa wakishushwa na magari kuwasogezea kwenye deputure lounge si zaidi ya mita tatu hadi tano umbali. Kinachotokea baada ya hapo ni kudaiwa pesa kwa nguvu. Jamaa atamsimamia mgeni hapo pembeni mpaka mgeni aone kero aulize Ndio aambiwe unadaiwa pesa.

Wageni wamelalamikia sana jambo hili lakini Manager wa uwanja ameweka pamba masikioni
Wageni wameandika jambo hili mtandaoni Serikali imekaa kimya.

Ni kweli kwamba jamaa wanapekeka hesabu kwa wenye mamlaka kama vile taxi drivers wanavyopeleka hesabu kwa mabosi wao lakini kwa hili mbona halijakaa vizuri?

Ni aibu sana Tunaharibu sifa ya nchi kwa njaa ndogo ndogo, Kwani wewe security officer si unalipwa mshahara? Wewe Manager si unalipwa tena donge nono? Wachane kuchafua sifa ya uwanja ambao Sasa wageni wanausifia kwa usafi na vyoo vizuri sana.

Serikalini iangalie wageni jinsi wanalalamikia Arusha Airport kwa huduma mbaya. Especially Hawa mapota wa nje huku wanaobebea wageni mabegi kibabe.

More details check Arusha Airport reviews.
 
Habari wadau.
Niende moja kwa moja kwenye hoja. Kuna kikundi Cha porters (wabeba mizigo) Kiko Arusha Airport, Wanawabebea wageni mabegi kama msaada saa wakishushwa na magari kuwasogezea kwenye deputure lounge si zaidi ya mita tatu hadi tano umbali. Kinachotokea baada ya hapo ni kudaiwa pesa kwa nguvu. Jamaa atamsimamia mgeni hapo pembeni mpaka mgeni aone kero aulize Ndio aambiwe unadaiwa pesa.

Wageni wamelalamikia sana jambo hili lakini Manager wa uwanja ameweka pamba masikioni
Wageni wameandika jambo hili mtandaoni Serikali imekaa kimya.

Ni kweli kwamba jamaa wanapekeka hesabu kwa wenye mamlaka kama vile taxi drivers wanavyopeleka hesabu kwa mabosi wao lakini kwa hili mbona halijakaa vizuri???

Ni aibu sana Tunaharibu sifa ya nchi kwa njaa ndogo ndogo, Kwani wewe security officer si unalipwa mshahara? Wewe Manager si unalipwa tena donge nono? Wachane kuchafua sifa ya uwanja ambao Sasa wageni wanausifia kwa usafi na vyoo vizuri sana.

Serikalini iangalie wageni jinsi wanalalamikia Arusha Airport kwa huduma mbaya. Especially Hawa mapota wa nje huku wanaobebea wageni mabegi kibabe.

More details check Arusha Airport reviews.
Wizara hii ni ya hovyo Sana, inaongozwa na mataahira Sana!
 
Kuna washenzi wapo pale forodhani Zanzibar kazi yao ni kuwatapeli wazungu tu. Yaani wanadalalia mpaka bei za vyakula. Unakuta Zanzibar Pizza inauzwa elfu 3 au 4 kwa mwenyeji ila mzungu akifika anaambiwa elfu 7 au 8.

Watanzania tuache njaa za ajabu ajabu
 
[emoji23][emoji23]Ngoja machalii waje kukupinga hapa chuga Kuna pesa hawawezi kufanya kitu icho.
Hata Airport hujawahi kwenda wewe kojoa ulale.
Kama hujui kitu nyamaza. Watu wazima wakiongea unakaa mbali
 
Habari wadau.
Niende moja kwa moja kwenye hoja. Kuna kikundi Cha porters (wabeba mizigo) Kiko Arusha Airport, Wanawabebea wageni mabegi kama msaada saa wakishushwa na magari kuwasogezea kwenye deputure lounge si zaidi ya mita tatu hadi tano umbali. Kinachotokea baada ya hapo ni kudaiwa pesa kwa nguvu. Jamaa atamsimamia mgeni hapo pembeni mpaka mgeni aone kero aulize Ndio aambiwe unadaiwa pesa.

Wageni wamelalamikia sana jambo hili lakini Manager wa uwanja ameweka pamba masikioni
Wageni wameandika jambo hili mtandaoni Serikali imekaa kimya.

Ni kweli kwamba jamaa wanapekeka hesabu kwa wenye mamlaka kama vile taxi drivers wanavyopeleka hesabu kwa mabosi wao lakini kwa hili mbona halijakaa vizuri???

Ni aibu sana Tunaharibu sifa ya nchi kwa njaa ndogo ndogo, Kwani wewe security officer si unalipwa mshahara? Wewe Manager si unalipwa tena donge nono? Wachane kuchafua sifa ya uwanja ambao Sasa wageni wanausifia kwa usafi na vyoo vizuri sana.

Serikalini iangalie wageni jinsi wanalalamikia Arusha Airport kwa huduma mbaya. Especially Hawa mapota wa nje huku wanaobebea wageni mabegi kibabe.

More details check Arusha Airport reviews.
Wageni wamelalamikia sana jambo hili lakini Manager wa uwanja ameweka pamba masikioni
Wageni wameandika jambo hili mtandaoni Serikali imekaa kimya.[emoji848][emoji2827]
 
Back
Top Bottom